RC ni Kanisa la Mitume, kwa hiyo usizungumzie Mtume, zungumzia Mitume. Hayo mambo ya kujiita Mtume mmoja mmoja ni ya makanisa yaliyoasi (protestants), zingatia neno 'to protest'Mtume gani alikuwa mkatoliki?tupe andiko ndugu,mtaje mmoja tu,usije tu ukasema mtume na nabii mwamposa
Allah ninani tena huko usabatonInasemekana katoriki ni mama wa machukizo ndani ya makanisa mengi, katoriki ndiye alibadilisha siku ya kumuabudu Allah, inafahamika katoriki siyo dini ni serikali inayotumia dini kujikweza na kujiimarisha kwa kuhadaa, katoriki ndiye kasemwa kwenye kitabu cha Ufunuo 17...
Yaani SDA ukimwambia juu ya RC ni sawa na Black tiger mwenye njaa na akamuona mamba mtoni.
SDA na RC hawawezi kukaa kwenye mimbari moja, yaani SDA anaweza kupasua hapo, ni vita kali 😄!.
DualityShetani - Mungu
Simba - yanga
Shibe - njaa
Upinzani ni muhimu 😄
Kwahiyo hatutumii muda wetu kumuabudu Mungu tunatafuta kuwashambulia tunaoona hawako sahihi? Ulishawahi kuona mo anamshambulia bakhresa? Kila mtu afanye yake kwani lazima umshambulie mtu? Wasabato Kama haya ndiyo mnayojifuza makanisani mwenu basi mnaona mpo defeated that's why you talk shit about usUkitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..
Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Nani Ana muda wa kuwatesa wasabato, hamna mtu mwenye muda na kuwatesa . tuwatese ili iweje ?Short and clear .wasabato wanaamini kupitia kitabu cha ufunuo kwenye biblia kuwa alama ya mnyama kuna Marekani na katoliki wataungana kupitisha amri ya kusali jumapili na hapo ndio kutatokea Mateso kwa washika sabato...Rumi ya zamani ilitesa wakristo na Roma ya sasa itakuja tesa tena wakristo
Yaani ukatae kitabu ulichokianfika mwenyewe, Yuu can't be reious kijana. Hivi unajua biblia imeandikwa na wakatoliki? Ingekuwa wanaogopa kitabu Chao wenyewe si wangekichoma moto hata nyie msingekiona!! Shida yenu ni elimu ndogo tuUkitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..
Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Kweli nywele zao natural but wanatafunika kama cake tu. [emoji23]Wasabato wanapinga mfumo wa upapa(papal system) hivyo VATICAN ni adui moja kwa moja , nimebahatika kukaa nao karibu, wanaamini katika kupumzika siku ya jumamosi (ya Saba) .
Note :wanawake wa kisabato wanaongoza kwa nywele natural [emoji16]
Matunda gani waabudu sanamuKwasababu mti wenye natunda ndio hupigwa mawe
Inakukera? Why?Matunda gani waabudu sanamu
Wapi Wasabato wamesema hawalitaki Agano Jipya?Sisi tunasoma pia na Agano jipya..kwanini hao wasabato hawalitaki agano jipya?.ikiwa hilo agano la kale lilikua sheria nyingi zilikua za Mussa..ambazo Yesu alipokuja aliziboresha..
Kwamba wameiandika afu hawaifati?Bikla Ukatoliki Dunia hii isingekuwa salama. Mfumo wote wa Dunia wameutengeneza wao, kuanzia kalenda hadi Bibilia yenyewe wameandika wao
Sasa iweje amri ya 6 na ile ya 7 zitofautianeWakatoliki kupitia Maaskofu wao ndiyo walioweka mpangilio wa Biblia nandiyo walikuwa watunzaji wa Biblia inayosomwa na haohao Wasabato!
Kwamba Pasaka ikojeSiku ya kwanza ya juma ni jumamosi ndugu. Mosi ni moja , pili ni mbili na tatu ni tatu so hao wasabato wenyewe nilitegemea wawe wanasali ijumaa kama wafuasi wa Mudi
Ukishawaweka hapo hawawezi kukujibu kitu"Ijumaa" kuu ni siku aliyokufa yesu,,kwenye biblia kuna mtu alienda kuuomba mwili wa yesu siku hiyo ili sabato ikiingia isiukute mwili msalabani,siku ya tatu ya umauti wake, yaani siku ya kwanza ya juma (jumapili yesu akafufuka) hata pasaka ndo maana inakuwaga jpili. Soma biblia utajua vingi na utabreak Free kutoka kwenye cheni za wazungu na waarabu
Hii hoja hawataki isikia kabisaUtakapojua siku ya Saba ya juma ipi hautabishana sana.maandiko yanasema ht baada ya uumbaji Mungu alipumzika yaani siku ya Saba (JUMAMOSI),hata siku ya kwanza ya juma (JUMAPILI) Yesu alifufuka yaani JUMAPILI.