Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Kama hoja ni hizi, basi yamekutana maandazi tupu na busara ni kuwaangalieni tu, na kuwaambia kuwa 'mpo sahihi'
 
Yaani ukatae kitabu ulichokianfika mwenyewe, Yuu can't be reious kijana. Hivi unajua biblia imeandikwa na wakatoliki? Ingekuwa wanaogopa kitabu Chao wenyewe si wangekichoma moto hata nyie msingekiona!! Shida yenu ni elimu ndogo tu
Elimu ya darasani au ya dini? Kama ni darasani ni somo gani katika mtaala rasmi wa elimu linalofundisha elimu ya dini? MAVI YA KUKU
 
Wewe ni mpumbavu, Pasaka Yesu ameikuta.
 
Elimu ya darasani au ya dini? Kama ni darasani ni somo gani katika mtaala rasmi wa elimu linalofundisha elimu ya dini? MAVI YA KUKU
Wewe akili huna, elimu ya dini inapatikana darasani.

Huwezi kumkuta msomi wa theology anapuyuka hovyo kama wale wa chiioni ya leo, kwa Chiina la Yesuuu
 
Tatizo la kusoma Biblia ukiwa umejikunja kama prawns ndiyo hili.
Try to broaden your horizons. Sasa mtu kama wewe hata kukujibu kusitisha ili kubalance, jamii bila vituko is very boring
 
Wasabato wanaamini katika mafundisho ya Biblia yale ambayo yameelekezwa na biblia na yale ambayo yalikuja kuondolewa basi yatafuatwa kwa utaratibu mpya

Baadhi ya vitu vilivyosisitizwa ni Amri 10 za Mungu hizo hazijawahi kubadilika, kitu ambacho makanisa mengine wanapinga mfano ni Usijifanyie sanamu ya kuchonga ifananayo na kitu chochote duniani, angani na chini ya bahari baadhi ya makanisa wanafanya hivyo hasa RC wanatengeneza masanamu na wanayasujudia.

Kwa kifupi kila wanachoamini wasabato kipo kwenye biblia na ukitaka sababu unapewa kwa vifungu na sio vinginevyo.
 

Unaposema Sheria ya Yesu ndio nikakuambia Yesu hakuleta sheria na Hana sheria hata Moja aliyoileta.

Kasome Kutoka 20:8-10 hiyo ndio sheria kuu Kwa habari za Sabato.
Hizo Sabato nyingi unazozisema naomba uniletee kifungu cha sheria kinachozionyesha.

Ni vizuri twende Kwa Vielelezo
 
Huwezi nifundisha kuhusu Usabato, Ubatizo
 
Ndio hao SDA, muanzilishi wa hilo dhehebu ni demu mmoja wa Kimarekani anaitwa Hellen G White.

Ukijuwa tu muanzilishi wa dhehebu ni demu ndio unaweza kuwapuuza hapohapo.
Sabato imeanzishwa na Mungu mwenyewe
 
Kupatikana kwake kulikua na kipigo kitakatifu...jasho na damu vilimwagika..so kila kitu kina dark side zake..lakini wote Mungu aliwashika mkono.
Muislam ukimzuwia kuhubiri na kufuata dini yake atakutwanga tu,Sina kumbukumbu ya Vita vya waarabu Spain Hadi kusimika dola
 
Wakatoliki hawana mikwaruzano na watu!!..unawajua Julius Nyerere na titi Mohammed!?..wakatoliki hawana umasikini wa kutupwa!?..unajitazama familia tano mlizoajiriwa serikalini kimichongo siyo!?..nimetoka mji una wakatoliki wengi na njaa imewadunda mpaka basi,kua
 
Mbona maswali yangu unakwepa unanijibu hilo tu na maelezo yangu yaki wazi? Yesu alinukuu sheria mama ambayo inabeba sheria zote. Watunzi wanaiita sheria ya kristo au sheria ya upendo
 
Umefail kujificha...

Pia naona kama watu hawajibu kilicho ulizwa ziadi naona SDA wanaendeleza yale yale kuhus KATORIKI.
Ni hivi jiulize wewe mwana SDA, hive anaye amini yeu YUPO na asiye amini yesu KABISA ni yupe anAhitaji huduma ziadi?..kwajibu lako nilitegemea wapagani na wasio wakristo ndi SDA lingepamba kukosoa vitabu vyao badala kila siku kuleta ngonjera za SABATO DAY na JUMA PILI.

Mosy ya wasabato kuanzia viongozi mpaka waumini ukiwaaanglia kama hamnazo hivi...wao kila kukicha ni wakatoliki tuuuuu...
Kama kweli mnacho amini ni cha kweli chukueni tena bible iwapeleke SAUDIA then okoeni watu kule...
 
Mbona maswali yangu unakwepa unanijibu hilo tu na maelezo yangu yaki wazi? Yesu alinukuu sheria mama ambayo inabeba sheria zote. Watunzi wanaiita sheria ya kristo au sheria ya upendo

Nashukuru Kwa kuungana na Mimi kuwa Yesu hakuwahi kuwa na sheria wala hakuleta SHERIA.

Unaweza nitajia hao watunzi hata mmoja ambaye anaziita hizo sheria za Kristo?
Kisha unitajie na hizo sheria ambazo zinaitwa za Kristo.
 
Ok!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…