Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Na ibada ya masanamu ilikuwepo kabla ya kanisa na mnaitekeleza mpaka leo, hivi inakuaje mtu na akili zako timamu unasujudu mbele ya sanamu la mwanamke halagu mnamwita mama wa masihi?, Unajifanyiaje sanamu la kuchonga na unaamini lina baraka wakati limetengenezwa na fundi mwenye mikono kama wewe?
Ile ki Neno la Mungu ni KOSA ila na hawana andiko la kujitetea
 
wengi wanachanganyikiwa kuhusu hilo, wakidhani kuwa mtu yeyote anayeitwa askofu ni lazima aoe…lakini unapaswa uelewe kuwa hapo Mtume Paulo alisema hivyo kwa mantiki ipi?, hakuwalenga wale ambao hawajaoa bado hapana, bali aliwalenga wale ambao wanao wake zaidi ya mmoja..kwamba hao ndio hawapaswi kuwa maaskofu, kwasababu ni lazima waonyeshe kielelezo kwanza wao wenyewe katika nyumba zao na ndio waje kuchunga wa nje, sasa kama mtu alikuwa na wake 6 kabla hajaamini na akaingia kwenye ukristo na ukristo unasema mtu anapaswa awe na mke mmoja, sasa unadhani wale atakaowachunga yeye kama askofu atakuwa anacho kielelezo gani?

Na ndio maana haipaswi mtu yeyote anayeitwa askofu au mchungaji awe na mke zaidi ya mmoja…Lakini haikumaanisha pale kwamba ni lazima kila anayetaka kuwa askofu awe na mke, huo ni uelewa hafifu wa maandiko. Kumbuka mtume Paulo naye hakuwa na mke, lakini alikuwa mwangalizi wa makanisa yote, Kristo naye hakuwa na mke lakini yeye ndiye Askofu wa maaskofu. Hivyo hapo maneno hayo yaliwalenga wale ambao tayari wanao mke zaidi ya mmoja.

1Wakoritho 7:32 Lakini nataka msiwe na masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;

33 bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.

34 Tena iko tofauti hii kati ya mke na mwanamwali. Yeye asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana, apate kuwa mtakatifu mwili na roho. Lakini yeye aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mumewe

Ubarikiwe.
Ndugu wakolinto wa Kwanza Sura ya 7:32-34 hapo hakuna askofu na usipalazimishe pawe. Maana maelezo yako unalazimisha, Neno linasema askofu imempasa awe na mke mmoja Tu. Hilo ndivyo ilivyo si vinginevyo hakuna nyongeza ya hiyo. Askofu ni wajibu kuoa. Unapokuja kwa Paulo usifosi iwe kwake kwa maana yeye alikua na huduma nzito mno ya kupeleka ujumbe kwa wamataifa Paulo yeye ana huduma ya tofauti na amepata hiyo neema, ni sawasawa na Musa Mungu anawaambia waislael kwamba msijitengenezee vinyago Lakini anaambiwa Musa tengeneza nyoka Wa Shaba, hivyo neema hiyo, hiyo kwa Musa ndivyo ilivyo kwa Paulo .

Neno la Mungu linasema askofu imempasa awe na mke mmoja
“I Kor 7:8 Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni HERI wakae kama mimi nilivyo.”
“1 Tim 1:1-3:
Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe; WAKIWAZUIA WATU WASIOE, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli.”

Ukilinganisha shairi hizi mbili ndipo utajilinda kuhukumu mwenzio. Hakuna andiko lililo kubwa kuliko lingine. Paulo anaposema ni heri kubaki kama yeye huku akiwa kiongongozi wa kanisa pia bila mke alipenda tujue kama kuwa na mke inaweza punguza nguvu za utumishi. Ndipo akasema ni heri kuwa kama yeye. Pia akaendelea akisema” I Kor 7:9 Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni AFADHALI kuoa kuliko kuwaka tamaa”. Hivi hatuwezi sema kama tendo la kuoa kwa Mtumishi wa Mungu ni ujasiri wala utakatifu, la hasha, ni kukimbia tamaa.

nenda kasome vizuri Biblia nimechokoka kukuelimisha maana umekazania kimstari kimoja ambacho akina maana.
Inaonekana una upeo mdogo wa kufikiri.
 
Ndugu wakolinto wa Kwanza Sura ya 7:32-34 hapo hakuna askofu na usipalazimishe pawe. Maana maelezo yako unalazimisha, Neno linasema askofu imempasa awe na mke mmoja Tu. Hilo ndivyo ilivyo si vinginevyo hakuna nyongeza ya hiyo. Askofu ni wajibu kuoa. Unapokuja kwa Paulo usifosi iwe kwake kwa maana yeye alikua na huduma nzito mno ya kupeleka ujumbe kwa wamataifa Paulo yeye ana huduma ya tofauti na amepata hiyo neema, ni sawasawa na Musa Mungu anawaambia waislael kwamba msijitengenezee vinyago Lakini anaambiwa Musa tengeneza nyoka Wa Shaba, hivyo neema hiyo, hiyo kwa Musa ndivyo ilivyo kwa Paulo .

Neno la Mungu linasema askofu imempasa awe na mke mmoja
Alafu mbona unajichanganya eti Paulo alikuwa na majukumu mazito zaidi lakini tunaangalia alikwa ni nani
Paulo alikuwa pia ni mchungaji wa kondoo zake kama ilivyo kwa Askofu

Mtume Paulo hakuoa mke, Alijizuia kuoa ili aihubiri Injili pasipo kuvutwa na mambo mawili, yaani mambo ya kumpendezesha mke na kumpendezesha Mungu..

1Wakorintho 7 :32 “Lakini nataka msiwe na masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;

33 bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe”.

kama alivyokuwa Yohana Mbatizaji na Eliya Nabii hao pia hawakuoa. Na hivyo kuwafanya Injili yao kuwa na matunda mengi kuliko wengine wote.

Biblia inasema hakuna Nabii aliyetokea aliye Mkuu kuliko Yohana Mbatizaji, kadhalika Eliya ni nabii pekee ambaye hakuonja mauti..Na Mtume Paulo ni Mtume pekee ambaye alifanya kazi kuliko wote waliomtangulia.
 
“I Kor 7:8 Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni HERI wakae kama mimi nilivyo.”
“1 Tim 1:1-3:
Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe; WAKIWAZUIA WATU WASIOE, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli.”

Ukilinganisha shairi hizi mbili ndipo utajilinda kuhukumu mwenzio. Hakuna andiko lililo kubwa kuliko lingine. Paulo anaposema ni heri kubaki kama yeye huku akiwa kiongongozi wa kanisa pia bila mke alipenda tujue kama kuwa na mke inaweza punguza nguvu za utumishi. Ndipo akasema ni heri kuwa kama yeye. Pia akaendelea akisema” I Kor 7:9 Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni AFADHALI kuoa kuliko kuwaka tamaa”. Hivi hatuwezi sema kama tendo la kuoa kwa Mtumishi wa Mungu ni ujasiri wala utakatifu, la hasha, ni kukimbia tamaa.

nenda kasome vizuri Biblia nimechokoka kukuelimisha maana umekazania kimstari kimoja ambacho akina maana.
Inaonekana una upeo mdogo wa kufikiri.
Naludia tena na kusema tena kwa Mimi na wewe ukiwa hatuwezi kujizuia na tuoe Ila kwa askofu tunaludi kwenye andiko lake kua imempasa aoe, hiyo ni razima ni wajibu

Lakini pia usisahau swala la wanawake kua na mamlaka, kujitengenezea vinyago na kuomba kwa wafu bible imekataza.

Yaani kwa hakili ya kawaida Tu mpo makosani kwa vitu vingi, ndugu yangu toka huko ludi kwenye neno bible haujawahi kujipinga ila kaama unatafuta vifungu vya kukubariki endelea kutafuta
 
Naludia tena na kusema tena kwa Mimi na wewe ukiwa hatuwezi kujizuia na tuoe Ila kwa askofu tunaludi kwenye andiko lake kua imempasa aoe, hiyo ni razima ni wajibu

Lakini pia usisahau swala la wanawake kua na mamlaka, kujitengenezea vinyago na kuomba kwa wafu bible imekataza.

Yaani kwa hakili ya kawaida Tu mpo makosani kwa vitu vingi, ndugu yangu toka huko ludi kwenye neno bible haujawahi kujipinga ila kaama unatafuta vifungu vya kukubariki endelea kutafuta
Huwezi kunitoa kwenye dini ya kweli nije huko kwenye ushetani

Mimi hata uje na mapanga KAMWE SIWEZI KUJA KWENYE DINI ILIONZISHWA NA MWANAMKE BI HELLEN G WHITE
 
Naludia tena na kusema tena kwa Mimi na wewe ukiwa hatuwezi kujizuia na tuoe Ila kwa askofu tunaludi kwenye andiko lake kua imempasa aoe, hiyo ni razima ni wajibu

Lakini pia usisahau swala la wanawake kua na mamlaka, kujitengenezea vinyago na kuomba kwa wafu bible imekataza.

Yaani kwa hakili ya kawaida Tu mpo makosani kwa vitu vingi, ndugu yangu toka huko ludi kwenye neno bible haujawahi kujipinga ila kaama unatafuta vifungu vya kukubariki endelea kutafuta
Mtume Paulo hakuoa mke, Alijizuia kuoa ili aihubiri Injili pasipo kuvutwa na mambo mawili, yaani mambo ya kumpendezesha mke na kumpendezesha Mungu..

1Wakorintho 7 :32 “Lakini nataka msiwe na masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;

33 bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe”.

kama alivyokuwa Yohana Mbatizaji na Eliya Nabii hao pia hawakuoa. Na hivyo kuwafanya Injili yao kuwa na matunda mengi kuliko wengine wote.
 
Alafu mbona unajichanganya eti Paulo alikuwa na majukumu mazito zaidi lakini tunaangalia alikwa ni nani
Paulo alikuwa pia ni mchungaji wa kondoo zake kama ilivyo kwa Askofu

Mtume Paulo hakuoa mke, Alijizuia kuoa ili aihubiri Injili pasipo kuvutwa na mambo mawili, yaani mambo ya kumpendezesha mke na kumpendezesha Mungu..

1Wakorintho 7 :32 “Lakini nataka msiwe na masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;

33 bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe”.

kama alivyokuwa Yohana Mbatizaji na Eliya Nabii hao pia hawakuoa. Na hivyo kuwafanya Injili yao kuwa na matunda mengi kuliko wengine wote.

Biblia inasema hakuna Nabii aliyetokea aliye Mkuu kuliko Yohana Mbatizaji, kadhalika Eliya ni nabii pekee ambaye hakuonja mauti..Na Mtume Paulo ni Mtume pekee ambaye alifanya kazi kuliko wote waliomtangulia.
Unajua kazi ya Paulo ni kua nuru ya mataifa unajua kua Paulo yeye alikua
NI mjumbe kwa wamataifa na ndio maana alikua na mamlaka ya kumfokea petro. Amka usingizini huyo papa mnaedai haoi alafu mnakuja kusema kua petro ni papa wa Kwanza wakati huo huyohuyo petro ameoa. Amka usingizini. Mimi sipo kwa Ajili ya kubishana Ila Angalia Neno la Mungu nakuonesha mlipodondoka, ndugu kama hutojali nikupe no ya simu ili tuone je mpo nje ya bible kwa Neno hilo tu ama nengi?

hebu wazia mwaka 1500s Martin Luther aliandika makosa ya catholic 95 ambayo yanahitaji masahihisho na aliwaambia kua kama mnataka niache kutangaza hivi basi nionyeshe I KOSA langu kwenye biblia, na nionyesheni kwamba kwa mujibu wa andiko gani mnafanya haya.

ikikupendeza nipe no ya simu tuongee tena huku kila mtu akiwa ameshika biblia ili uone je kipi NI kipi.. TOKA HUKO NDUGU WW NI NDUGU, MIMI NI NGUMU KWASABABU KILA KITU NAKUONESHA KWA NENO, NA NIMEKAA ROMAN CATHOLIC MIAKA MINGI, NIKAFUNDISHA HADI MASWALA PRIMARY, SECONDARY, CHUO KOTE NILIKUA KIONGOZI WA ROMAN CATHOLIC LAKINI WAMEANGUKA KWA MAKOSA MENGI MNO
 
Kwani Mungu alivyopumzika siku ya saba, siku ya nane aliendelea na kazi gani
 
Huwezi kunitoa kwenye dini ya kweli nije huko kwenye ushetani

Mimi hata uje na mapanga KAMWE SIWEZI KUJA KWENYE DINI ILIONZISHWA NA MWANAMKE BI HELLEN G WHITE
Ndugu msabato yupo makosani pia Mimi si msabato, si mluteli , si mkatoriki wala si mpetekoste, Mimi ni mkristo walioipokea injili waliitwa wakristo kama ilivyo kwenye MATENDO 11:26

Siwezi kua msabato Mimi hao nabii wao ni mwanamke na mwanamke imekatazwa kwenye bible kuhubiri, yeye aliwafundisha hao wapo nje ya Neno 100% ndugu yangu Yani hao na wakatoriki wote sawa wasikutishe.
 
Unajua kazi ya Paulo ni kua nuru ya mataifa unajua kua Paulo yeye alikua
NI mjumbe kwa wamataifa na ndio maana alikua na mamlaka ya kumfokea petro. Amka usingizini huyo papa mnaedai haoi alafu mnakuja kusema kua petro ni papa wa Kwanza wakati huo huyohuyo petro ameoa. Amka usingizini. Mimi sipo kwa Ajili ya kubishana Ila Angalia Neno la Mungu nakuonesha mlipodondoka, ndugu kama hutojali nikupe no ya simu ili tuone je mpo nje ya bible kwa Neno hilo tu ama nengi?

hebu wazia mwaka 1500s Martin Luther aliandika makosa ya catholic 95 ambayo yanahitaji masahihisho na aliwaambia kua kama mnataka niache kutangaza hivi basi nionyeshe I KOSA langu kwenye biblia, na nionyesheni kwamba kwa mujibu wa andiko gani mnafanya haya.

ikikupendeza nipe no ya simu tuongee tena huku kila mtu akiwa ameshika biblia ili uone je kipi NI kipi.. TOKA HUKO NDUGU WW NI NDUGU, MIMI NI NGUMU KWASABABU KILA KITU NAKUONESHA KWA NENO, NA NIMEKAA ROMAN CATHOLIC MIAKA MINGI, NIKAFUNDISHA HADI MASWALA PRIMARY, SECONDARY, CHUO KOTE NILIKUA KIONGOZI WA ROMAN CATHOLIC LAKINI WAMEANGUKA KWA MAKOSA MENGI MNO
Kwani mimi na wewe nani anajibu kwa maandiko
Mimi nakujibu kwa maandiko wewe umekazania yampasa tu 🤣🤣🤣 leta jambo jingine hili umefeli
Na kama ndio mnatumwaga kutafuta waumini wa makanisa yenu hivyo umefeli tena

Na kwa kumalizia pia kwa nini Yohana Mbatizaji na Elia hawakuoa?
 
"Ijumaa" kuu ni siku aliyokufa yesu,,kwenye biblia kuna mtu alienda kuuomba mwili wa yesu siku hiyo ili sabato ikiingia isiukute mwili msalabani,siku ya tatu ya umauti wake, yaani siku ya kwanza ya juma (jumapili yesu akafufuka) hata pasaka ndo maana inakuwaga jpili. Soma biblia utajua vingi na utabreak Free kutoka kwenye cheni za wazungu na waarabu
Jumapili wakatoliki wanasherekea ufufuko wa Yesu, wewe jumamosi unasherekea nini?
 
Ndugu msabato yupo makosani pia Mimi si msabato, si mluteli , si mkatoriki wala si mpetekoste, Mimi ni mkristo walioipokea injili waliitwa wakristo kama ilivyo kwenye MATENDO 11:26

Siwezi kua msabato Mimi hao nabii wao ni mwanamke na mwanamke imekatazwa kwenye bible kuhubiri, yeye aliwafundisha hao wapo nje ya Neno 100% ndugu yangu Yani hao na wakatoriki wote sawa wasikutishe.
Basi baki na imani yako ndugu yangu nakutakia siku njema
 
sio wasabatho wanawapinga wakatoliki hata waislamu hawawapendi wakatoliki tena afadhali ya sabatho
 
Back
Top Bottom