Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Labda kwasababu ya ile misanamu, unajua wasabato na masanamu ni mbingu na ardhi
Sasa hii ni akili?
images%20(12).jpg
 
Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..

Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utangundua kuwa hao wote ni ndugu na wako na mbinu tofauti za kumpinga shetani
 
Kumbe ni dhehebu ambalo alilianzisha Mwanamke.
Mbona wao wanasema ndio dhehebu halisi toka wakati wa Yesu Kristo.
Ellen Gould White (née Harmon; November 26, 1827 – July 16, 1915) was an American author and co-founder of the Seventh-day Adventist Church. Along with other Adventist leaders such as Joseph Bates and her husband James White, she was instrumental within a small group of early Adventists who formed what became known as the Seventh-day Adventist Church. White is considered a leading figure in American vegetarian history.[2]
 
Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..

Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Kwenye kupanua kwako ufahamu mtu akija akakuambia chagua Kati ya bibkia na Quran utaangua wapi..??
 
Ndugu basi nisamehe kama nimesema uongo. Ila twende kwa fact NENO LA MUNGU liwe kweili na la mtu liwe uongo.
Najibu kwa fact.
1. Neno limesema mwanamke ni marufuku kufundisha wala kuhubiri chochote kanisani, na katika hilo sijatenganisha ni mwanamke wa namna gani!! Neno limesema mwanamke anyamaze katika kanisa hii ni kwa wote..sasa kwa sababu ulichojibu umebase Sana kutetea dhehebu la roma usijali twende taratibu kuhusu, (a)nimekaa katika KARISMATIKI KATOLIKI Karibu matawi mengi wanahubiri wanawake (b) nimekaa na kusalia Roman Catholic tangu nikiwa mdogo na nilibatizwa nikiwa mdogo(ambayo ubatizo wa kinyume na maandiko, bible inasema aaminie na kubatzwa. Sasa mtoto anaamini nini?)Hadi mwaka 2018 mda huo wote nawaomba wanawake wakipewa mamlaka makubwa kuanzia kwenye jumuia kigangoni, palokiani Hadi jimboni, utakuta mwenyekiti ni mwanamke ama katibu. je hatofundisha utaratibu? Je bado unasema mimi ni muongo? (C) Mathayo 19:12 inasema hivyo Lakini ni Mimi na wewe ndugu yangu sio kwa askofu kwa askofu Paulo anasema hivi 1 Timotheo 3:2 ....imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja.....
UNaomba kwa askofu imempasa imempasa sio HIARI ila IMEMPASA KUOA kwa maana nyingine ni razima. Unapokuja kwa Paulo kutokua Mungu kalifanya liwe hivyo kwake maana alikua na huduma kubwa mno ya kupeleka injili kwa wamataifa yeye alikua mjumbe wa kipekee

SHIKILIA HILI NENO LA MUNGU LIMESEMA IMEMPASA ASKOFU AOE HIYO NI RAZIMA. MIMI NA WEWE si lazima.
Simama na Neno
[9/23, 10:22] You: 1 Timotheo 3:2 yasema hivi
Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha

Ni wapi pameandika ni lazima askofu kuoa? Nioneshe ilo neno lazima


Hayo ni mawazo yako tu ndugu, Yesu hakuoa japo najua utasema kwa vile yeye alikuwa Mungu. Lakini hata mitume wa Yesu biblia haijasema kuwa walioa. Kama mitume walioa basi henda baadaye walitelekeza familia zao kwasababu ya Injili. Biblia imeweka wazi sana juu ya heri ya yule aliyejifanya towashi kwa ajili ya ufalme wa Mungu. Hakuna sheria inayomtaka mkristo kuoa au kuolewa bali kuishi maisha matakatifu.

[9/23, 10:25] You: Kwanza umeelewa hapa.Mathayo 19:12
Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee

Usikulupuke kujibu kabla ya kuelewa.
 
Padre ni neno la kilantini lenye maana ya paroko,padre ni cheo ndani ya kanisa akimaanisha kiongozi anaewachunga watu kiroho.
Kama katoliki hawaongozwi na Biblia misingi Yao ya Imani wanatoa wapi.
Ukatoliki ndio Ukristo ndio umeutunza Ukristo usitoweke Duniani kwa muda wa miaka 2023 hadi Sasa.
Madhehebu yote haya hayana miaka 200 kuwepo Duniani wakati katoliki lina miaka 2023.
Yesu Kristo mfufuka ndie bwana wa sabato alipofufuka ndipo Ukristo ulipoanza.
Kuhusu siku wanafata kalenda ipi Mayan calendar, Gregory calendar nk.
Dunia imepita kwenye matumizi mbalimbali ya calendar.
Waislamu, wachina, wahindi,nk Wana kalenda zao achana na hii iliyoamuliwa kidunia tunayoitumia.
Masister, mapadre wapo kwenye Biblia google neno matowashi.
Katoliki pekee yake ndio Ina matowashi hakuna dhehebu lolote Duniani lenye matowashi.
Matowashi ni watu walioamua kutoishi maisha ya ndoa ili wajitoe kufanya kazi ya Mungu
Huwezi ukamtumikia Mungu na familia haiwezekani maana ukizembea kimoja ni dhambi ukibase sana kwa Mungu na ukashindwa kuhudumia family ni dhambi, ukibase kwa family ukaacha kazi ya Mungu ni makosa.
Romani katoliki limedumu miaka 2023 kwa sababu halikuruhusu ndoa kwa mapadre.

Barikiwa sana hapo kutokua naona ni point kubwa uwez kusimamia familia yako na watu wengine
 
Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..

Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Acha uchawi mdogo wangu
 
Tatizo hao wasabato hawajui impact ya kushambulia ukatoliki. Ukatoliki ukitikisika duniani na ukristu utakufa jumla, including usabato. Ni ukweli mchungu kuwa msabato au mlokole hawawezi kwenda kueneza ukristo kwenye maeneo magumu kama yale ya waislam wenye siasa kali aka wakata vichwa, ni wakatoliki pekee wanaweza hizo suluba. Wasabato na walokole wanasubiri ukristu uenezwe na katoliki half wao wanakuja kuharibu kilichowekwa kwa kuleta confusion na wakati mwingine mauaji e.g. kibwetere etc
 
Inasemekana katoriki ni mama wa machukizo ndani ya makanisa mengi, katoriki ndiye alibadilisha siku ya kumuabudu Allah, inafahamika katoriki siyo dini ni serikali inayotumia dini kujikweza na kujiimarisha kwa kuhadaa, katoriki ndiye kasemwa kwenye kitabu cha Ufunuo 17...

Yaani SDA ukimwambia juu ya RC ni sawa na Black tiger mwenye njaa na akamuona mamba mtoni.

SDA na RC hawawezi kukaa kwenye mimbari moja, yaani SDA anaweza kupasua hapo, ni vita kali 😄!.
Inasemekana.🤣
 
Padre ni neno la kilantini lenye maana ya paroko,padre ni cheo ndani ya kanisa akimaanisha kiongozi anaewachunga watu kiroho.
Kama katoliki hawaongozwi na Biblia misingi Yao ya Imani wanatoa wapi.
Ukatoliki ndio Ukristo ndio umeutunza Ukristo usitoweke Duniani kwa muda wa miaka 2023 hadi Sasa.
Madhehebu yote haya hayana miaka 200 kuwepo Duniani wakati katoliki lina miaka 2023.
Yesu Kristo mfufuka ndie bwana wa sabato alipofufuka ndipo Ukristo ulipoanza.
Kuhusu siku wanafata kalenda ipi Mayan calendar, Gregory calendar nk.
Dunia imepita kwenye matumizi mbalimbali ya calendar.
Waislamu, wachina, wahindi,nk Wana kalenda zao achana na hii iliyoamuliwa kidunia tunayoitumia.
Masister, mapadre wapo kwenye Biblia google neno matowashi.
Katoliki pekee yake ndio Ina matowashi hakuna dhehebu lolote Duniani lenye matowashi.
Matowashi ni watu walioamua kutoishi maisha ya ndoa ili wajitoe kufanya kazi ya Mungu
Huwezi ukamtumikia Mungu na familia haiwezekani maana ukizembea kimoja ni dhambi ukibase sana kwa Mungu na ukashindwa kuhudumia family ni dhambi, ukibase kwa family ukaacha kazi ya Mungu ni makosa.
Romani katoliki limedumu miaka 2023 kwa sababu halikuruhusu ndoa kwa mapadre.
Umemaliza kila kitu
 
Wote wangetambua ni dugu moja ‘‘Kuleta Amani Utulivu na Upendo duniani’ wasingelaumiana.
Zaidi ya hapo ni biashara kama biashara zingine..
 
Short and clear .wasabato wanaamini kupitia kitabu cha ufunuo kwenye biblia kuwa alama ya mnyama kuna Marekani na katoliki wataungana kupitisha amri ya kusali jumapili na hapo ndio kutatokea Mateso kwa washika sabato...Rumi ya zamani ilitesa wakristo na Roma ya sasa itakuja tesa tena wakristo
Yesu ameshamnyanganya shetani funguo za mauti na kuzimu; inakuaje tena shetan anakuja kutawala huu ni uongo

Ili shetan atawale anatakiwa apewe tena ufunguo za mauti na kuzimu inamaana mpaka hapa hata yesu kufa pale msalabani ilikua ni kazi bure
 
Padre ni neno la kilantini lenye maana ya paroko,padre ni cheo ndani ya kanisa akimaanisha kiongozi anaewachunga watu kiroho.
Kama katoliki hawaongozwi na Biblia misingi Yao ya Imani wanatoa wapi.
Ukatoliki ndio Ukristo ndio umeutunza Ukristo usitoweke Duniani kwa muda wa miaka 2023 hadi Sasa.
Madhehebu yote haya hayana miaka 200 kuwepo Duniani wakati katoliki lina miaka 2023.
Yesu Kristo mfufuka ndie bwana wa sabato alipofufuka ndipo Ukristo ulipoanza.
Kuhusu siku wanafata kalenda ipi Mayan calendar, Gregory calendar nk.
Dunia imepita kwenye matumizi mbalimbali ya calendar.
Waislamu, wachina, wahindi,nk Wana kalenda zao achana na hii iliyoamuliwa kidunia tunayoitumia.
Masister, mapadre wapo kwenye Biblia google neno matowashi.
Katoliki pekee yake ndio Ina matowashi hakuna dhehebu lolote Duniani lenye matowashi.
Matowashi ni watu walioamua kutoishi maisha ya ndoa ili wajitoe kufanya kazi ya Mungu
Huwezi ukamtumikia Mungu na familia haiwezekani maana ukizembea kimoja ni dhambi ukibase sana kwa Mungu na ukashindwa kuhudumia family ni dhambi, ukibase kwa family ukaacha kazi ya Mungu ni makosa.
Romani katoliki limedumu miaka 2023 kwa sababu halikuruhusu ndoa kwa mapadre.
Katoliki hawana miaka 2023 sio sahii
Roman empire wameadopt ukristo mwaka 380 baada ya kuzaliwa kristo

Yesu ndo anamiaka 2023 tokea azaliwe
 
Katoliki hawana miaka 2023 sio sahii
Roman empire wameadopt ukristo mwaka 380 baada ya kuzaliwa kristo

Yesu ndo anamiaka 2023 tokea azaliwe
Wakristo wa kwanza pale Antokia uturuki ndio inaaminiwa ndipo chimbuko la kanisa la kwanza la Kikristo kabla ya kuhamia Roma
 
Wakristo wa kwanza ndio walioingiza desturi za wapagani wa kale ili kuwavutia wapagani kuingia Kanisa kwa sababu waliogopa kuuwawa kama wangeupokea Ukristo na kuacha dini zao
 
Back
Top Bottom