Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Sasa hii ni akili?Labda kwasababu ya ile misanamu, unajua wasabato na masanamu ni mbingu na ardhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hii ni akili?Labda kwasababu ya ile misanamu, unajua wasabato na masanamu ni mbingu na ardhi
Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utangundua kuwa hao wote ni ndugu na wako na mbinu tofauti za kumpinga shetaniUkitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..
Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Ellen Gould White (née Harmon; November 26, 1827 – July 16, 1915) was an American author and co-founder of the Seventh-day Adventist Church. Along with other Adventist leaders such as Joseph Bates and her husband James White, she was instrumental within a small group of early Adventists who formed what became known as the Seventh-day Adventist Church. White is considered a leading figure in American vegetarian history.[2]Kumbe ni dhehebu ambalo alilianzisha Mwanamke.
Mbona wao wanasema ndio dhehebu halisi toka wakati wa Yesu Kristo.
Kwenye kupanua kwako ufahamu mtu akija akakuambia chagua Kati ya bibkia na Quran utaangua wapi..??Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..
Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
[9/23, 10:22] You: 1 Timotheo 3:2 yasema hiviNdugu basi nisamehe kama nimesema uongo. Ila twende kwa fact NENO LA MUNGU liwe kweili na la mtu liwe uongo.
Najibu kwa fact.
1. Neno limesema mwanamke ni marufuku kufundisha wala kuhubiri chochote kanisani, na katika hilo sijatenganisha ni mwanamke wa namna gani!! Neno limesema mwanamke anyamaze katika kanisa hii ni kwa wote..sasa kwa sababu ulichojibu umebase Sana kutetea dhehebu la roma usijali twende taratibu kuhusu, (a)nimekaa katika KARISMATIKI KATOLIKI Karibu matawi mengi wanahubiri wanawake (b) nimekaa na kusalia Roman Catholic tangu nikiwa mdogo na nilibatizwa nikiwa mdogo(ambayo ubatizo wa kinyume na maandiko, bible inasema aaminie na kubatzwa. Sasa mtoto anaamini nini?)Hadi mwaka 2018 mda huo wote nawaomba wanawake wakipewa mamlaka makubwa kuanzia kwenye jumuia kigangoni, palokiani Hadi jimboni, utakuta mwenyekiti ni mwanamke ama katibu. je hatofundisha utaratibu? Je bado unasema mimi ni muongo? (C) Mathayo 19:12 inasema hivyo Lakini ni Mimi na wewe ndugu yangu sio kwa askofu kwa askofu Paulo anasema hivi 1 Timotheo 3:2 ....imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja.....
UNaomba kwa askofu imempasa imempasa sio HIARI ila IMEMPASA KUOA kwa maana nyingine ni razima. Unapokuja kwa Paulo kutokua Mungu kalifanya liwe hivyo kwake maana alikua na huduma kubwa mno ya kupeleka injili kwa wamataifa yeye alikua mjumbe wa kipekee
SHIKILIA HILI NENO LA MUNGU LIMESEMA IMEMPASA ASKOFU AOE HIYO NI RAZIMA. MIMI NA WEWE si lazima.
Simama na Neno
Padre ni neno la kilantini lenye maana ya paroko,padre ni cheo ndani ya kanisa akimaanisha kiongozi anaewachunga watu kiroho.
Kama katoliki hawaongozwi na Biblia misingi Yao ya Imani wanatoa wapi.
Ukatoliki ndio Ukristo ndio umeutunza Ukristo usitoweke Duniani kwa muda wa miaka 2023 hadi Sasa.
Madhehebu yote haya hayana miaka 200 kuwepo Duniani wakati katoliki lina miaka 2023.
Yesu Kristo mfufuka ndie bwana wa sabato alipofufuka ndipo Ukristo ulipoanza.
Kuhusu siku wanafata kalenda ipi Mayan calendar, Gregory calendar nk.
Dunia imepita kwenye matumizi mbalimbali ya calendar.
Waislamu, wachina, wahindi,nk Wana kalenda zao achana na hii iliyoamuliwa kidunia tunayoitumia.
Masister, mapadre wapo kwenye Biblia google neno matowashi.
Katoliki pekee yake ndio Ina matowashi hakuna dhehebu lolote Duniani lenye matowashi.
Matowashi ni watu walioamua kutoishi maisha ya ndoa ili wajitoe kufanya kazi ya Mungu
Huwezi ukamtumikia Mungu na familia haiwezekani maana ukizembea kimoja ni dhambi ukibase sana kwa Mungu na ukashindwa kuhudumia family ni dhambi, ukibase kwa family ukaacha kazi ya Mungu ni makosa.
Romani katoliki limedumu miaka 2023 kwa sababu halikuruhusu ndoa kwa mapadre.
Weee. Mbona umempasha daraja. Sema Mpitimbi FC vs Young AfricansSawa na Azam fc kujipima na yanga
Acha uchawi mdogo wanguUkitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..
Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Inasemekana.🤣Inasemekana katoriki ni mama wa machukizo ndani ya makanisa mengi, katoriki ndiye alibadilisha siku ya kumuabudu Allah, inafahamika katoriki siyo dini ni serikali inayotumia dini kujikweza na kujiimarisha kwa kuhadaa, katoriki ndiye kasemwa kwenye kitabu cha Ufunuo 17...
Yaani SDA ukimwambia juu ya RC ni sawa na Black tiger mwenye njaa na akamuona mamba mtoni.
SDA na RC hawawezi kukaa kwenye mimbari moja, yaani SDA anaweza kupasua hapo, ni vita kali 😄!.
Umemaliza kila kituPadre ni neno la kilantini lenye maana ya paroko,padre ni cheo ndani ya kanisa akimaanisha kiongozi anaewachunga watu kiroho.
Kama katoliki hawaongozwi na Biblia misingi Yao ya Imani wanatoa wapi.
Ukatoliki ndio Ukristo ndio umeutunza Ukristo usitoweke Duniani kwa muda wa miaka 2023 hadi Sasa.
Madhehebu yote haya hayana miaka 200 kuwepo Duniani wakati katoliki lina miaka 2023.
Yesu Kristo mfufuka ndie bwana wa sabato alipofufuka ndipo Ukristo ulipoanza.
Kuhusu siku wanafata kalenda ipi Mayan calendar, Gregory calendar nk.
Dunia imepita kwenye matumizi mbalimbali ya calendar.
Waislamu, wachina, wahindi,nk Wana kalenda zao achana na hii iliyoamuliwa kidunia tunayoitumia.
Masister, mapadre wapo kwenye Biblia google neno matowashi.
Katoliki pekee yake ndio Ina matowashi hakuna dhehebu lolote Duniani lenye matowashi.
Matowashi ni watu walioamua kutoishi maisha ya ndoa ili wajitoe kufanya kazi ya Mungu
Huwezi ukamtumikia Mungu na familia haiwezekani maana ukizembea kimoja ni dhambi ukibase sana kwa Mungu na ukashindwa kuhudumia family ni dhambi, ukibase kwa family ukaacha kazi ya Mungu ni makosa.
Romani katoliki limedumu miaka 2023 kwa sababu halikuruhusu ndoa kwa mapadre.
Yesu ameshamnyanganya shetani funguo za mauti na kuzimu; inakuaje tena shetan anakuja kutawala huu ni uongoShort and clear .wasabato wanaamini kupitia kitabu cha ufunuo kwenye biblia kuwa alama ya mnyama kuna Marekani na katoliki wataungana kupitisha amri ya kusali jumapili na hapo ndio kutatokea Mateso kwa washika sabato...Rumi ya zamani ilitesa wakristo na Roma ya sasa itakuja tesa tena wakristo
Katoliki hawana miaka 2023 sio sahiiPadre ni neno la kilantini lenye maana ya paroko,padre ni cheo ndani ya kanisa akimaanisha kiongozi anaewachunga watu kiroho.
Kama katoliki hawaongozwi na Biblia misingi Yao ya Imani wanatoa wapi.
Ukatoliki ndio Ukristo ndio umeutunza Ukristo usitoweke Duniani kwa muda wa miaka 2023 hadi Sasa.
Madhehebu yote haya hayana miaka 200 kuwepo Duniani wakati katoliki lina miaka 2023.
Yesu Kristo mfufuka ndie bwana wa sabato alipofufuka ndipo Ukristo ulipoanza.
Kuhusu siku wanafata kalenda ipi Mayan calendar, Gregory calendar nk.
Dunia imepita kwenye matumizi mbalimbali ya calendar.
Waislamu, wachina, wahindi,nk Wana kalenda zao achana na hii iliyoamuliwa kidunia tunayoitumia.
Masister, mapadre wapo kwenye Biblia google neno matowashi.
Katoliki pekee yake ndio Ina matowashi hakuna dhehebu lolote Duniani lenye matowashi.
Matowashi ni watu walioamua kutoishi maisha ya ndoa ili wajitoe kufanya kazi ya Mungu
Huwezi ukamtumikia Mungu na familia haiwezekani maana ukizembea kimoja ni dhambi ukibase sana kwa Mungu na ukashindwa kuhudumia family ni dhambi, ukibase kwa family ukaacha kazi ya Mungu ni makosa.
Romani katoliki limedumu miaka 2023 kwa sababu halikuruhusu ndoa kwa mapadre.
Wakristo wa kwanza pale Antokia uturuki ndio inaaminiwa ndipo chimbuko la kanisa la kwanza la Kikristo kabla ya kuhamia RomaKatoliki hawana miaka 2023 sio sahii
Roman empire wameadopt ukristo mwaka 380 baada ya kuzaliwa kristo
Yesu ndo anamiaka 2023 tokea azaliwe
Wakristo wakwanza ni wakina paulWakristo wa kwanza pale Antokia uturuki ndio inaaminiwa ndipo chimbuko la kanisa la kwanza la Kikristo kabla ya kuhamia Roma
Kwanini umeongea hivyo muumini mtiifuUkiwa mkatoliki ukashindwa kwenda mbinguni wewe ni lofa