mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Duh 🙄 !Mwinyi unamkumbuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh 🙄 !Mwinyi unamkumbuka?
Zanzibar hamna mavieite mengi !Tanzania kila kitu kigumu, Zanzibar vitu bei cheap sana, ila njoo nao huku uone maushuru yao. Utachoka
Ndo akili za kizanzibar usishangae.Huduma zinazopaswa kutolewa na Serikali haziwezi kusubiri hisani ya matajiri.
Zanzibar matibabu yote ni bure siyo dialysis tu. Hata akipata rufaa kuja muhimbili au hospital ya bara serikali inalipa. Fuatilia. By the way ni wizara mbili tofauti. Hatujaungana kwenye mambo ya afyaZanzibar kuna tajiri kajitolea sadaka yake.
Hao ni walelewa wetu! Tunawalipia kila kitu maji, umeme na matibabu!Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
Watu hata akili za kuzaliwa hawana, kazi sanaZanzibar hawafik 1m Tz tuko 60m
Tumien akili jaman
Hapo sasa 😱😱🙄🙄 !Nchi ya wezi,mafisadi,wabinafsi na walafi watakwambia serikali haina uwezo lakini wao wanalipana maposho makubwa na kujinunulia magari ya kutembelea ya milioni 500.
Unauwezo mdogo kuna uwezekano mkubwa ulifail masomoAnaulizaje swali kama hilo wakati Zenji na Bara ni mamlaka mbili tofauti...
Wabongo wakionywa wabadili mtindo wa maisha kuepukana na maradhi kama hayo ya figo, ndio kwanza watia pamba masikioni...
Huo sio uteteziZanzibar hawafik 1m Tz tuko 60m
Tumien akili jaman
Hata hiyo 180k Samia kaipunguza ilikuwa 309kTanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
Itakuwa gharama za wazenji zinabebwa na Tanganyika kimya kimyaTanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
Hivi uweze kupata hadhi ya kuwa Mzanzibar mkazi na uwe na haki zote za Kizanzibari ikiwemo na kumiliki ardhi na kupata huduma Bure za afya kwa ruhusa ya tajiri wa Zanzibar ni hatua zipi za kufuata? Ukizingatia Nina passport ya JMTZanzibar kuna tajiri kajitolea sadaka yake.
Uongo..Zanzibar kuna tajiri kajitolea sadaka yake.