Kwanini Dialysis Zanzibar ni bure na Tanzania bara 180,000 kwa siku

Kwanini Dialysis Zanzibar ni bure na Tanzania bara 180,000 kwa siku

Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?

=======

Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.

Hao ni walelewa wetu! Tunawalipia kila kitu maji, umeme na matibabu!
 
Anaulizaje swali kama hilo wakati Zenji na Bara ni mamlaka mbili tofauti...

Wabongo wakionywa wabadili mtindo wa maisha kuepukana na maradhi kama hayo ya figo, ndio kwanza watia pamba masikioni...
Unauwezo mdogo kuna uwezekano mkubwa ulifail masomo
 
Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?

=======

Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.

Hata hiyo 180k Samia kaipunguza ilikuwa 309k
 
Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?

=======

Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.

Itakuwa gharama za wazenji zinabebwa na Tanganyika kimya kimya
 
Back
Top Bottom