Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Huduma za afya kwa watanganyika ni bure hapa Zanzibar, haijalishi una kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi au lah.Hivi uweze kupata hadhi ya kuwa Mzanzibar mkazi na uwe na haki zote za Kizanzibari ikiwemo na kumiliki ardhi na kupata huduma Bure za afya kwa ruhusa ya tajiri wa Zanzibar ni hatua zipi za kufuata? Ukizingatia Nina passport ya JMT
Nchi ni mbili ila mbumbumbu ni mtanganyika.Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
Asante sana kwa Taarifa!!!Huduma za afya kwa watanganyika ni bure hapa Zanzibar, haijalishi una kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi au lah.
Wengi wanasafiri kuja Zanzibar kwa matibabu ya bure na wanapewa.
Unaweza kupata hadhi ya uzanzibar kwa kuwa na kitambulisho cha mzanzibar mkaazi na kinapatikana kwa kukaa Zanzibar kwa mda wa miaka 5 bila ya kuondoka.Hivi uweze kupata hadhi ya kuwa Mzanzibar mkazi na uwe na haki zote za Kizanzibari ikiwemo na kumiliki ardhi na kupata huduma Bure za afya kwa ruhusa ya tajiri wa Zanzibar ni hatua zipi za kufuata? Ukizingatia Nina passport ya JMT
AsanteUnaweza kupata hadhi ya uzanzibar kwa kuwa na kitambulisho cha mzanzibar mkaazi na kinapatikana kwa kukaa Zanzibar kwa mda wa miaka 5 bila ya kuondoka.
Kweli !Ile siyo nchi ni Paradiso.
Wajinga ndiyo waliwao.Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
NYINYI WATANGANYIKA SISI WAZANZIBARITanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
SISI WANZANZIBARI NYINYI WATANGANYIKAHivi Zanzibar sukari bei gani? Mafuta ya kula je??
Kunanamna tunachezewa cheku na wajanja...
Kila kitu kiko bei chee.Kweli !
Watanganyika wabinafsi sana hawahurumiani that’s it !Tuwe na serikali ya Tanganyika na wao wawe na serikali yao tuone Nini kitatokea hatutakuwa na malalamiko.
Wakati wa Nyerere tulikuwa tunatibiwa bure kabisa kabisa !!Nchi ni mbili ila mbumbumbu ni mtanganyika.
Zanzibar inawajali wananchi wake na inatambua maendeleo huletwa na watu wenye afya njema.Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
Huyu hayupo Tanzania huyu ndiyo maana ama hoji, watanzania bara waliopo Tanzania hata kuhoji hawawezi. Acha tuendelee kusoma namba upo siku tuta elewa tuu kuwa mzigo wa umasikini ndani ya hii inchi sababu kubwa ni aina ya viongozi 'na chama tulicho nacho madarakani miaka nenda rudi.