Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Hata hiyo TV iwe nchi ngapi bado bei haiwezi kuwa sawa ya dar na hapa huku parefuHua unaagiza kwa bei gn nchi 55
Hawanaga aibu maduka ya dodoma ,alafu hayajui biashara unakuta mtu anakuuzia kitu bei Kali na kushusha hatakiHata hiyo TV iwe nchi ngapi bado bei haiwezi kuwa sawa ya dar na hapa huku parefu
Mimi TV nimetoa mfano tu ila nilinunua controller zile dj equipment pioneer cdj kwa milioni moja na laki dar
Huku Dodoma ilikuwa inauzwa dukani milioni 2 na nusu..
Umeona sasa
Hapa ndio nakumbukaga ule msemo wa " Akili za kuambiwa changanya na zako.Yes
Hua nawauliza watu ,"who is a mentor of a mentor?"
Na sisi dawa ndiyo jeans tu utauziwa 30k dar watu wananunua haizidi 20k why bother?Hawanaga aibu maduka ya dodoma ,alafu hayajui biashara unakuta mtu anakuuzia kitu bei Kali na kushusha hataki
You're not a spoon fed person, fanya utafiti kidogo tu na utagundua kitu. Kuwa na jengo makao makuu Dodoma doesn't mean all activities are still being monitored in there. Ina maana hujui kwamba wafanyakazi wengi wamerudi Dar kwenye ofisi zao za zamani?Nitajie taasisi tano tu au wizara zilizoludi dar
Ni Moja tu ndugu , dodoma watu wanazidi kuhamia na sio kuhamaKuwa na jengo makao makuu Dodoma doesn't mean all activities are still being monitored in there. Ina maana hujui kwamba wafanyakazi wengi wamerudi Dar kwenye ofisi zao za zamani?
Hio ndio kitu unapenda wewe , lakini yule hawezi Kaa sehemu Moja tu , dar , dodoma ikibidi nchi nzima , kote ni haki ykeMama Kizimkazi yupo zake Daslam, unategemea na sie tubaki kwenye huo ukame? Kuoga ka magendo!!
Hapana, bakini na Dom lenu!
Ukimwambia una 25 hawataki wanakuacha uendeNa sisi dawa ndiyo jeans tu utauziwa 30k dar watu wananunua haizidi 20k why bother?
Mzunguko hauko poa kwa sasa ndugu , kwa ambaye ni mfanyabiashara ataelewa nilichoandika , kwa asiye mfanyabiashara hataelewaDar kugumu jamani
Hapo ndo wanakoseaNimekwambia Serikali inajenga Dodoma Kwa sura zote 2 yaani kuwa Mji wa kiserikali na Mji wa biashara.
Ndio maana Kilimo Cha Umwagiliaji kinaletwa,viwanda vinahimizwa,logistics cetre zinawekwa ,na mambo kama hayo yanayovutia wawekezaji ikiwemo uchimbaji nanuchenjuaji Madini,arenas nk
Tupe maendeleo ya Standi na Soko la DodomaKinachoitwa uchumi wa kisiasa sijui hauna mizizi labda mtueleze ndio uchumi gani huo.
Kama ulizoea mzunguko wa Dar kwenye watu mil.4 ndio uje ulete Dom yenye watu 800k utakuwa huna akili.
Mwisho unachokiona Sasa Dom kuanzia kule Mji wa Serikali nk ndio kwanza hata nusu ya majengo ya taasisi Bado.
Mfano Yale majengo ya Wizara ni awamu ya kwanza,Kila Wizara Bado majengo 2 zaidi maana plan nimekuwa na majengo 3 Kwa Kila Wizara so Dom haipoi Leo Wala kesho.
Mji utazidi kukua huo,hapo ni 40% tuu ya mhitaji ya kiserikali yamekamilishwa maana hata basic miundombinu Bado ikiwemo airports,masoko na stendi za daladala.
Maendeleo yapi?Tupe maendeleo ya Standi na Soko la Dodoma
Kwa nini wanakosea?Hapo ndo wanakosea
SGR ikikamilika, bei na muda ukiwa vizuri watu watalala Dsm na kufanya kazi DodomaDar Es Salaam Watu Wanarudi Taratibu
Kabisa.💪One day mambo yatakua shwali
Bibi yenu hana mkono wa biashara! Hata huku kwingine biashara nyingi zinakufa!Nipo Dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,
Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,
Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,
Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu
Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,
Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,
Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
SGR Mkuu HaitatembeaSGR ikikamilika, bei na muda ukiwa vizuri watu watalala Dsm na kufanya kazi Dodoma
Stand inapiga kazi muda wote hata soko piaTupe maendeleo ya Standi na Soko la Dodoma
Kabisa mkuuMzunguko hauko poa kwa sasa ndugu , kwa ambaye ni mfanyabiashara ataelewa nilichoandika , kwa asiye mfanyabiashara hataelewa