DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hua unaagiza kwa bei gn nchi 55
Hata hiyo TV iwe nchi ngapi bado bei haiwezi kuwa sawa ya dar na hapa huku parefu

Mimi TV nimetoa mfano tu ila nilinunua controller zile dj equipment pioneer cdj kwa milioni moja na laki dar
Huku Dodoma ilikuwa inauzwa dukani milioni 2 na nusu..

Umeona sasa
 
Hata hiyo TV iwe nchi ngapi bado bei haiwezi kuwa sawa ya dar na hapa huku parefu

Mimi TV nimetoa mfano tu ila nilinunua controller zile dj equipment pioneer cdj kwa milioni moja na laki dar
Huku Dodoma ilikuwa inauzwa dukani milioni 2 na nusu..

Umeona sasa
Hawanaga aibu maduka ya dodoma ,alafu hayajui biashara unakuta mtu anakuuzia kitu bei Kali na kushusha hataki
 
Nitajie taasisi tano tu au wizara zilizoludi dar
You're not a spoon fed person, fanya utafiti kidogo tu na utagundua kitu. Kuwa na jengo makao makuu Dodoma doesn't mean all activities are still being monitored in there. Ina maana hujui kwamba wafanyakazi wengi wamerudi Dar kwenye ofisi zao za zamani?
 
Kuwa na jengo makao makuu Dodoma doesn't mean all activities are still being monitored in there. Ina maana hujui kwamba wafanyakazi wengi wamerudi Dar kwenye ofisi zao za zamani?
Ni Moja tu ndugu , dodoma watu wanazidi kuhamia na sio kuhama
 
Nimekwambia Serikali inajenga Dodoma Kwa sura zote 2 yaani kuwa Mji wa kiserikali na Mji wa biashara.

Ndio maana Kilimo Cha Umwagiliaji kinaletwa,viwanda vinahimizwa,logistics cetre zinawekwa ,na mambo kama hayo yanayovutia wawekezaji ikiwemo uchimbaji nanuchenjuaji Madini,arenas nk
Hapo ndo wanakosea
 
Kinachoitwa uchumi wa kisiasa sijui hauna mizizi labda mtueleze ndio uchumi gani huo.

Kama ulizoea mzunguko wa Dar kwenye watu mil.4 ndio uje ulete Dom yenye watu 800k utakuwa huna akili.

Mwisho unachokiona Sasa Dom kuanzia kule Mji wa Serikali nk ndio kwanza hata nusu ya majengo ya taasisi Bado.

Mfano Yale majengo ya Wizara ni awamu ya kwanza,Kila Wizara Bado majengo 2 zaidi maana plan nimekuwa na majengo 3 Kwa Kila Wizara so Dom haipoi Leo Wala kesho.

Mji utazidi kukua huo,hapo ni 40% tuu ya mhitaji ya kiserikali yamekamilishwa maana hata basic miundombinu Bado ikiwemo airports,masoko na stendi za daladala.
Tupe maendeleo ya Standi na Soko la Dodoma
 
Nipo Dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,

Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,

Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,

Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu

Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,

Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,

Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
Bibi yenu hana mkono wa biashara! Hata huku kwingine biashara nyingi zinakufa!
 
Back
Top Bottom