DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Yes tena kimwamba hasa...kwa kifupi...hajui biashara..landlords afanye nn...jenga na ww upangishe...kabla ya kuanza biashara yako fanya utafiti wa kutosha...jua walaji wa biashara yako...location...mtaji wako...nk..vingine utajiongeza
 
Kama viongozi wote wa nchi wapo dar, nani atanunua kwa fremu yako
 
Hiyo biashara faida laki na nusu sio mchezo. Lazima mauzo kwa siku yawe 750k hadi 1m ambapo hapo kama ni nguo basi za jumla au sehemu yenye mzunguko mkubwa kama KKOO.
 
Sio bei ya kawaida acha upotoshaji unajua vipato vya watanzania wengi ni milion kwa mwaka mzima

Laki 700 kwa mwezi ni ela kubwa sana ni bei za kariakoo hizo hata dar ukitoa kariakoo huku mtaani huwezi kuta laki 7 kwa mwezi
 
Yes tena kimwamba hasa...kwa kifupi...hajui biashara..landlords afanye nn...jenga na ww upangishe...kabla ya kuanza biashara yako fanya utafiti wa kutosha...jua walaji wa biashara yako...location...mtaji wako...nk..vingine utajiongeza
Sawa, pia formula yako ipo sawa.
Isipokuwa wenye hasara hapo ni landlords kwa sababu ya kukariri wanashindwa kwenda na bei na wakati kama kanuni ya soko inavyotaka.
 
Sio bei ya kawaida acha upotoshaji unajua vipato vya watanzania wengi ni milion kwa mwaka mzima

Laki 700 kwa mwezi ni ela kubwa sana ni bei za kariakoo hizo hata dar ukitoa kariakoo huku mtaani huwezi kuta laki 7 kwa mwezi
Mkuu nina ofisi mbili mkoani...moja nalipa laki nane kwa mwez na nyingine nalipa laki tano kwa mwezi...ukibisha njoo inbox nakupa na receipts kabisaa...yaan ukishindwa umeshindwa wewe...
 
Kuna factors zinazosababisha kuwepo na double price tofauti na Dar. Kama gharama za uendeshaji ni kubwa, kodi kubwa, kupangisha fremu ni hela nyingi lazima bidhaa ziwe gharama pia.
 
Dodoma mjini inazidiwa hata na mbagala
 
Hujawahi fanya biashara ndio maana unaandika hivi. Hata hiyo laki saba uliyosimuliwa unayoona nyingi bado kwa wengine ni ndogo sana. Kuna watu wanalipa milioni 5 kodi ya pango kila mwezi.

Hakuna mfanyabiashara analipa kodi kwa misifa kama unavyotaka kuaminisha watu, kodi inalipwa value for money. Mfanyabiashara huyohuyo anaweza kuwa analipa kodi ya 2M duka fulani, akaja kufungua branch ukataka alipe laki tano akakataa ila akasogea kidogo akaambiwa milioni moja akakubali.

Dodoma haina hadhi ya kulipisha laki saba kwenye fremu kwa mwezi, haina hadhi hiyo.
 
Tatizo watu wanaanzisha biashara wanazo zipenda wao...unakuta mtu anapenda vipodoz bas anaanzisha duka la vipodoz... mtu anapenda kuvaa na kupendeza bas anafungua duka la mavaz...mtu anapenda urembo bas anaanzisha biashara ya urembo...siku zote angalieni mahitaji muhimu yanayo enda tatua matatizo ya jamii...hivi leo hii nisipo vaa cheni...cjui hereni...nk napungukiwa nn? (Hiz ni luxuries goods) ambazo binafsi nitafanya purchasing endapo nina pesa ya ziada...hivi mkiuza vyombo vya majumban hamuoni kama ni basics sana kwa jamii...caz ni bidhaa isiyo kuwa na msimu...wanafunzi wanapangiwa vyuoni watanunua...anae enda anza maisha atanunua...zawadi zq maharus watanunua...sikukuu zote watanunua...kwenye migahawa na hotel watanunua yaan ...fanyeni biashasha inayo tatua matatizo ya jamii kiujumla
 
Peleka upuuzi wako huko...kwa hyo umeniajiri?
 
Dodoma ni mji wa gharama utakuja kuvunja rekodi hapo ...Hali ya ule mji utakuwa zaidi ya Dar hawana uzalishaji hata mazao ya kilimo...Kila kitu wanaagiza mkoani Dodoma samaki ni bei sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…