Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,824
- 2,264
Huduma nilizoacha kutumia
1. Kutoa fedha zilizoko kwenye account ya bank kwa wakala
2. Kutumia apps mbali mbali za fedha kwenye simu
3. Kutuma ama kutoa fedha kwenye account ya bank kwa njia ya simu
Waweza ona imerahisha huduma bali ni garama sanaa
Una compare na nini? Kubwa zaidi ya nini ? Ngapi ulitaka iwe ndio uone fair ?Hili suala limekaaje kitaalamu, mfano benki kama NMB ukitaka kutuma pesa kwa mtu kutoka kwenye Akaunti ya benki kwenda kwa namba yake ya simu Cha mtema Kuni utakiona. Je hii ni sawa wakuu? Kwanza gharama za makato hazionekani kabla ya kutuma pesa, ila utakutana nazo tu ukishatuma tayari. Hii si sawa benki kama taasisi muhimu za kiuchumi zijaribu kuwa wawazi katika mchakato mzima wa utumiaji wa huduma zao kwa njia ya simu.
weka takwimu uzi unoge!Hili suala limekaaje kitaalamu, mfano benki kama NMB ukitaka kutuma pesa kwa mtu kutoka kwenye Akaunti ya benki kwenda kwa namba yake ya simu Cha mtema Kuni utakiona. Je hii ni sawa wakuu? Kwanza gharama za makato hazionekani kabla ya kutuma pesa, ila utakutana nazo tu ukishatuma tayari. Hii si sawa benki kama taasisi muhimu za kiuchumi zijaribu kuwa wawazi katika mchakato mzima wa utumiaji wa huduma zao kwa njia ya simu.