Kwanini Graduates wengi hawapendi kazi zenye kipato kidogo?

Kwanini Graduates wengi hawapendi kazi zenye kipato kidogo?

jastertz

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2020
Posts
407
Reaction score
768
Hello JF!

Currently tuna changamoto ya ajira kwa wanazuoni wengi but hata zile zenye kipato kidogo hawataki. Anaona kuliko apewe 150k per month bora akae nyumbani au bila kazi. Bila kujua pale sio tu anapata 150k but exposure ya mambo mbali mbali pamoja na ujuzi na kuaminika maeneo mbalimbali. Mtu kamaliza 2015 but cv yake inaonesha experience ni field peke yake. Why?

Anyway pia mimi ni jobless natafuta kazi yenye kipato kizuri wakuu 😎🙁

Nina Bachelor of Science in Applied Statistics.
 
Hello JF!

Currently tuna changamoto ya ajira kwa wanazuoni wengi but hata zile zenye kipato kidogo hawataki. Anaona kuliko apewe 150k per month bora akae nyumbani au bila kazi. Bila kujua pale sio tu anapata 150k but exposure ya mambo mbali mbali pamoja na ujuzi na kuaminika maeneo mbalimbali. Mtu kamaliza 2015 but cv yake inaonesha experience ni field peke yake. Why?

Anyway pia mimi ni jobless natafuta kazi yenye kipato kizuri wakuu 😎🙁

Nina Bachelor of Science in Applied Statistics.
Za sensa ulipata?
 
Hello JF!

Currently tuna changamoto ya ajira kwa wanazuoni wengi but hata zile zenye kipato kidogo hawataki. Anaona kuliko apewe 150k per month bora akae nyumbani au bila kazi. Bila kujua pale sio tu anapata 150k but exposure ya mambo mbali mbali pamoja na ujuzi na kuaminika maeneo mbalimbali. Mtu kamaliza 2015 but cv yake inaonesha experience ni field peke yake. Why?

Anyway pia mimi ni jobless natafuta kazi yenye kipato kizuri wakuu 😎🙁

Nina Bachelor of Science in Applied Statistics.
Kataa ualimu
Kazi ya ualimu ni chanzo cha umasikini ngazi ya familia mpaka ukoo
 
Mentality tuliyojengewa Toka vizazi na vizazi kua ukisoma baasi sharti upate Kazi ya tai shingoni

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
na hizo ni za wachache sometimes za wenye watu wao. but sisi wengi lazima uanzie kutumwa maandazi na chai kwenye ofisi za watu japo kwa muda hata mwezi mmoja😂
 
Hivi unawezaje kuridhika na mshahara wa 150K per month na pia unaanzaje kukaa nyumbani come on fanya kazi kijana.
Inshort hautoshi kwa lolote na kwa chochote,
Especially kwa tulioko mijini hailipi kodi, huwezi kuridhika.

but unaenda mahali mtu anakwambia kazi ipo but ntakulipa 150k kwa miezi ya mwanzo.
 
(150000÷30=5000kila siku sasa-1000 ya nauli inabaki 4000 alafu toa-1000ya chai inabaki 3000 alafu toa 1500 usiku mchana usile inabaki 1500. - 500 vocha = 1000

Weka buku × 30=30000 × 12= 360000
Laki 3.6 kwa mwaka kamtaji kazuri tu hako..

Shida vijana starehe hawa

ila kwa ambao mmepanga au una mke au mtoto ... Hiyo ni special case wife hapo lazima na yeye ajishughulishe in any means
 
Back
Top Bottom