Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
bors upate kidogo kuliko kukosa hata jero ya kuchekia UEFA kibanda umiza auvocha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hadi chai anakunywa .😳😳😳😋😋(150000÷30=5000kila siku sasa-1000 ya nauli inabaki 4000 alafu toa-1000ya chai inabaki 3000 alafu toa 1500 usiku mchana usile inabaki 1500. - 500 vocha = 1000
Weka buku × 30=30000 × 12= 360000
Laki 3.6 kwa mwaka kamtaji kazuri tu hako..
Shida vijana starehe hawa
ila kwa ambao mmepanga au una mke au mtoto ... Hiyo ni special case wife hapo lazima na yeye ajishughulishe in any means
Tena hawanywi chai ni cha mchana na jioniWe jamaa hesabu kali sana ila wengi hutembea miguu kwenda makazini
Mbona tunasurvive mkuu...Tuache masihara how would you survive with 150k in a whole month?
PatheticKumbe 12x30,000 ni laki sita?
Motivesheni spika hata hesabu za darasa la pili hujui?!
Pls naomba unitajie ni kada ipi serikalini wanachukua mshahara wa 280k?Laki 3 unaiona ndogo wakati Kuna wafanyakazi wa serikali kwa mwezi wanachukua 280k
Kama unaona si haki kwako unaiacha ila wapo wanaoitaka mkuu.sio hamna wanaolipa. tunasemea majority kiongozi. janga ni kwa wengi
Hii nayo ni pointKwa Dar, huu ni mshahara wa dada wa kazi anayekula na kulala hapo hapo kwako. Halipi kodi, bili ya maji wala umeme... na hatumii nauli kwenda kazini.
Graduate ukifikia mahali pa kukubali kulipwa 150K kwa mwezi, bora unywe sumu ufe ukale raha mbinguni...😎😎😎
Usafiri wa nn mkuu huo ni uharibifu wa pesa(150000÷30=5000kila siku sasa-1000 ya nauli inabaki 4000 alafu toa-1000ya chai inabaki 3000 alafu toa 1500 usiku mchana usile inabaki 1500. - 500 vocha = 1000
Weka buku × 30=30000 × 12= 360000
Laki 3.6 kwa mwaka kamtaji kazuri tu hako..
Shida vijana starehe hawa
ila kwa ambao mmepanga au una mke au mtoto ... Hiyo ni special case wife hapo lazima na yeye ajishughulishe in any means
Hapo tutaelewana😂😂kwamba atunze hela, usafiri ni wakati wa jua kali na vipindi vya mvua pekee