Kwanini Graduates wengi hawapendi kazi zenye kipato kidogo?

Kwanini Graduates wengi hawapendi kazi zenye kipato kidogo?

Hello JF!

Currently tuna changamoto ya ajira kwa wanazuoni wengi but hata zile zenye kipato kidogo hawataki. Anaona kuliko apewe 150k per month bora akae nyumbani au bila kazi. Bila kujua pale sio tu anapata 150k but exposure ya mambo mbali mbali pamoja na ujuzi na kuaminika maeneo mbalimbali. Mtu kamaliza 2015 but cv yake inaonesha experience ni field peke yake. Why?

Anyway pia mimi ni jobless natafuta kazi yenye kipato kizuri wakuu 😎🙁

Nina Bachelor of Science in Applied Statistics.
Kuishi maisha ya maigizo😂
 
Kipindi wanasoma waliambiwa watalipwa mishahara minono wakiingia kwenye ajira.
 
Mbona ma bar maid wanaishi,makampuni mengi ya ulinzi mishahara yao inachezea 150k 200k hao unafikiri wanaishije na wanafamilia
Ukiona mtu anaishi kwa mshahara huo ujue anaiba.
Ili utoke Goba, mpaka ufike Posta, unahitaji sh elf nne kwa siku... bado hujala. So kuna muujiza gani uka survive kwa laki mbili?
 
sawa but majority ya hizo kazi lazima uanzie entry level.

nani akulipe 700k wakati ndo unaanza.

Wanatakiwa waamke.
Kwani hamna wanaolipa hiyo pesa??

Ninyi ndo mnaishusha hadhi elimu alah
 
Binadamu wote sio sawa wewe hyo 150k unaamini itakutoa sawa wengine awaamini wanaona ni kiduchu nayo pia sawa cha msingi kila mtu ashinde mechi zake za maisha
 
Binadamu wote sio sawa wewe hyo 150k unaamini itakutoa sawa wengine awaamini wanaona ni kiduchu nayo pia sawa cha msingi kila mtu ashinde mechi zake za maisha
hao wanaona kiduchu ni hawana mzee sio kwamba wanazo
 
Kwa Dar, huu ni mshahara wa dada wa kazi anayekula na kulala hapo hapo kwako. Halipi kodi, bili ya maji wala umeme... na hatumii nauli kwenda kazini.
Graduate ukifikia mahali pa kukubali kulipwa 150K kwa mwezi, bora unywe sumu ufe ukale raha mbinguni...[emoji41][emoji41][emoji41]
Hapo uko kwa shemeji hujui hata dada wa kazi analipwa bei gani.
Amka usijetiwa na wewe
 
Wee km unatafuta kazi, tafuta kivyako, sio kuja na ujumlishi wa jambo ambalo huna hakika naloo.

Hebu kaa kwa kutulia.
 
Hello JF!

Currently tuna changamoto ya ajira kwa wanazuoni wengi but hata zile zenye kipato kidogo hawataki. Anaona kuliko apewe 150k per month bora akae nyumbani au bila kazi. Bila kujua pale sio tu anapata 150k but exposure ya mambo mbali mbali pamoja na ujuzi na kuaminika maeneo mbalimbali. Mtu kamaliza 2015 but cv yake inaonesha experience ni field peke yake. Why?

Anyway pia mimi ni jobless natafuta kazi yenye kipato kizuri wakuu 😎🙁

Nina Bachelor of Science in Applied Statistics.
Duh haitakiwi ukae nyumbani jaman tafuta angalau ya laki tatu ,hio laki moja na nusu ni uongo inaishia kwenye nauli na kubaki kidogo sana hata kula haitoshi kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom