Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Graduate?Laki 3 unaiona ndogo wakati Kuna wafanyakazi wa serikali kwa mwezi wanachukua 280k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Graduate?Laki 3 unaiona ndogo wakati Kuna wafanyakazi wa serikali kwa mwezi wanachukua 280k
Kuishi maisha ya maigizo😂Hello JF!
Currently tuna changamoto ya ajira kwa wanazuoni wengi but hata zile zenye kipato kidogo hawataki. Anaona kuliko apewe 150k per month bora akae nyumbani au bila kazi. Bila kujua pale sio tu anapata 150k but exposure ya mambo mbali mbali pamoja na ujuzi na kuaminika maeneo mbalimbali. Mtu kamaliza 2015 but cv yake inaonesha experience ni field peke yake. Why?
Anyway pia mimi ni jobless natafuta kazi yenye kipato kizuri wakuu 😎🙁
Nina Bachelor of Science in Applied Statistics.
Ukiona mtu anaishi kwa mshahara huo ujue anaiba.Mbona ma bar maid wanaishi,makampuni mengi ya ulinzi mishahara yao inachezea 150k 200k hao unafikiri wanaishije na wanafamilia
Kwani hamna wanaolipa hiyo pesa??sawa but majority ya hizo kazi lazima uanzie entry level.
nani akulipe 700k wakati ndo unaanza.
Wanatakiwa waamke.
Mwalimu ana posho gani?Kumbuka anakua na posho za hapo na pale nje ya 280k. Afu Kazi sio kiviiiiiilllleeeee
Kwingine...laki 3 hiyohiyo...mikazi kama tipa la mchanga! Aah sio kweli bob!!!
Hapo uko kwa shemeji hujui hata dada wa kazi analipwa bei gani.Kwa Dar, huu ni mshahara wa dada wa kazi anayekula na kulala hapo hapo kwako. Halipi kodi, bili ya maji wala umeme... na hatumii nauli kwenda kazini.
Graduate ukifikia mahali pa kukubali kulipwa 150K kwa mwezi, bora unywe sumu ufe ukale raha mbinguni...[emoji41][emoji41][emoji41]
Kwenda kusaihihisha mitihaniMwalimu ana posho gani?
UnaotaKwenda kusaihihisha mitihani
Hapana si wanaishi hao wanatarget zao ndo mana wanaona aiwatoshihao wanaona kiduchu ni hawana mzee sio kwamba wanazo
Duh haitakiwi ukae nyumbani jaman tafuta angalau ya laki tatu ,hio laki moja na nusu ni uongo inaishia kwenye nauli na kubaki kidogo sana hata kula haitoshi kwa mwezi.Hello JF!
Currently tuna changamoto ya ajira kwa wanazuoni wengi but hata zile zenye kipato kidogo hawataki. Anaona kuliko apewe 150k per month bora akae nyumbani au bila kazi. Bila kujua pale sio tu anapata 150k but exposure ya mambo mbali mbali pamoja na ujuzi na kuaminika maeneo mbalimbali. Mtu kamaliza 2015 but cv yake inaonesha experience ni field peke yake. Why?
Anyway pia mimi ni jobless natafuta kazi yenye kipato kizuri wakuu 😎🙁
Nina Bachelor of Science in Applied Statistics.
(
Weka buku × 30=30000 × 12= 600000
Laki 6 kwa mwaka kamtaji kazuri tu hako..
Shida vijana starehe hawa
Ukimsikia graduate anasema ajira akuna huyo keshastuka lazima atakua na plan b ya kuendesha maisha ndo maana anatambua ajira akuna na bado 150k ataki anamipango huyootarget gani unakataa unasema ajira hamna.