Kwanini Graduates wengi hawapendi kazi zenye kipato kidogo?

Kwanini Graduates wengi hawapendi kazi zenye kipato kidogo?

(150000÷30=5000kila siku sasa-1000 ya nauli inabaki 4000 alafu toa-1000ya chai inabaki 3000 alafu toa 1500 usiku mchana usile inabaki 1500. - 500 vocha = 1000

Weka buku × 30=30000 × 12= 600000
Laki 6 kwa mwaka kamtaji kazuri tu hako..

Shida vijana starehe hawa

ila kwa ambao mmepanga au una mke au mtoto ... Hiyo ni special case wife hapo lazima na yeye ajishughulishe in any means
Huwezi kuishi hivi, hata mwezi,
 
(150000÷30=5000kila siku sasa-1000 ya nauli inabaki 4000 alafu toa-1000ya chai inabaki 3000 alafu toa 1500 usiku mchana usile inabaki 1500. - 500 vocha = 1000

Weka buku × 30=30000 × 12= 600000
Laki 6 kwa mwaka kamtaji kazuri tu hako..

Shida vijana starehe hawa

ila kwa ambao mmepanga au una mke au mtoto ... Hiyo ni special case wife hapo lazima na yeye ajishughulishe in any means
Mwaka mzima hujaugua, mwaka mzima hujapata dharula, huna majukumu mengine hata kidogo.
 
(150000÷30=5000kila siku sasa-1000 ya nauli inabaki 4000 alafu toa-1000ya chai inabaki 3000 alafu toa 1500 usiku mchana usile inabaki 1500. - 500 vocha = 1000

Weka buku × 30=30000 × 12= 600000
Laki 6 kwa mwaka kamtaji kazuri tu hako..

Shida vijana starehe hawa

ila kwa ambao mmepanga au una mke au mtoto ... Hiyo ni special case wife hapo lazima na yeye ajishughulishe in any means

Dah we jamaa [emoji23]
 
Wanasema kuku siku hizi sio watamu, na wao pia wanataka wale bata!
 
Hivi unawezaje kuridhika na mshahara wa 150K per month na pia unaanzaje kukaa nyumbani come on fanya kazi kijana.
Kwa Dar, huu ni mshahara wa dada wa kazi anayekula na kulala hapo hapo kwako. Halipi kodi, bili ya maji wala umeme... na hatumii nauli kwenda kazini.
Graduate ukifikia mahali pa kukubali kulipwa 150K kwa mwezi, bora unywe sumu ufe ukale raha mbinguni...😎😎😎
 
Back
Top Bottom