The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Inawezekana.. inategemea upo wapi, matumizi yako, etcTuache masihara how would you survive with 150k in a whole month?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana.. inategemea upo wapi, matumizi yako, etcTuache masihara how would you survive with 150k in a whole month?
Huwezi kuishi hivi, hata mwezi,(150000÷30=5000kila siku sasa-1000 ya nauli inabaki 4000 alafu toa-1000ya chai inabaki 3000 alafu toa 1500 usiku mchana usile inabaki 1500. - 500 vocha = 1000
Weka buku × 30=30000 × 12= 600000
Laki 6 kwa mwaka kamtaji kazuri tu hako..
Shida vijana starehe hawa
ila kwa ambao mmepanga au una mke au mtoto ... Hiyo ni special case wife hapo lazima na yeye ajishughulishe in any means
sawa but majority ya hizo kazi lazima uanzie entry level.
nani akulipe 700k wakati ndo unaanza.
Wanatakiwa waamke.
Mbona Kama umeenda pembeni.Kataa ualimu
Kazi ya ualimu ni chanzo cha umasikini ngazi ya familia mpaka ukoo
Mwaka mzima hujaugua, mwaka mzima hujapata dharula, huna majukumu mengine hata kidogo.(150000÷30=5000kila siku sasa-1000 ya nauli inabaki 4000 alafu toa-1000ya chai inabaki 3000 alafu toa 1500 usiku mchana usile inabaki 1500. - 500 vocha = 1000
Weka buku × 30=30000 × 12= 600000
Laki 6 kwa mwaka kamtaji kazuri tu hako..
Shida vijana starehe hawa
ila kwa ambao mmepanga au una mke au mtoto ... Hiyo ni special case wife hapo lazima na yeye ajishughulishe in any means
Vipo wapi?Kariakoo hakuna viwanda
(150000÷30=5000kila siku sasa-1000 ya nauli inabaki 4000 alafu toa-1000ya chai inabaki 3000 alafu toa 1500 usiku mchana usile inabaki 1500. - 500 vocha = 1000
Weka buku × 30=30000 × 12= 600000
Laki 6 kwa mwaka kamtaji kazuri tu hako..
Shida vijana starehe hawa
ila kwa ambao mmepanga au una mke au mtoto ... Hiyo ni special case wife hapo lazima na yeye ajishughulishe in any means
We elewa hakuna kiwanda kariakooVipo wapi?
Laki 3 unaiona ndogo wakati Kuna wafanyakazi wa serikali kwa mwezi wanachukua 280kSasa mnataka muwalipe 300k si Bora wakalale nyumbani tuu.
Au awe kibenten
Kumbuka anakua na posho za hapo na pale nje ya 280k. Afu Kazi sio kiviiiiiilllleeeeeLaki 3 unaiona ndogo wakati Kuna wafanyakazi wa serikali kwa mwezi wanachukua 280k
Vipi ukiugua? Yani hapo una maanisha , mwaka mzima usinywe hata soda. Mwendo wa kupiga puchu tu dadeki..kaaaaahhhhhhh!!! Wewe kaka jambazi ni muuaji asee!!!Dah we jamaa [emoji23]
Changamoto ndio nini?Maisha yana changamoto sana
Kwa Dar, huu ni mshahara wa dada wa kazi anayekula na kulala hapo hapo kwako. Halipi kodi, bili ya maji wala umeme... na hatumii nauli kwenda kazini.Hivi unawezaje kuridhika na mshahara wa 150K per month na pia unaanzaje kukaa nyumbani come on fanya kazi kijana.
Mbona ma bar maid wanaishi,makampuni mengi ya ulinzi mishahara yao inachezea 150k 200k hao unafikiri wanaishije na wanafamiliaTuache masihara how would you survive with 150k in a whole month?