Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona vyumba hata vya 20000 vimejaa Dsmnimeshuhudia mtu analipwa 3000 kwa siku anafamilia na amepanga.
Unaish cbini ya daraja kodi ujatoa apo, ujala tunda kimasihara ko kwa mwaka unabaki na 400k(150000÷30=5000kila siku sasa-1000 ya nauli inabaki 4000 alafu toa-1000ya chai inabaki 3000 alafu toa 1500 usiku mchana usile inabaki 1500. - 500 vocha = 1000
Weka buku × 30=30000 × 12= 600000
Laki 6 kwa mwaka kamtaji kazuri tu hako..
Shida vijana starehe hawa
ila kwa ambao mmepanga au una mke au mtoto ... Hiyo ni special case wife hapo lazima na yeye ajishughulishe in any means
Tatizo la Tanzania twasoma bila kujua twasome ili iweje.basi kwa mwaka mtaji utakua around 1m.
Nmesema hapo kwa waliopanga hiyo ni special case.... Kupanga kwa mshahara wa 150k ... Kunataka moyoUnaish cbini ya daraja kodi ujatoa apo, ujala tunda kimasihara ko kwa mwaka unabaki na 400k
Wapi huko? Chanika?Mbona vyumba hata vya 20000 vimejaa Dsm
Kweli kabisa yaani unakuta kazi unalipwa hata laki kwa mwezi... Lakini kwa siku ukiingia job uwezo wako tu unaweza ondoka hata na 20kKuna kazi ndio mshahara 160k ila ukienda job unarudi na masalia salia iyo nzuri fanya kwa malengo usiridhike, jibane haswa hakikisha kama una majukumu bas save 100k kwa mwezi
Mbande, Chanika, MvutiWapi huko? Chanika?
Yess hao ndo uakuta anafamilia na kapanga tofauti na hapo usije oa kwa mshahara wa 150k labda kupanga na sharti uwe bachelorKweli kabisa yaani unakuta kazi unalipwa hata laki kwa mwezi... Lakini kwa siku ukiingia job uwezo wako tu unaweza ondoka hata na 20k
Tatizo ni mfumo wetu wa elimu tokea mwanzo.Tatizo la Tanzania twasoma bila kujua twasome ili iweje.
Mtu anasoma huku amekariri kupata kazi, hivyo ataibia mitihani,atajitesa kwa waganga ili afaulu.
Tungewekeza muda wa kusoma kujielimisha ili elimu itusaidie tatua changamoto zilizo mbele yetu mchawi angebaki mtaji tu na uaminifu
Wewe unaweza kutembea Chanika - Kariakoo?Mbande, Chanika, Mvuti
Kariakoo hakuna viwandaWewe unaweza kutembea Chanika - Kariakoo?
watu wana familia na wanasomesha 150k nyingi . ingia mtaani uone mkuu