Kwanini Graduates wengi hawapendi kazi zenye kipato kidogo?

Kumbe hadi chai anakunywa .😳😳😳😋😋
 
kuna muda wale wanaosadikika wapo freemason naona kama wamenizid akili
 
Ni rahisi kuandika na kushauri,hata kuna watu wanaandika vitabu namna ya kuwa tajiri ila wao ni mafukara!!...hio mia unusu haitoshi kuendesha maisha na hapo hapo uweke akiba,tukumbuke kuna DHARURA!
 
Ila hawa wazee wa siku hizi sijui wanatuonaje vijana hivi 150k za TAESA zinaendana na hali ya maisha ya saivi?
 
Hii nayo ni point
 
Usafiri wa nn mkuu huo ni uharibifu wa pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…