Kwanini hakuna mpango wa maalum wa kujuza umma ikitokea kiongozi amepata maradhi?

Kwanini hakuna mpango wa maalum wa kujuza umma ikitokea kiongozi amepata maradhi?

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Kwamba nyumba yetu haina protocol maalum ya kufahamishana hali za kiafya za wanafamilia!

Mara ya mwisho wanafamilia kupata taarifa rasmi ni mwaka 2014 alipofanyiwa upasuaji JK. Tena mpaka vyombo vikubwa viliripoti.

Screenshot_20241110_123851_Chrome.jpg

Kwani viongozi wa kaya hawajui kwamba mficha maradhi kifo humuumbua?
 
Watu wa usalama kwa sasa wengi ni under age..kutojali, ubinafsi, ujinga, kiburi vimefanya kazi inayopaswa kufanywa na watu wazima wanaofahamu kuwa binadamu nini maana yake..vimetengeneza ufa wa under age kufanya kazi za usalama! si kosa lao lkn..tutafute mchawi aliyesababisha usalama kuwa na under age wengi.
 
Kwamba nyumba yetu haina protocol maalum ya kufahamishana hali za kiafya za wanafamilia!

Mara ya mwisho wanafamilia kupata taarifa rasmi ni mwaka 2014 alipofanyiwa upasuaji JK. Tena mpaka vyombo vikubwa viliripoti.


Kwani viongozi wa kaya hawajui kwamba mficha maradhi kifo humuumbua?
ni nani aliwafahamisha umma na vyombo vya habari?

alifanya hivyo kabla ya matibabu au baada?

alieleza kugundua tatizo tangu lini na akatibiwa lini?

Afya ni suala binafsi hata kama ni la kiongozi wa umma 🐒
 
Watu wa usalama kwa sasa wengi ni under age..kutojali, ubinafsi, ujinga, kiburi vimefanya kazi inayopaswa kufanywa na watu wazima wanaofahamu kuwa binadamu nini maana yake..vimetengeneza ufa wa under age kufanya kazi za usalama! si kosa lao lkn..tutafute mchawi aliyesababisha usalama kuwa na under age wengi.
Sio kweli hoja yako under age wengi ni field officer sio senior officer
 
Watu wa usalama kwa sasa wengi ni under age..kutojali, ubinafsi, ujinga, kiburi vimefanya kazi inayopaswa kufanywa na watu wazima wanaofahamu kuwa binadamu nini maana yake..vimetengeneza ufa wa under age kufanya kazi za usalama! si kosa lao lkn..tutafute mchawi aliyesababisha usalama kuwa na under age wengi.
Ukiona hivyo ujue yawezekana wengi ni watoto,mashemeji,binamu nk wa vigogo.
 
Back
Top Bottom