Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Shida viongozi wetu ni wanaamini kwenye ushirikina badala ya MUNGU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Confidential, huyo ni kiongozi wa nchi so kuna vitu vitawekwa wazi but not everything. Vingine ni kwa usalama wakeKwamba nyumba yetu haina protocol maalum ya kufahamishana hali za kiafya za wanafamilia!
Mara ya mwisho wanafamilia kupata taarifa rasmi ni mwaka 2014 alipofanyiwa upasuaji JK. Tena mpaka vyombo vikubwa viliripoti.
Kwani viongozi wa kaya hawajui kwamba mficha maradhi kifo humuumbua?
Israili siku hizi anaremba sana.Taarifa kamili ni baada ya mbuyu kuanguka, kwahy subiri
Israili siku hizi anaremba sanaTaarifa kamili ni baada ya mbuyu kuanguka, kwahy subiri
Cuban marimbaKwamba nyumba yetu haina protocol maalum ya kufahamishana hali za kiafya za wanafamilia!
Mara ya mwisho wanafamilia kupata taarifa rasmi ni mwaka 2014 alipofanyiwa upasuaji JK. Tena mpaka vyombo vikubwa viliripoti.
Kwani viongozi wa kaya hawajui kwamba mficha maradhi kifo humuumbua?
Hizi nyuzi hizi...Kwamba nyumba yetu haina protocol maalum ya kufahamishana hali za kiafya za wanafamilia!
Mara ya mwisho wanafamilia kupata taarifa rasmi ni mwaka 2014 alipofanyiwa upasuaji JK. Tena mpaka vyombo vikubwa viliripoti.
Kwani viongozi wa kaya hawajui kwamba mficha maradhi kifo humuumbua?
Kiboko ya mishangazi
Inatakiwa apite nae Moya kwa Moya au sio 😂Israili siku hizi anaremba sana.
Hata kwa Yule bwana ilikuwa hivi hivi,,,,uongo uongo mwingiiiii,,,, mwisho wa siku,,,kikaumana.ni nani aliwafahamisha umma na vyombo vya habari?
alifanya hivyo kabla ya matibabu au baada?
alieleza kugundua tatizo tangu lini na akatibiwa lini?
Afya ni suala binafsi hata kama ni la kiongozi wa umma 🐒
WEWE kweli ni BWABWA!!!ni nani aliwafahamisha umma na vyombo vya habari?
alifanya hivyo kabla ya matibabu au baada?
alieleza kugundua tatizo tangu lini na akatibiwa lini?
Afya ni suala binafsi hata kama ni la kiongozi wa umma 🐒
Tangu nafasi zilipoanza kutolewa kwa kulipa hisani ya CCM mambo yakaharibika!Watu wa usalama kwa sasa wengi ni under age..kutojali, ubinafsi, ujinga, kiburi vimefanya kazi inayopaswa kufanywa na watu wazima wanaofahamu kuwa binadamu nini maana yake..vimetengeneza ufa wa under age kufanya kazi za usalama! si kosa lao lkn..tutafute mchawi aliyesababisha usalama kuwa na under age wengi.
Swali je tezi dume unaweza fanyiwa operation zaidi ya mara moja?Kwamba nyumba yetu haina protocol maalum ya kufahamishana hali za kiafya za wanafamilia!
Mara ya mwisho wanafamilia kupata taarifa rasmi ni mwaka 2014 alipofanyiwa upasuaji JK. Tena mpaka vyombo vikubwa viliripoti.
Kwani viongozi wa kaya hawajui kwamba mficha maradhi kifo humuumbua?
mihemko ni ushirikiana gentleman 🐒WEWE kweli ni BWABWA!!!