masuala ya afya na maradhi ni mambo binafsi labda mgonjwa avunjike mguu bar kwenye pombe sababu ya ulevi 🐒Hata kwa Yule bwana ilikuwa hivi hivi,,,,uongo uongo mwingiiiii,,,, mwisho wa siku,,,kikaumana.
yetu macho na masikio…🤐🤐🤐🤐🤐
Mama ABDUL yuko wapi??mihemko ni ushirikiana gentleman 🐒
Kwa watu wa kawaida, lakini sio mkuu wa nchi tulompa dhamana na mwenye kuishi kwa kodi zetu,lazima tujue alikomasuala ya afya na maradhi ni mambo binafsi labda mgonjwa avunjike mguu bar kwenye pombe sababu ya ulevi 🐒
Nenda kapange foleni hospital ukatibiwe gentleman, dhamana ya kuishi mwanadamu ni zawadi ya kutoka kwa Mungu pekee..Kwa watu wa kawaida, lakini sio mkuu wa nchi tulompa dhamana na mwenye kuishi kwa kodi zetu,lazima tujue aliko
wawapi gentleman 🐒Mama ABDUL yuko wapi??
Dah,Maradhi mengine ni siri. Yaani kabisa unataka uambiwe Amiri ana bawasiri😳
Umeniacha njia panda mkuu mgonjwa Tena avunjike mguu bar 🤣masuala ya afya na maradhi ni mambo binafsi labda mgonjwa avunjike mguu bar kwenye pombe sababu ya ulevi 🐒
Kwani ukiunwa lazima ufe!?HAKUNA ANAYEUMWA,KIFO KIKITOKEA MTAJULISHWA.
SikumbukiKwani ukiunwa lazima ufe!?
Ukikumbuka utanijibu basiSikumbuki
Na si tunasikia pale jumba la siri kuna mbadilishano mkubwa wa namba kwa kuwa kila DG amekuwa akija na mfumo wake, na kabla ya kujiimarisha anapokea barua ya kukabidhi kitiTofautisha kuwa Senior au junior kwa majukumu, Mfano Dr. Kusiluka hiyo nafasi ya CS kwake ni junior au senior..