Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Hahaaaaaa naona unaendeleza ubishi. Hilo suala la kila kitu lazima kiwe na muumbaji kimetoka wapi? Unajua maana ya uumbaji mkuu? Wewe Muumbaji wako ni nani?[emoji20][emoji38][emoji2][emoji1] nyie jamaa mnalazimisha ubishi kwa hoja za kubumba bumba.
Mimi sina muumbaji na dunia Haina muumbaji.
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."

Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Huwezi pata majibu kwakua dini tuliletewa na hizo biblia ndio kabisaaa hakuna mtz alieandika hata moja. Labda hayo maswali uwaulize wazungu wanaweza jibu
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."


Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Soma Biblia Mwanzo 5:1 - 7
iki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
3 Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake.
5 Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.
6 Sethi akaishi miaka mia na mitano, akamzaa Enoshi.
7 Sethi akaishi baada ya kumzaa Enoshi miaka mia nane na saba, akazaa wana, waume na wake.
Ukisoma mstari wa 4 unaonyesha kuwa Adam na Hawa walizaa watoto waume kwa wake. Bila shaka kabisa walioana wao kwa wao ili kuendeleza uzao. Hakukuwa na katazo lolote linalozuia kaka na dada kuoana kwa wakati ule.
 
Kama si lazima kwamba kila kitu kiwe na Muumbaji wake, Hata Dunia si lazima iwe na Muumbaji wake.

Hakuna ulazima wa kwamba Dunia ina mwanzo wake.
Wewe ni maamuna ni empty kabisa kichwani mwako. Ungekuwa mwanangu nisingekupeleka shule. Ungekuwa unachunga ng'ombe tu. Yaani hujui ili kitu kiwe na mwanzo ni lazima kiwe na time limit mkuu? Hivi wanasayansi wanaposema umri wa dunia miaka....... wana maana gani kama sio kina limit ya muda? Nimekudharau dogo.
 
Huwezi pata majibu kwakua dini tuliletewa na hizo biblia ndio kabisaaa hakuna mtz alieandika hata moja. Labda hayo maswali uwaulize wazungu wanaweza jibu
Wazungu tupo nao kila siku mkuu wanatushangaa jinsi tulivyo na hizo imani .
 
Mimi sina muumbaji na dunia Haina muumbaji.
Ila una mwanzo na dunia ina mwanzo kwani una "time limit" mkuu? Je umetokea wapi kabla ya usiku ule wa tendo la Baba na Mama yako? Je nini kilisababisha manii ya mshua wako zikuzae wewe na kama sayansi inasema mwanaume anatoa millions of Mbegu? Kwanini mbegu iliyokubeba wewe ikafertilize yai la mama yako na sio hizo mbegu nyingine za Baba yako?😆😆😆😆😆
 
Biblia imeandikwa kwa kufuata Mila na tamaduni za mashariki ya kati ambapo mtoto wa like hakupaswa kutajwa kiholela. Sometimes alikuwa hajumuishwi kwenye hesabu ya watoto.
Ndio maana Yakobo kaandikwa kuwa alikuwa na wana 12 lakini ukienda deep kuna mahali katajwa binti mmoja wa Yakobo.
Kaini , Abeli , Seth walitajwa kinagaubaga kwakuwa ni wanaume. So far Kaini alimwoa mmoja wa dada zake.
 
Kwahiyo watoto wa Adamu wa kike walizaa na Kaini?? Kama hivyo kwann hairusiwi kuzaa na ndugu yako

Kila zama zinaishi kwa sheria na taratibu zake. Wakati dunia ilipokua na ukiwa, ndugu kwa ndugu waliendeleza mahusiano na ili kuijaza dunia. Lakini baadae utaona Mungu anakataza ndugu kwa ndugu kulala pamoja. Na hilo ni katazo mpaka hivi sasa.
 
Eti wanyama wote Waliingia wawili wawili kwenywe safina , hii story na ya uwanja wa ngoma ya ngozi ya ng'ombe ya juma na uledi inatofauti gani?
Sawa. Hivi jua linazama kwenye matope?
Mwenyezi Mungu Subhanahu Wa Ta'ala kwenye Quran kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”
 
Huwezi pata majibu kwakua dini tuliletewa na hizo biblia ndio kabisaaa hakuna mtz alieandika hata moja. Labda hayo maswali uwaulize wazungu wanaweza jibu
Umeletewa na nani na mzungu gani? Mbona unajitoa ufahamj Jerry? Yaani unashindwa tofautisha kati ya Wazungu(Race and Culture) na Ukristo(Imani). Mbona ipo wazi na vitabu vingi vinaelezea. Ethiopia haijawahi kuwa colonized na wazungu ila Biblia ya kwanza na ya kale ipo pale. Je wazungu walipelekaje hiyo Biblia pale kama wao ndio wametuletea?

Yaani hujui bwana Jerry kuwa wanafunzi tena wale thenashara wa Yesu walikuwa wana race na rangi tofauti ikiwemo waafrika(Weusi) kama akina Niger na Simoni Mkirene na wengine walikuja hadi Afrika? Je hujui kuwa Bible Characters wengi walikuwa watu weusi na sio wazungu? Yaani hujukiwiwa mmoja wa Mitume wa Yesu Yuda alifia Ethiopia akiwa kama Askofu wa Kanisa huko Ethiopia? Usijitoe ufahamu mkuu. Hao wazungu wamekuja majuzi tu na Ukristo ulikuwepo Afrika Kabla yao labda kwenu kigoma ndio ulichelewa.
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."

Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
...tafuta sehemu iliyoandikwa,"na tumfanye mtu kwa mfano wetu.......
 
Sawa. Hivi jua linazama kwenye matope?
Mwenyezi Mungu Subhanahu Wa Ta'ala kwenye Quran kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”
Utopolo huko ni mwingi Acha tu.
 
Back
Top Bottom