Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Jibu ni SIMPLE tu mpenzi, biblia haijaandikwa kwenye chronological order,ukienda mbele kidogo utaona Adam alizaa wana wake kwa waume, it is obvious mwanzoni walikuwa wakioana ndugu mpaka pale alipokuja kuwazuia kwenye mambo ya walawi

2.Wana wa kike walikuwa hawahesabiwi ndio maana unaona sehemu nyingi zinazungumzia wana wa kiume tu....Shalom
 
Jibu ni SIMPLE tu mpenzi, biblia haijaandikwa kwenye chronological order,ukienda mbele kidogo utaona Adam alizaa wana wake kwa waume, it is obvious mwanzoni walikuwa wakioana ndugu mpaka pale alipokuja kuwazuia kwenye mambo ya walawi

2.Wana wa kike walikuwa hawahesabiwi ndio maana unaona sehemu nyingi zinazungumzia wana wa kiume tu....Shalom
Nimeshamjibu kwa hilo.
 
Biblia nimeisoma kuliko hata wewe unaye jifanya kuijua sana Biblia.

Biblia imejaa Contradiction nyingi sana na logical fallacies.

Biblia inaji Contradict yenyewe kwa yenyewe...

Na kuwekea uthibitisho wa mojawapo ya Contradiction zilizopo kwenye Biblia..[emoji116]

Kutoka 33:20 inasema, "Hakuna MTU yeyote anayeweza kumuona Mungu akaishi"

Hapohapo

Kutoka 33:11 inasema, "Musa alimuona Mungu na akaendelea kuishi"

Tayari Exodus 33:11, ina pingana na Exodus 33:20.

Tukisema kwamba Biblia ni andiko la kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi muwe mnaelewa.[emoji116]View attachment 2793728View attachment 2793734
Hujaelewa, kumuona Mungu owa namna gani hujajua? Kumuona Physically na sio spiritually. Mbona Mungu kwenye Biblia kujifunua kwa watu wake spiritually kuanzia Isaya hadi Mikaya.

Issue ya Musa kabla hajamuona kwa kulingana na hilo ulichoandika kulikiwa na convo kati yao na Mungu alimwambia Mungu hakuna ambaye atamuona yeye na akaishi. Ila kwa kuwa Musa alimuomba Mungu amuone, ndiyo akajifunua kwake tena haikuwa dhahiri kwani Mungu alimwambia ajifiche kwenye mwamba ili amuone kwa nyuma.asije akafa. Sasa hapo contradiction ipo wapi mkuu?
 
Haya maswali ndo yale ya kuku na yai.Mimi najua Mungu yupo kwasababu hakuna kitu kisicho na chanzo cha kuwepo na sababu ya kuwepo.Kwahiyo hakuna kitu kilichotoka from no where.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hakuna kitu kisicho na mwanzo, Basi eleza Mwanzo wa Mungu ni nini?

Kama hakuna kitu kilicho tokea tu chenyewe from no where, Eleza Mungu alitokea wapi?

Na huko alipo tokea Mungu huyo, Kulitoka wapi?
 
Nimeshamjibu kwa hilo.
Jamaa wanaleta ujuaji tu. Tumewaeleza pia nini maana na msingi wa Neno la mungu kwenye Biblia. Biblia sio kitabu cha hadithi ni kitabu kinachotufundisha sisi wanadamu tujue asili yetu na namna gani tuishi maisha ya kumpemdeza Mungu ili tuurithi uzima wa Milele. Mbona hawahoji kuhusu mke wa Abel na Seth au wao walioana wanaume kwa wanaume?
 
Google results:

How many wives did Adam have?
Lilith and Eve
- wives of Adam.1 Jan 2005

Was Cain's wife Lilith's daugther?
Not only was Lilith removed from the Bible, but she was demonized. The facts remain that she did exist and she did have children that are mentioned throughout the ancient literature. At lease one of her daughters was called Lilim.
Lilim became Cain's wife.
## Did Adam marry Lilith in the Bible?
MEET LILITH – ADAM'S FIRST WIFE

Lilith's name is not included in the creation story of the Torah but she appears in several midrashic texts. There are multiple origin stories for Lilith, but the most popular story depicts Lilith as the first wife of Adam.
 
Safari ya Bulicheka kwenye nchi ya Wagagagigikoko, Alfu Lela Ulela, Machaku na Njiwa, Adili na Nduguze, nk
🤣🤣🤣 adroko na simba , sinderela, siku ya gulio, fuata nyuki ule asali , ukitaka mali utaipata shambani, asiye sikia la mkuu huvunjika guu, penina na kipini , chopeko na mnofu, akili na adili🤣🤣
 
natumai eva nae alikuwa mwanaume ndyo maana kaandikwa kweny bible na huyo mwengn hajaandkw
Maswali mengine ya kitoto sana. Ila wake za Seth, Abel, Lutu, Kanaani, Shem, Hamu, Yafeti, Yohana mbatizaji, Petro, Paulo, Sila, yuda n.k nao wameandikwa? Mke wa Pilato naye kaandikwa? Acheni ujuaji nyie. Sasa kungekuwa na maana gani kama Biblia ingeandika wake za watu wote. Kuanzia Adam hadi Mtume Yohana.

Kuandikwa kwa Hawa au Eve kama unavyosema ni kuonesha chanzo cha wanadamu au wewe ni mtoto wa kuasiriwa toka kwa Baba au Mama zako wenye jinsia moja?😃😁😆😢😢😞
 
🤣🤣🤣 adroko na simba , sinderela, siku ya gulio, fuata nyuki ule asali , ukitaka mali utaipata shambani, asiye sikia la mkuu huvunjika guu, penina na kipini , chopeko na mnofu, akili na adili🤣🤣
Nini hasa hoja yako naona unajitekenya na kujicheka.
 
Hujaelewa, kumuona Mungu owa namna gani hujajua? Kumuona Physically na sio spiritually. Mbona Mungu kwenye Biblia kujifunua kwa watu wake spiritually kuanzia Isaya hadi Mikaya.

Issue ya Musa kabla hajamuona kwa kulingana na hilo ulichoandika kulikiwa na convo kati yao na Mungu alimwambia Mungu hakuna ambaye atamuona yeye na akaishi. Ila kwa kuwa Musa alimuomba Mungu amuone, ndiyo akajifunua kwake tena haikuwa dhahiri kwani Mungu alimwambia ajifiche kwenye mwamba ili amuone kwa nyuma.asije akafa. Sasa hapo contradiction ipo wapi mkuu?
Sasa kwa nini Exodus 33:20 iseme kwamba " No man shall see me and live"

Ina maana mwandishi huyo wa Biblia alikuwa hajui kwamba, Musa alimuona Mungu kwa ruhusa ya Mungu na akaishi?

Kwa nini ajichanganye tena?

Nakwambia hivi, Biblia ni Andiko la kutungwa na wahuni wachache kuwahadaa wajinga wasio jielewa.
Screenshot_20231026-163258_1.jpg
 
Jibu ni kwamba Kaini alioa dada yake kwa sababu Adam alizaa watoto wa kiume na wa kike, Watoto wa kike hawakuwa wakitajwa sana kwa majina yao lakini walikuwepo.

"Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake."

Wakati huo hakukuwa na amri ya kukataza mtu kuoana na dada yake, amri ilikuja baadae kipindi cha Musa.
Kwahiyo hapo mwanzo tu kaini si alienda kuoa baada ya kumuua Habili kwo ilipita miaka 800 tyr mwanzo tu😁😁😁
 
Jamaa wanaleta ujuaji tu. Tumewaeleza pia nini maana na msingi wa Neno la mungu kwenye Biblia. Biblia sio kitabu cha hadithi ni kitabu kinachotufundisha sisi wanadamu tujue asili yetu na namna gani tuishi maisha ya kumpemdeza Mungu ili tuurithi uzima wa Milele. Mbona hawahoji kuhusu mke wa Abel na Seth au wao walioana wanaume kwa wanaume?
Biblia ni andiko moja la kipumbavu sana lililo tungwa na wahuni wachache kuwahadaa wajinga wasio jielewa.
 
Back
Top Bottom