Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."

Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Jibu ni kwamba Kaini alioa dada yake kwa sababu Adam alizaa watoto wa kiume na wa kike, Watoto wa kike hawakuwa wakitajwa sana kwa majina yao lakini walikuwepo.

"Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake."

Wakati huo hakukuwa na amri ya kukataza mtu kuoana na dada yake, amri ilikuja baadae kipindi cha Musa.
 
Biblia imejaa Contradiction nyingi sana na logical fallacies...

Yani Biblia ina ji Contradict yenyewe kwa yenyewe kwa kauli zake.

Na hii ni uthibitisho tosha kwamba Biblia ni kazi na maandiko ya kutungwa yaliyo na dosari za kibinadamu.

Hivyo biblia ni stori za kusadikika.

Nitakupa mfano wa baadhi ya Contradiction hizo[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2793694View attachment 2793695
We nawe muongo tuu, hutaki mungu awepo ili maisha yako yawe raisi, hicho ulichouliza hata kipindi nina miaka 10 ningeweza kukujibu alaf wewe ni mtu mzima.

Hizo logical fallacies ni kwsababu ya usomaji wako wa juujuu, ukitaka kusoma biblia tuliza akili, ukisoma biblia ili kutafuta makosa lazima utayaona na lazima hutoiamini, wewe ni kama mtu ambaye anayesoma biblia ili kutafuta vitu vidogo ambavyo huvielewi alaf kusema biblia ni uongo, na kama unafanya hivo lazima utakutana na mengi tuu usiyoyaelewa na itakuja kweny conclusion uliyojiekea asaiv.
 
Sio kweli kuhusu suala la vitisho mimi ninachoona uislamu ni imani iliyo na misingi imara kiasi kwamba misingi iliyojiwekea inazidi kila kukicha kuvuna waumini kutoka dini tofauti
😂Nenda Saudi Arabia bac katangaze umeacha uislamu... naona unajikosha. Na kuhusu kuhamia uislamu wengi ni wanaume coz ni Bata as a man...wengine ni ndoa...wengine ni kazi, wengine ni title so usijikoshe..hata mi naweza kuwa muislam kiinje ila ndani siamini ujinga
 
Walikuwa mapacha, soma lost books from Bible, utajua mengi
 
😂😂😂Simba polar bear bacteria fungus plasmodium kangaroo wote kwenye kaboat kamoja Cha mbao
Bro naona unalazimisha ubishi. Kwanini nini kinashindikana hapo? Unajua maana ya viumbe vyote vye ye mwili vinavyotrmbea juu ya nchi? Hao plasmodium wana mwili. Ebu acha ujuaji na kufokeana humu, relax kama una hoja ujibiwe. Sasa nini kinashindikana? Kama kaweka dunia juu ya maji inashindikana nini? Kama kaweka sayari na zinaelea hewani itashindikana nini?
 
😂Jau Hawa ..wazoee
Sina shida nao mkuu tatizo kila mada Mungu, Vita na umwagaiji wa damu kila mtu anataka Mungu wake apiganie watu wa dini yake washinde , watu wapo tayari kuona jamii nyingne isiyo ya dini yao inakufa
 
Kwanini ni wakristo tu ndio wanaongoza kuitilia shaka biblia na sio waislamu kuitilia shaka Quran? Kwasababu humu jukwaani ukiona comment ya mtu kumtilia shaka Mungu mara hayupo mara ametungwa tu ujue huyo ni mkristo nadhani dini ya kikristo imetiwa mikono na watu kwa ajili maslahi yao
Hata hiyo Quran ni stori ya kutungwa
iliyo jaa uongo...

Stori za kuambiwa mbinguni kuna mabikra mtapewa ni zaidi ya chai..[emoji478][emoji478]
 
We nawe muongo tuu, hutaki mungu awepo ili maisha yako yawe raisi, hicho ulichouliza hata kipindi nina miaka 10 ningeweza kukujibu alaf wewe ni mtu mzima.

Hizo logical fallacies ni kwsababu ya usomaji wako wa juujuu, ukitaka kusoma biblia tuliza akili, ukisoma biblia ili kutafuta makosa lazima utayaona na lazima hutoiamini, wewe ni kama mtu ambaye anayesoma biblia ili kutafuta vitu vidogo ambavyo huvielewi alaf kusema biblia ni uongo, na kama unafanya hivo lazima utakutana na mengi tuu usiyoyaelewa na itakuja kweny conclusion uliyojiekea asaiv.
😂😂😂😂So ajifanye zuzu ili aelewe biblia. Skia we tulia, ukishatulia niambie watu gani walienda kwenye kaburi la Yesu na waliona nani na nani? Ukitoka hapa soma kwa kutulia sijui kiroho uniambie baba yake Joseph mzaa Yesu ni nani? Halafu uniambie safina ilikaa kwa miezi mingapi na wanyama waliingia wawili wawili au Saba Saba? 😂😂Kuna contradictions nyingi anza na hizo. Afu uniambie mtu mmoja anakuaje watatu afu anajiongelesha
 
Wanawake walikuwa hawahesabiwi kipindi hicho.
 
Kifo hukioni,wewe hujioni,jua ulioni?.Hii dunia ambayo wewe upo na umeikuta tu huna mamlaka nayo yoyote uioni?.Au unataka vitendo gani zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂Haya majibu ya kitoto....this doesn't prove god....just because hujui kitu doesn't prove Mungu wako wa dini yako uliyokaririshwa na mama yako ndo muumbaji...we don't know bac. Na kuhusu kifo ulitakaje...ulitaka tuishi milele...alafu tungekuwa wangapi now duniani tungeishije...soma mambo ya ecosystem utaelewa why living organisms have to die...😂😂bado hujaprove chochote
 
Misri gani ambako haiko?.Ata tanganyika ina historia yake ya uko nyuma lakini huwezi kuipata kirahisi sana sana utakutana na historia ya juzi ya wakoloni.kwahiyo inategemea unataka kujua nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna mambo ya mpanua bahari kwenye Egyptian history acha ubishi...watu wamechimba kule wanajua story za mafarao wote hamna upuuzi wa utumwa wa wayahudi
 
No,siyo tufanye,ni kwamba huna hoja,na ni kweli huwezi sema wewe na ng'ombe unayemla supu mmetokea wapi,au unaweza!?

No,siyo tufanye,ni kwamba huna hoja,na ni kweli huwezi sema wewe na ng'ombe unayemla supu mmetokea wapi,au unaweza!?
Wewe ukiweza kusema Mungu katokea wapi na mimi nitaweza kukujibu bila hivyo hakuna unalojua .
 
Back
Top Bottom