Story ya kutunga una weza mtengeneza character unavyotaka , kukataa space na time , ni kumpa sifa character wako tu ili kuonyesha uwezo wake.Na kwanini yeye ndio awe hana limit ya time and space na si kitu kingine mkuu, na umejuaje na umethibitishaje kwamba ni yeye tu, na si kitu kingine chochote
Tuko poa kwasababu Wakristo tunafahamu kuwa usipoishi na Muislamu kwa akili, lazima litokee kitu. Na pia Wakristo tumeamrishwa kufanya amani na watu wote, Mwislamu, Mhindi, Atheists na n.k.Sio tz, tunagombana tu humu kwasababu hatujuani. Huku nje sijawahi kuona hiyo sentiment....
waislamu na wakristo wa huku tz wako poa sana
Umenena kama mpendwa katika bwana , sawa mkuu ngoja tuone.Roho Mtakatifu yupo, mkuu. Ndio Roho ya Designer wa Ulimwengu wote. Anajua kila kitu. Ni jukumu lako kumtafuta, kwenye dini hutampata maana wengi wanaishi maisha ambao yanamdidimiza yeye kuwepo. That Spirit is so holy.
Jibu swali kwa kuanza hivi mke alitokaa... Na imeaindikwa hapa...Kuielewa Biblia unahitaji Muasisi wake: Roho Mtakatifu. Bila Roho Mtakatifu, utaisoma Biblia kama gazeti.
Mkuu mi nimenena kutokana na ujuzi nilivokuwa nao. Ila naheshimu wazo lako.Umenena kama mpendwa katika bwana , sawa mkuu ngoja tuone.
Huyo Mke alitoka kwa MunguAnza kwa kujibu hivi ...huyo mke alitoka......
Mke yupi?Jibu swali kwa kuanza hivi mke alitokaa... Na imeaindikwa hapa...
Tuachane na hayoHivi kwaakili ya kawaida tukija kwenye mwili wa binadamu ulivyoumbwa kweli Moyo udunde miaka 800 bila kustop kwahiyo ujana unakuwa kwenye miaka 500 au yan. Sielew growth ya huyu mwanadamu anayeishi miaka 800 mfumo wake unakuwaje kwamba hakui au na kama anakuwa inamaana anakuwa anaukaribia uzee na kufa kwahiyo mwamba alikaa miaka 800 em imagine miaka uliyonayo ulivoishi siku zote hizo dunian alaf uongeze miaka 800😁
ndo hivyo tunabanana tu, ila naamini itafika kipindi zitatoweka.... tumetoka kwenye polytheism, sasa mono, tunaenda kwenye atheismTuko poa kwasababu Wakristo tunafahamu kuwa usipoishi na Muislamu kwa akili, lazima litokee kitu. Na pia Wakristo tumeamrishwa kufanya amani na watu wote, Mwislamu, Mhindi, Atheists na n.k.
Alaf Tanzania hakuna radical christians, wangekuwepo moto ungewaka. Maana wale wanakuchana makavu na hawaogopi.
Wapendwa kama nyie ham hitaji kuparuliwa na maneno makali , tunawataka wale wamejazana kwenye nyuzi za kula tunda kimasihara huku wanajifanya yesu ni bwana.Mkuu mi nimenena kutokana na ujuzi nilivokuwa nao. Ila naheshimu wazo lako.
Atheism Iko sikuzote, yeah inawezekana watu wengi wasiamini kuwa Mungu yupo, ila theists watakuwepo hata kama ni wachache.ndo hivyo tunabanana tu, ila naamini itafika kipindi zitatoweka.... tumetoka kwenye polytheism, sasa mono, tunaenda kwenye atheism
Unasemaga kuzaa na Dada walioa gumu, Ruth na bintize baada ya mkewe kugeuka nguo ya chumviKwahiyo watoto wa Adamu wa kike walizaa na Kaini?? Kama hivyo kwann hairusiwi kuzaa na ndugu yako
Nchi zisizo fungamana na dini yeyote ile ndio most peaceful country na nchi zenye furaha.Kabisa kaka, chamsingi tuwe na ile 'religious tolerance' tuvumiliane mitazamo yetu tuishi kwa amani.
😂😂Aisee hatari sana. Mkuu hii Dunia Ina mambo mengi ya ajabu. Theists wanaishi kama atheists.Wapendwa kama nyie ham hitaji kuparuliwa na maneno makali , tunawataka wale wamejazana kwenye nyuzi za kula tunda kimasihara huku wanajifanya yesu ni bwana.
Bora mtu aseme ni imani tu ile ku trap ile dhamira ya mtu ya ndani ili maisha yasonge ila kusema ni kwel kabisa lazima uchemke tu.Atheism Iko sikuzote, yeah inawezekana watu wengi wasiamini kuwa Mungu yupo, ila theists watakuwepo hata kama ni wachache.
namaanisha yaani itafika mahali tuko advanced kiasi kwamba theism itachukuliwa kama atheism inavyochukuliwa saivi,Atheism Iko sikuzote, yeah inawezekana watu wengi wasiamini kuwa Mungu yupo, ila theists watakuwepo hata kama ni wachache.
Watu wengi wanajua kwamba Mungu hayupo ila kwa vile wanahofu za kidini na kuogopa watatengwa na jamiiAtheism Iko sikuzote, yeah inawezekana watu wengi wasiamini kuwa Mungu yupo, ila theists watakuwepo hata kama ni wachache.
Unafiki mwingi sana.Bora mtu aseme ni imani tu ile ku trap ile dhamira ya mtu ya ndani ili maisha yasonge ila kusema ni kwel kabisa lazima uchemke tu.
Ni kweli maisha wanayoishi theists kwa sasa ni kama vile wanasema Mungu hayupo, hawamuogopi yeye wala sheria zake.Watu wengi wanajua kwamba Mungu hayupo ila kwa vile wanahofu za kidini na kuogopa watatengwa na jamii na wana jificha ficha na hawawezi kusema hadharani kwamba hawa mwamini Mungu