Atakuwa alimaanisha mji alioishi na siyo ulimwengu kama tunaoufahamu leo. Na ukumbuke enzi zile vitabu viliandikwa kwenye ngozi au magamba ya miti. Leo hii kuna mamilioni ya vitabu na bado dunia ina nafasi ya kutoshaKuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
And there are also many other things which Jesus did, the which, if they should be written every one, I suppose that even the world itself could not contain the books that should be written. Amen.
Yohana 21:25
😂Tuache tukuna mambo yanafikirisha.
Mungu ni zaidi ya biologist, engineer, mkemia yoyote dunianiRudi secondary usome biology
Soma biology...😂uje na namba za species wote duniani...uje na vyakula vyao... temperature wanaotakiwa kuishi...space wanaotakiwa kukaa... afu ndo uniambie wameishije kwenye kiboti ambacho hata titanic ni kubwa.Nani alikwambia aliingiza wanyama wote kwenye safina ilikuwa ni dume na jike tu kila aina ya wanyama, wadudu na ndege
Unafikiri kwa uwezo na nguvu za Mungu ambaye amekuumba wewe atashindwa kufanya miujiza kama hiyo?
😂😂😂A Hindu can say the same akasema brahma ndo muumbajiMungu ni zaidi ya biologist, engineer, mkemia yoyote duniani
Nikipokuwa nasoma Biology jinsi tumeumbwa na mifumo ya kuendeleza uhai ya binadamu nikaamini kweli Mungu yupo
Mpaka leo bado wanadamu wanajifunza mwili wa binadamu na hawajamaliza
Nikakubaliana na haya maneno ya Warumi 1:20
Warumi 1:20
Neno: Bibilia Takatifu
20 Tangu Mungu alipoumba ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani uwezo wake wa milele na Uungu wake, umedhihirika wazi wazi kutokana na vitu alivyoviumba. Kwa hiyo watu hawana kisingizio.
Sasa mtU aliyewaymba hao viumbe atashindwaje kuviongoza ili viadapt hali iliyokuwa kwenye safina?Soma biology...😂uje na namba za species wote duniani...uje na vyakula vyao... temperature wanaotakiwa kuishi...space wanaotakiwa kukaa
Unaweza mwanangu hujui tu, kuna wadau wanakusubiria wewe tuwe na mwanzilishi wa dini muafrika ili tubalance au sio😂😂😂😂Siwezi...coz dini haipo hivyo...dini ni kuteka akili tu .. unamwambia mtu kuwa yeye ni mgonjwa na anahitaji dawa haraka Sana na hii ndo dawa Kama hutaki utaugua milele...that's
Mke wa kwanza wa Adam ni Lilith na siyo Eva/Hawa. Walipokorofishana na Lilith kuondoka ndipo akaja EvaMwanae alienda nchi ya nod,akakuta watu,akachukua goma akagonda vitu
Mungu ametupa uhuru tuwe wema au tuwe waovu hataki kutuendesha kama maroboti. Anataka tumpende kutoka moyoni sio yeye atulazimishe😂😂😂Halafu kama alitaka kufanya miujiza kwa Nini ahangaike na wanyama si angefunga macho na kufungua watu waovu wote wafe au awafanye wasiwe waovu bac...
Wakati wa Mungu wa kuondoa watu wabaya mazima bado ulikuwa haujafika.😂😂Finally mbona Mungu wako kafeli coz baada ya kutuogelesha bado watu wabaya wapo...so point ilikuwa nini....
Biblia imejitosheleza hata mambo ambayo bado hayajatokea imeshatabiri. Iko mbele ya wakatiBado hujajibu why Mungu wako hatuambii chochote kipya
Hakuna mahali Biblia inasema magonjwa ni mapepo. Mapepo na magonjwa ni vitu viwili tofautianasema magonjwa ni mapepo na sio bacteria virus au protozoans
Hilo sio kusudi la Bibliaau alikuwa hajui...he says nothing abt cells au ubongo unavyohusika na emotions ...haongelei chochote kuhusu fungi...😂😂😂yupo very limited in knowledge.
HakikaMkuu kama uko tayari kuiacha dini yako wewe endelea kuichunguza.
Hata wewe ni wa kutungwa vilevile.Biblia ni hadithi za kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za kusisimua za joka la Mdimu.
Bible is a Fairytale, Mythology, Fictional book.
apo chacha! wanatheologist Wana majibu ya maana wamefundishwa huko chuoniHabari zenu,
Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:
"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."
Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Thibitisha kauli yako kwa hoja haii siyo kuacha hoja hewani . Uumbaji uliendelea ? Wewe umejuaje ulikuwepo???....Jibu rahis tu, jiulize mbona kuna wazungu na watu weusi wkt Mungu aliumba adamu na hawa tu ?ni hvi swala la uumbaji kwa menyezi Mungu liliendelea aliendelea kuumba watu wengine adamu na eva walitwaja kwa kwa kuwa walikuwa wa kwanzA,Biblia inasema kama mambo yote yaliyofanyika yangeandikwa basi pasingetosha hivyo vichache vimeandikwa ili uamini...
😂😂😂Wangesema...ishu ni kwamba walikuwa hawajui waliotunga hizi story....okay achana na Hilo...maji yalijaa urefu wa milima mirefu duniani. Tuassume wapo usawa wa everest...Hilo baridi hao ng'ombe si watakufa...hiyo pressure iliyopo hapo je.. that's geography. Ehe baada ya kuachiwa walizalianaje coz genetically species pair haziwezi propagate kiufanisi...😂in short ili hii story ifanye kazi u have to put miracles kila sekunde asa why mess with the flood na uuwe wanyama wasio na hatia wakati angeweza tu kimiujiza kuua watu wabaya...plus baada ya hapo watu wabaya waliendelea kuwepo immediately after the flood...😂story ya kitoto sana hiiSasa mtU aliyewaymba hao viumbe atashindwaje kuviongoza ili viadapt hali iliyokuwa kwenye safina?
😂 Binadamu haitaji story za uwongo ili Aishi...ndo maana wenzetu wapo mbali kiteknolojia sisi tunasubiri miujizaUnaweza mwanangu hujui tu, kuna wadau wanakusubiria wewe tuwe na mwanzilishi wa dini muafrika ili tubalance au sio
Where's ur biblical evidence? 😂Nimesema Lilith ni excuse kwa sababu ya contradictions kibao kwenye bible. Pale mwanzo Mungu kaumba male n female...baadae Mara Adam yupo mwenyewe so they had to make up a storyMke wa kwanza wa Adam ni Lilith na siyo Eva/Hawa. Walipokorofishana na Lilith kuondoka ndipo akaja Eva