Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

1. πŸ˜‚tushasema "kiroho" ni Chaka ambalo mnajifichia Mkishindwa kueleweka na makosa yenu ya biblia
2. πŸ˜‚πŸ˜‚Biblia kutoeleweka Hilo sio tatizo langu...we mfano unaomba kazi afu unaandika barua Ina codes zaki "midimay"...muajiriwa asipokuelewa ni kosa lake au langu
3. πŸ˜‚Huyo Mungu instead of kuchaguwa watu wake wawili wa mchongo wa kuwafungulia ambao wao wenyewe wanapishana ndo maana Kuna madhehebu buku kidogo...si angeandika kitabu Cha kueleweka. Au hawezi..
Conclusion bible is word of man claimed to be of god to control people.
 
Uthibitisho unakuwaje!?..unataka picha au!?
Daah mkuu, lete Uthibitisho wowote ule unaoonesha kwamba chanzo cha mwanadamu na ulimwengu ni Mungu, mbona unazunguka sana wakati swali rahisi tu hilo
 
Daah mkuu, lete Uthibitisho wowote ule unaoonesha kwamba chanzo cha mwanadamu na ulimwengu ni Mungu, mbona unazunguka sana wakati swali rahisi tu hilo
Ndiyo maana nikauliza kwako uthibitisho ni nini,sababu,siyo pekee tangy bali wengi washaeleza jwamba hindi ulimwengu na wewe ulivyo systematic,lazima paws na mhandisi wake,sasa wewe huoni huo uthibitisho ndiyo maana nikauliza unataka uthibitisho wa picha au vipi!?
 
Sasa ndugu yangu si ndio tunarudi tena pale pale kwenye lile swali letu la mwanzo, kwamba mhandisi wa mwanadamu na ulimwengu naye mhandisi wake ni nani, ikiwa kila kitu lazima kiwe na mhandisi
 
Sasa ndugu yangu si ndio tunarudi tena pale pale kwenye lile swali letu la mwanzo, kwamba je huyo mhandisi wa mwanadamu na ulimwengu naye mhandisi wake ni nani, ikiwa kila kitu lazima kiwe na mhandisi
Nyuma ya hoja yako ni kwamba ulimwengu na walimwengu havina mhandisi,so ndiyo!?
 
Nani alikwambia aliingiza wanyama wote kwenye safina ilikuwa ni dume na jike tu kila aina ya wanyama, wadudu na ndege

Unafikiri kwa uwezo na nguvu za Mungu ambaye amekuumba wewe atashindwa kufanya miujiza kama hiyo?
Kila mmyama akawa anakula chakula gani kwa aina yake?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Plz usihamie uislamu... dini yenu inasema jua usiku linamfata Allah kumuomba ruhsa kuchomoza...πŸ˜‚hebu tukae na wabiblia kwanza we utaaibisha.
Okay,endeleeni Brother,...

Qur'an 25:63: "And the servants of the Most Merciful are those who walk upon the earth humbly, and when the ignorant address them [harshly], they say [words of] peace."
 
Ndio maana una kuta m bongo anakomaa kuua nyoka ata kama nyoka hana madhara yupo kwenye mishe zake ili kukamilisha unabii.
 
Unaambiwa nyoka akamwambia Hawa [emoji16][emoji16][emoji23] nyoka alikuwa anaongea bana kwahiyo waliongea lugha gan na kati ndo wametoka kuumbwa ? Na ilikuwaje nyoka akaacha kuongea na binadamu ikiwa laana yake hakuambiwa hatooongea???
Mbaya zaidi Mungu akajichelewesha makusudi kama police wa Tz ,mpaka Adam akala tunda , kaja mwishoni kabisa , akaanza kumtafuta Adam , Adamu akajificha ( mungu hakumwon ) akauliza adamu upo wap ? Akajibu nipo huku bwana .
 
Hilo fungu hata halihusiani na yesu, umenambia nikutajie fungu alaf hata hujasumbuka kulisoma, ina maanisha nikikuwa sahihi, nyie watu mshajitengenezea kuta, hamtaki tena kuamini, mi naelewa kwasababu nilikuwa kama wewe.

This conversation is over.
 
Vp kuhusu yoshua kusimamisha jua ?
 
Nyuma ya hoja yako ni kwamba ulimwengu na walimwengu havina mhandisi,so ndiyo!?
Hoja yangu ni kwamba haijalishi vina mhandisi au havina, siyo lazima huyo mhandisi awe Mungu au apewe jina la Mungu, au kuabudiwa na kupewa sifa lukuki ambazo hazina uhalisia
 
Hoja yangu ni kwamba haijalishi vina mhandisi au havina, siyo lazima huyo mhandisi awe Mungu au apewe jina la Mungu, au kuabudiwa na kupewa sifa lukuki ambazo hazina uhalisia
Are you ok upstairs son!?
 
Kuna baadhi ya maandiko katika Biblia ambayo yanapingana.

1. Kuhusu jinsi ya kuwaokoa watu:
- Yakobo 2:24: "Basi mnaona ya kuwa mwanadamu huhesabiwa haki kwa matendo, si kwa imani peke yake."
- Waefeso 2:8-9: "Maana kwa neema mmeokolewa, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu."

2. Kuhusu namna ya kumtazama Mungu:
- Kutoka 33:20: "Akasema, hutaweza kuuona uso wangu; kwa kuwa mwanadamu hataweza kuniona, akawa hai."
- Mathayo 5:8: "Heri walio safi wa moyo, maana hao watamwona Mungu."

3. Kuhusu kuchukua maisha ya wengine:
- Kutoka 20:13: "Usiue."
- 1 Samweli 15:3: "Basi sasa, enenda ukampige Amaleki, utiwe jivu kwa moto yote."

Tusimame na lipi?
 
Are you ok upstairs son!?
Umeshindwa kuthibitisha juu ya uwepo wa Mungu halafu unaniuliza if I am okay, kweli wonders shall never end, hivi unahisi kati ya mimi na wewe nani atakuwa wa kwanza kuwa doubted kama yuko okay upstairs
 
Aya zinazopingana ndani ya Qur'an.

1. Aya za Utumwa:
- Qur'an ina aya zinazohimiza watumwa kutendewa kwa haki (Qur'an 24:33), lakini pia ina aya ambazo zinaelezea jinsi watumwa wanavyoweza kununuliwa na kumilikiwa (Qur'an 2:178).

2. Aya za Amani na Vita:
- Qur'an inatoa maelekezo juu ya amani na uvumilivu (kwa mfano, Qur'an 8:61), lakini pia ina aya ambazo zinazungumzia vita na kujihami (kwa mfano, Qur'an 9:29).

3. Aya za Dini na Ushirikina:
- Qur'an inasisitiza Tawhid (umono wa Mungu mmoja) na kukataza ushirikina (Qur'an 112:1-4), lakini pia ina aya zinazoelezea jinsi ya kuwaadhibu washirikina (kwa mfano, Qur'an 9:5).
 
Hili ndo jibu sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…