Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."


Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Kaini na Abel walikuwa na dada zao. Tamaduni za watu wa Mashariki ya kati ziliwatukuza zaidi wanaume kuliko wanawake.

Abel alioa mojawapo wa dada zake. Na adam alikuwa nao mabinti wengi tu.

Hata mfano Yakobo hakuwa na watoto 12 wanaume tu bali pia alikuwa na mabinti wengi na siyo Dina peke yake ambaye tunaona kisa chake baada ya majanga.

Hivyo hivyo Avram, Isaack n.k

Angalia pia Marko 6:44. Inasema Yesu alilisha watu elfu 5 wanaume. Huu ni utamaduni wa kuwatukuza wanaume. Haiwezekani ule mkutano walikuwepo wanaume elfu 5 na hakukuwa na wanawake au watoto. Lazima walikuwepo ila walioripotiwa ni wanaume tu
 
Jibu lake ni kwamba walikuwa wanazaliwa mapacha mme na mke na huyo mwanamke ndio mke wako mpaka watu walipo ongezeka sana ndio huo utalatibu ukakoma
 
Adam na Eva waliiwahi kuzaa watoto wa kike pia, ila hawakutajwa kwenye Biblia na mmoja wao ndiyo huyu aliyekuja kuolewa na Kaini. Walikuwa wanaruhusiwa kuoana mtu na dada yake
Mr speculator kwanini wasitajwe wakati biblia ina utaratibu wa kutaja watu wote wa nyumbani mwa mtu.
 
Kuna Mhubiri mmoja wa Injili alinichanganya kabisa,alisema kuwa Kaini alimuua ndugu yake kwa shoka dogo lililotengezwa Misri..Nikajiuliza hivi Misri wakati huo kulikuwa na wanadamu
 
Mr speculator kwanini wasitajwe wakati biblia ina utaratibu wa kutaja watu wote wa nyumbani mwa mtu.
MR dismiss; sijui ila evidence zilizopo kwenye Biblia, zinaonyesha hivyo. Sababu za kwa nini hawakutajwa, ndiyo zile ambazo sizijui. Wewe unazijua?
 
MR dismiss; sijui ila evidence zilizopo kwenye Biblia, zinaonyesha hivyo. Sababu za kwa nini hawakutajwa, ndiyo zile ambazo sizijui. Wewe unazijua?
Jina gani hilo umeniita jamaa yangu nimebubujikwa na machozi kwa huzuni
 
Jina gani hilo umeniita jamaa yangu nimebubujikwa na machozi kwa huzuni
Una shida kichwani, ulitakiwa ufurahi sana, tena sana.
Tuseme kwa mfano mimi kama ni mwerevu ukiniita mwerevu, nafurahi au kama ni mjinga, ukiniita mjinga nafurahi pia EXCEPT, ukiniita mwerevu wakati najijua kuwa ni mjinga, au ukniitia mjinga wakati najijua kuwa ni mwerevu, lazima nitasikitika sana
 
Una shida kichwani, ulitakiwa ufurahi sana, tena sana.
Tuseme kwa mfano mimi kama ni mwerevu ukiniita mwerevu, nafurahi au kama ni mjinga, ukiniita mjinga nafurahi pia EXCEPT, ukiniita mwerevu wakati najijua kuwa ni mjinga, au ukniitia mjinga wakati najijua kuwa ni mwerevu, lazima nitasikitika sana
Kende zako
 
Watoto wakike hawakuwa wakihesabiwa
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."

Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."

Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu

Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."

Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Kiuhalisia bibilia ime focus zaidi na ukoo wa Yesu yaan chimbuko lake kianzia wakwanza na kuendelea kwa hyo haimaanishi kwamba hakukua na watu wengine ila focus ni chimbuko la mwana wa Adam
 
Kiuhalisia bibilia ime focus zaidi na ukoo wa Yesu yaan chimbuko lake kianzia wakwanza na kuendelea kwa hyo haimaanishi kwamba hakukua na watu wengine ila focus ni chimbuko la mwana wa Adam
Mmmmh
 
Back
Top Bottom