inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kwa nini cheko!?🤣🤣🤣 basi jioni njema mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini cheko!?🤣🤣🤣 basi jioni njema mkuu
😂😂 Mysterious ways wanasemaga...hoo Mungu mkuu huwezi muelewa...Hiki ni kichaka Cha kujifichia baada ya kukwama kihoja,muongozo wa Mungu kwa watu hauwezi kuhitaji mtu awe na maarifa ya kiroho
😂😂 Mysterious ways wanasemaga...hoo Mungu mkuu huwezi muelewaHiki ni kichaka Cha kujifichia baada ya kukwama kihoja,muongozo wa Mungu kwa watu hauwezi kuhitaji mtu awe na maarifa ya kiroho
Kusadikika mkuu ukihoji utasikia kiburi ni hiyo pumzi uliyo nayo mara kwa vile una afya na blabla nyingi za vitisho.Leo hii watu wanaenda mwezini mbona hawamfikii huyu Mungu...sembuse ghorofa... afu eti lugha. Burj khalifa imejengwa na watu wa mataifa na lugha tofauti na limesimama...😂yaani genesis nzima ni kama animation tu
Asee ifike mahala hizi stori tuache kuziamini mzeeeeKutoka misri mpka Israel ni km 623, ila musa na genge lake walitembea miaka 40, wastani wa km 15 kwa mwaka ,sawa na km 125 kwa mwezi, saw na mita 42 kwa siku sawa na uwanja wa mpira wa miguu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Mambo mengi duniani ni pasua kichwa kama suala la kuku na yai nani alitanguliaHabari zenu,
Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:
"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."
Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Wewe kutokumjua mtengenezaji wa Mungu haimaanishi kwamba Mungu hayupo.Inawezekana hatujui kwasababu ya ukomo wa uwezo wetu wakufikiri.Kama huwezi kujua ukisha kufa unakuaje basi jua upeo wako una kikomo.Tunajua kifo kipo kwasababu tunaona vitendo vyake je baada ya kufa inakuaje ilo hatujui,hali kadhalika kwa Mungu ni hivyo tunaamini yupo kwasababu ya vitendo ila zaidi ya hapo kuhusu yeye tuko gizani.Huyo Mungu na yeye alitokeaje?
Hivi na wewe unafikiri sawasawa kweli?
Kama huwezi kwenda mfugale, na useme imejitengeneza yenyewe kwamba lazima awepo mtengenezaji,
Basi hata huyo Mungu HAWEZI kutokea tu from no where, Mungu huyo Lazima awe na mtengenezaji wake.
Na watengenezaji Endless, ili pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe tu pasipo mtengenezaji.
😂😂😂Hii argument ya kitoto sanaMjadala kwa wasiofikiri ndo unakuwepo,huwezi kwenda mfugale interchange,ukute site za kupitia na taa za kuingozea magari halafu useme mfugale imetokea tu hakuna aliyeiplan na kuijenga
Nmefurah tu mkuu 😊😊Kwa nini cheko!?
Kwa imani lakiniKuzaana hakukuletwa na waeneza dini.
Ipo hivi watoto wa Adam walipozaana waliongezeka na kuenea kila pahali wengine walikuja hadi koromije na Gamboshi wapo huko mpaka leo.
Kumbe wa dini ipi!?..maana kwa mfano Mungu wa wakiristo yesu,ambaye alimlilia Mungu wake msalabani,na ambaye kwa baba yake atakunywa Tena mvinyo,so huyo kwangu Mimi ni mtu tu si Mungu muumba😂😂😂Hii argument ya kitoto sana
1. Kuna wajenzi tunawaona kila siku
2. Mungu kajengwa na nani?
3. Hata Kama Kuna Mungu au muumba, unajuaje ni wa dini yako?
😂Hivi mpo serious mnaamini watu waliishi miaka 800... sometimes tumieni akili...dating system Yao unaijua? Kumbuka system yetu ya calender ni recent tu so unajuaje aliishi mda gani?Mwanzo 5:4-5. Siku Za Adamu Baada Ya Kumzaa Sethi Zilikuwa Miaka Mia Nane, Akazaa Wana, WAUME NA WAKE..................
Walikua hawatembei msafara moja kwa moja kama unavyofikiri.Ungekua una nia yakuelewa ungepata majibu ila kwavike nia yako nikuonyesha makosa inakua haina haja yakukuelimisha.Kutoka misri mpka Israel ni km 623, ila musa na genge lake walitembea miaka 40, wastani wa km 15 kwa mwaka ,sawa na km 125 kwa mwezi, saw na mita 42 kwa siku sawa na uwanja wa mpira wa miguu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Hoja zimeshindikana!?Nmefurah tu mkuu 😊😊
Acha waziamni tu ukiona wana vichwa vigumu zisome kwa undani fungua kanisa piga pesa kondooo ni wengi.Asee ifike mahala hizi stori tuache kuziamini mzeeee
Kweli, Biblia haikuongelea sana watoto wa kikeIdadai ya Waisrael wakati wanatoka utumwani Misri kwenda Nchi ya Kaanani, walikuwa watu laki 6, bila kuhesabu wanawake na watoto
Yesu aliwalisha kwa samaki mmoja na mikate mitano watu elfu tano, bila kujali wanawake na watoto
Sijui kama nitakuwa nimejibu swali lako
Acha kuwaza hayo mambo maana hayaleti ugali mezani, cha msingi amini imani yako,muabudu muumba wako basi inatosha.Habari zenu,
Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:
"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."
Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Hoja nyingne inabidi hekima itumike tu kuzipotezeaHoja zimeshindikana!?
😂😂 Usisahau kuuliza na familia ya NoahKuna sehemu nyingi ndani Bible waandishi wa Bible walikosea kulinganisha uhalisia. Hivyo kwa hili swali lako usitegemee kupata jibu.
Kule mlima Sinai Lutu alizaa na watoto wake wote wawili. Na alizaa nao ikiwa ni baada ya watoto hao kumnywesha pombe baba yao kisha watoto hao wakashiriki tendo la ndoa na baba yao. Lakini kumbuka watatu hao walipona katika ghalika la Sodoma na gomola. Kwa maana nyingine walikuwa ni watiifu kwa Mungu. Sasa omba majibu ya maswali haya kama utapata majibu÷
1. Je kitendo walichokifanya watoto hao sahihi mbele za Mungu?
2. Je kizazi hicho cha maharimu ni kizazi kinachokubalika kwa Mungu?
3. Je pombe ni halali mbele za Mungu kwa sababu wataktifu wake hao waliitumia kama nyenzo ya kupata watoto?
4. Wajukuu wa Lutu aliozaa na watoto wake majina yao ni kina nani?
5. Lutu baada ya kubaini watoto wake wana ujauzito huku akijua kwamba maeneo hayo hawakuwa na mtu yeyete aliye karibu nao aliwahoji watoto hao walikopata mimba?