Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Biblia inayo pande mbizi ambazo ni Agano la kale na Agano jipya, Agano lakale lilikuwa linalenga mambo ya kimwili, leo Agano jipya lina lenga mambo ya Kiroho Yaani tenda kulingana na Roho yako itakavyo kuamulia.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bac niambie wapi Yesu kakataza ushoga? Wakristo mnajikosha tu...mnachagua sheria coz biblia ni ndefu Ina sheria kibao zinazokinzana...so mnachagua wat fits u...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kingine kiroho ni Nini...wat is kiroho maana ndo Chaka lenu
 
Unaposoma Biblia uwe na utulivu kidogo, mfano Mwanzo 1:26 inasema Mungu alimwumba mtu, 2:1 inasema Mungu alimaliza uumbaji and then 2:7 Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi. Sometimes it gives the big picture first then slowly giving you the details.

Hiyo Mwanzo 5:4 nimechukua kukuonesha kuwa Adamu alikuwa na watoto wa kike. Kabla ya hapo hakuna sehemu maandiko yanasema Adamu alikuwa na watoto wa kiume tu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Yaani wewe ni kama mchezaji anakaribia kufunga goli afu anajikosesha...yaani contradiction umeona kabisa ila unaifumbia macho...haya bana..mjinga sio mimi
 
Nakwambia hivi πŸ‘‡

Binadamu tumezaliwa kupitia baba na mama zetu,

Hakuna sehemu Mungu huyo ana onekana akiumba binadamu.

Baba yako na mama yako walikuwa kwenye starehe zao ukazaliwa wewe.wala walikuwa hawajui kwamba utazaliwa wewe.
Uelewa duni,namaanisha wewe Kama binaadam
 
Huwa unasoma na kuelewa!?..hebu soma Tena nilichoandika,Kama Kuna Mungu mkuu maana yake ana wasaidizi,ambao miongoni mwao ni ng'ombe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ng'ombe sio Mungu ni sacred tu...Kama wewe na msalaba au waislamu na ule mdude wa mecca...acha kujitoa akili sawa
 
Uelewa duni,namaanisha wewe Kama binaadam
Uelewa duni, mpaka sasa umeshindwa kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu.

Una bwabwaja bwabwaja tu.

Halafu unasema mimi nina uelewa duni.

Thibitisha kwamba Mungu ndio ame tuumba.
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."


Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Tafadhali pitia link hii kwa majibu sahii
www.jw.org/sw/je mke wa kaini alikuwa nani?
 
Mkeka umeshindikana kujibiwa kwa binti wa kilokole... Acha tu aendelee kuniuzia uji, mambo ya dini ni magumu
Screenshot_20231026-211659.png
 
Uelewa duni, mpaka sasa umeshindwa kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu.

Una bwabwaja bwabwaja tu.

Halafu unasema mimi nina uelewa duni.

Thibitisha kwamba Mungu ndio ame tuumba.
Thibitisha kwamba hukuumbwa,ueleze ulikotokea,siyo unataka nikupe picha ya Mungu muumba unayemkataa wakati huwezi kunionesha ulikotokea Kama binaadam,nioneshe umetokea wapi,nitaacha kuamini juu ya Mungu muumba leoleo
 
Biblia haielezi umri wa Kaini wakati alipomuua ndugu yake Habili (Mwanzo 4:8). Kwa kuwa wote walikuwa wakulima, lazima wawe walikuwa watu wazima, hata pengine na jamii zao.

Adam na Hawa walikuwa wamepata watoto wengine mbali na Kaini na Habili wakati Habili alipouawa. Walipata wengi wengine baadaye mwanzo 5:4.

Ile hali ya Kaini kuhofu sana juu ya usalama wake baada ya kumuua Habili mwanzo 4:14 inathibitisha kulikuwako na watoto wengi wengine pia na wajukuu na hata vilembwe wa Adamu na Hawa.

Kwa kuwa Adamu na Hawa walikuwa wanadamu wa kwanza duniani, watoto wao hawakuwa na lengine ila kuoana.

Mungu hakukataza kuoana kwa jinsi hii mapema mpaka dunia ilipokuwa na watu wakutisha ndipo akakataza aina hii ya kuoana mambo ya walawi 18:6-18.

Sababu ya madhara ya ndoa za kaka na dada ni kwamba kama kila mmoja wao alikuwa na hali Fulani ya kilema ndani yaoya kurithi basi atakayezaliwa atakuwa mwenye kurithi kutoka kwa wote wazazi wawili, hivyo basi kuwa hali mbaya zaidi kuliko waliomzaa
Uko serious kabisa unaandikia watu wazima wanaojitambua na uwezo wa kufikiri na kutofautisha?
 
Uelewa duni, mpaka sasa umeshindwa kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu.

Una bwabwaja bwabwaja tu.

Halafu unasema mimi nina uelewa duni.

Thibitisha kwamba Mungu ndio ame tuumba.
Basi hatujaumbwa na Mungu,....tumetokea tu from nowhere.

Nadhani hiyo ina make sense zaidi kwenye kichwa chako.
 
Acha kwenda nje ya mada...muumba ni brahma ..why humuabudu?
Vishnu,Lakshmi na wengine wengi ni miungu wenzake,ana colabo,Qur'an inasema 'pangelikua na miungu wengi basi pangekua na vurugu Sana ulimwenguni'..maana Lakshmi angetaka kuleta mvua wakati huohuo Vishnu angetaka leta theluji...Mimi naabuu Mungu mmoja asiye na mshirika,brahma kajiumba kwa dhahabu,Mungu wangu kaumba dhahabu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Tabiri za kipuuzi za biblia eti mwisho wa dunia kutakuwa na vita sijui matetemeko...πŸ˜‚hizi sio tabiri hizi story za kitoto...ukitaka utabiri uwe direct sema nchi fulani mwaka fulani itatokea kitu fulani...where does the bible do that...hamna utabiri wa maana kwenye bible.
Siamini bible coz Ina mauongo mengi watu wameweka afu wametishia watu ni ya Mungu na mijitu imeamini coz ni mijinga na mioga Kama wewe
Hapo sasa ndo tulipo tofautiana, swala la ufuatiliaji ni muhimu sana, sasa kwa taarifa yako utabiri uliopo kweny biblia ni exact na umenyooka, matukio na miaka yapo, utabiri upo direct sema kwasababu hutaki kujua, umeshikilia imani zako ili usijishughulishe na mambo ambayo huoni umuhimu wake sawa, mimi wakati fulani nilikuwa kama wewe ila utulivu wa akili na kusoma biblia kwa kumaanisha kulinisaidia, Isaya hadi alitabiri jinsi ufalme wa babel utakavyo pigwa na njia maadui watakayo tumia kuingia kweny malango.

Tatizo lenu nyie na tatizo langu zamani ipo hv, mnasema bible ni uongo, sawa, mkionyeshewa proof za utabiri uliotokea na miaka yake exactly kama ilivyoandikwa, mnasema data za uongo hizi zimepikwa, I just can't help it.

Swala la kuamini, ni uamuzi wa kutatanisha, ni kama kufunga ndoa tuu.
 
Vishnu,Lakshmi na wengine wengi ni miungu wenzake,ana colabo,Qur'an inasema 'pangelikua na miungu wengi basi pangekua na vurugu Sana ulimwenguni'..maana Lakshmi angetaka kuleta mvua wakati huohuo Vishnu angetaka leta theluji...Mimi naabuu Mungu mmoja asiye na mshirika,brahma kajiumba kwa dhahabu,Mungu wangu kaumba dhahabu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Acha kujikosha....wewe kutunga story kwamba Mungu wako ni mmoja doesn't make him true...muumba ni brahma...why haumuabudu...
 
Hapo sasa ndo tulipo tofautiana, swala la ufuatiliaji ni muhimu sana, sasa kwa taarifa yako utabiri uliopo kweny biblia ni exact na umenyooka, matukio na miaka yapo, utabiri upo direct sema kwasababu hutaki kujua, umeshikilia imani zako ili usijishughulishe na mambo ambayo huoni umuhimu wake sawa, mimi wakati fulani nilikuwa kama wewe ila utulivu wa akili na kusoma biblia kwa kumaanisha kulinisaidia, Isaya hadi alitabiri jinsi ufalme wa babel utakavyo pigwa na njia maadui watakayo tumia kuingia kweny malango.

Tatizo lenu nyie na tatizo langu zamani ipo hv, mnasema bible ni uongo, sawa, mkionyeshewa proof za utabiri uliotokea na miaka yake exactly kama ilivyoandikwa, mnasema data za uongo hizi zimepikwa, I just can't help it.

Swala la kuamini, ni uamuzi wa kutatanisha, ni kama kufunga ndoa tuu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Taja mstari wenye tabiri ya maana hapa...usiongee sana.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Acha kujikosha....wewe kutunga story kwamba Mungu wako ni mmoja doesn't make him true...muumba ni brahma...why haumuabudu...
Kajiumba kwa dhahabu brahma,Mimi Mungu wangu kaumba dhahabu,Sasa nimuabudu yupi!?
 
Back
Top Bottom