Kwanini Hayati Dkt Magufuli aliichukia sana Kaskazini lakini sasa Rais Samia anaipenda sana hii Kanda?

Mradi mkubwa wa maji hapa Arusha uliogharimu karibu bilioni 500, kusambazwa kwa umeme vijiji vya Arusha manyara mpaka kilindi Tanga kote huko ni umeme, Kufufuliwa kwa Bandari ya Tanga yote kafanya Magufuli lakini bado mtasema alikuwa anachukia kanda Yetu ACSEE binadamu sijui utamfanyia nini aridhike
 
Magufuri aliwafufulia reli ambayo ilikuwa imekufa kwa miaka 28 sasahivi wachaga wanasafirisha biashara zao kwa kuchagua,watumie reli au magari,Samia kaisha fanya kipi kipya hapo?
 
Utawala wa hovyo sana yaani ulioamini umasikini (unyonge) ndio fahari.

Ajabu ni kuwa wajinga bado ni wengi ambao walitumiwa kama mtaji wa kisiasa.
😀😀😀Nchi ilipata pakavu sana aise
 
NB, Ifikapo 2025 kaskazini haina chaguo zaidi ya Rais Samia Suluhu Hassan hii ni ndani na nje ya CCM, Kama kweli tunatamani kuiona kaskazini yetu inamea kwa kasi,

Usitupangie..

Tutachagua Kwa kadri ya Matakwa yetu.
 
Nakuombea ujazwe roho mtakatifu ili urudi kufanya editing.
Huu uzi umekaa kibaguzi kibaguzi hivi..watanzania wenzangu tuachane na mawazo ya kikanda, kikabila, au kidini..mawazo Kama haya hayataipeleka nchi yetu mbele..Tukatae ubaguzi wa aina yoyote ile kwenye nchi yetu..na tumuunge mama mkono kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuijenga nchi yetu.. Kwenye bandiko ametaja mtu na kabila lake kitu ambacho si sawa kwa umoja wa nchi yetu.
Kwa taarifa tu kwa mleta uzi..mpaka huku Kanda ya ziwa Kuna miradi mikubwa mno inayofanywa na serikali ya mama Samia..
Shime ndugu zangu Watanzania tusibaguane kwa dini, Kanda au kabila..na tuwakataee kwa nguvu zetu zote watu wote wanaotaka kupanda mbegu ya ubaguzi kwenye nchi yetu
Hongera mheshimiwa Rais kwa kazi kubwa unayoifanya ya kuwaleta Watanzania wote pamoja..
Kazi iendelee
 
Yeye alichukia ubadhilifu ikatokea bahati mbaya wabadhilifu waliowengi wakawa wanatokea huko

Hakuna ubishi hawa jamaa walijinufaisha Sana kwakutumia nafasi zao na walitumia vema fursa zao na kuwabeba NDUGU zao.

Kilichofanyika ni kupulizia dawa ya sumu kwenye shimo walilojificha matokeo yake waliumia wadudu wanaofanana
 
Mama anaupiga mwingi 15 mingine tena kwake
Rais Samia ndio mtu Sahihi 2025 kama kweli tunahitaji na sisi wa kaskazini kutambulika kama WATANZANIA,

Hii tupende tusipende, Ila tukiendelea na ma-CHADEMA yetu tutabaki wa hivi hivi tu,
 
Rais Samia anatupenda mno kaskazini
 
Kipindi cha sita Ndio kaskazini ilibandikwa UGAIDI halafu kama movie wakamchomoa.
Yaani WANAKUROGA halafu WANAKUAGUA. Hili kupanda huruma na upendo wa Kaskazini
 
Adui wa Adui yako ni rafiki wa kimkakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…