Wanataka madaraka kwa migongo ya dini wakati kazi ya dini ni kuwaambia watu wamrudie mola waoWatanganyika wa Dini zote waligombania UHURU na wengine walikuwa na Agenda zao wenyewe.
Huyu mzee shida yake anaamini nchi hii ni waislam pekee yao
So unapokuwa na mwana historia mwenye perspective ya upande mmoja hawez keta history ya kweli
.
Kama walivyo waislam wengine duniani kuamini kuwa wao ndo watu bora zaidi kuliko wengine na wenye uelewa zaidi kuliko wengine basi pia mzee said anaamini waislam wa tanzania ni bora zaidi na walifanya mengi zaidi kuliko wengine
Pia anaamini waislam ndo wasomi zaidi kuliko watu wengine n wana uelewa zaid kuliko watu wengine
Kwa mantiki hiyo huyu mzee ni mwanahistoria wa jamii ya kiislamu na maandiko yake yataishia kwa jamii husika kuja kwenye jamii ya kisomi ni ngumu yataishis kwenye misikit vijiwe vya kahawa nje ya misikiti..... huko zanzibar maana maandiko yake ni ya jamii hiyo tu na mara nyingi kulalamika mara mfumo kristo mara sijui tunaonewa
LA MWISHO MZEE SAID UKISOMA COMMEMT HII ANDIKA KITABU KITACHOFANYA WAISLAM WENZIO WAPENDE ELIMU DUNIA ......SIO KUKAA TU ELIMU ZA MADRASSA BAAADAE KUJA KUANDIKA HISTORIA ZA MALALAMIKO
IMHO....Watanganyika wa Dini zote waligombania UHURU na wengine walikuwa na Agenda zao wenyewe.
Wewe Ni msomaji wa JF kweli? Maana nakumbuka watu wamempinga na kupongeza Sana. Kabla ya kuandika fanya uchunguzi kwanzaSijawahi kuuona mjadala wowote unaopinga historia ya Sheikh Mohammed Said. Sio Nkuruma Hall, sio katika kumbi nyengine za wasomi, ukiondoka hapa Jf ambapo watu wanajificha nyuso zao ndio wanajadili
Au tunaongoja sheikh Mohammed Said amefariki ndio tuitane Nkurumah hall ili tukose majibu?
View attachment 3080932
View attachment 3080935
Joined Oct 17, 2023. Msamehe bure anajifunza. Kizazi cha 2000 ni shida tupu.Wewe Ni msomaji wa JF kweli? Maana nakumbuka watu wamempinga na kupongeza Sana. Kabla ya kuandika fanya uchunguzi kwanza
Huihui,Kinasomeshwa Uganda na Kenya kwenye misikiti au kwenye mtaala wa elimu ya sekondari/ msingi.
Nawashukuru waliokupiga stop Tanzania usieneze itikadi yako mbaya
Hui...Uchuro huo nani anataka?? Waislamu wanaotaka kusoma wanajuwa vitabu vya kusoma lakini hawahangaiki na hiyo itikadi ya mzee Mohamed
Mkwawa Kinjekitile Ngwale John Okelo Chief Songea Milambo nk. nk.IMHO....
Unaweza kuweka majina yao hapa hao wapigania uhuru wengine?
Mimi nimewataja wengi katika kitabu cha Abdul Sykes: Shariffa bint Mzee, Zarula bint Abdulrahman, Tatu bint Mzee, Mama bint Mwalimu, Nyange bint Chande, Amina Kinabo, Fatma bint Matola, Hawa bint Maftah, Halima Selengia, Halima bint Khamis...
Bibi Titi Mohamed.
Nasubiri orodha yako.
Historia anayoizungumza Mzee Mohamed Said ni ya Waislam. Hiyo inapaswa kugundishwa Madrasa kama wana mitaala ya historia. Na wa kumjibu ni Waislam maana ndiyo waliozungumziwa humo kwenye historia yakeSijawahi kuuona mjadala wowote unaopinga historia ya Sheikh Mohammed Said. Sio Nkuruma Hall, sio katika kumbi nyengine za wasomi, ukiondoka hapa Jf ambapo watu wanajificha nyuso zao ndio wanajadili.
Pia soma:Sheikh Mohamed Said heko wewe ni gwiji la historia Sasa mambo yanajitokeza hadharani!
Asalaam aleykum Al-Akh, Sheikh Mohammed Said kwa muda mrefu tumekuwa tukijadiliana kwa marefu na mapana kuhusu historia ya Tanzania. Ukaleta kitabu cha life and times of Abdulwahid Sykes watu wakakubeza. Kikaja kitabu chengine cha the Rise of Muslim Militants wakakubeza. Ukweli umeanza...www.jamiiforums.com
Au tunaongoja sheikh Mohammed Said amefariki ndio tuitane Nkurumah hall ili tukose majibu?
Je Waislamu sio Watanganyika?! Tunataka Historia ya Watanganyika.Historia anayoizungumza Mzee Mohamed Said ni ya Waislam. Hiyo inapaswa kugundishwa Madrasa kama wana mitaala ya historia. Na wa kumjibu ni Waislam maana ndiyo waliozungumziwa humo kwenye historia yake
Nyerere yule mkatoliki kinoma na mdini nambari mojaMambo mengine kuyajadili ni kupoteza muda tu, Historia ya Wazee wa Kariakoo ijadiliwe huko huko kariakoo. Nyerere aliona mbali sana
Ni Watanganyika 101%Je Waislamu sio Watanganyika?! Tunataka Historia ya Watanganyika.
Nyinyi eti Mchungaji wenu ni Nabii TitoHakuna research pale nakwambia,research iishie wigo wa Kariakoo na Dar tu huku ikizunguka kwenye dini uiite research?
Utamsikia akisema hii imesomeshwa sijui chuo gani marekan mara profesa fulani aliniomba nimtumie nakala asijue wazungu humsikiliza yeyote hata kama mwendawazimu alimradi wapate kumsoma ufahamu wake.
Hivi Nyerere angekuwa ni Mdini angeruhusu Nchi hii iwe ya Kisecular?!.Nyerere yule mkatoliki kinoma na mdini nambari moja
Imh...Mkwawa Kinjekitile Ngwale John Okelo Chief Songea Milambo nk. nk.
sawa lets research yako na wewe iliyobase na kutoka wigo mpana zaid. mim nahangaika na research najua ugumu wakeHakuna research pale nakwambia,research iishie wigo wa Kariakoo na Dar tu huku ikizunguka kwenye dini uiite research?
Utamsikia akisema hii imesomeshwa sijui chuo gani marekan mara profesa fulani aliniomba nimtumie nakala asijue wazungu humsikiliza yeyote hata kama mwendawazimu alimradi wapate kumsoma ufahamu wake.
Hayo ni majina tu,hatujui waliyapataje labda kwa hofu ya kuogopa Arab Slave Trade hata leo ukienda Usukumani Selemani na Hamisi wako wengi tu lakini wanaabudu Mizimu ya Babu zao.Imh...
Nami nakuongezea wengine katika orodha yako na kukupa taarifa zaidi.
Mkwawa jina lake ni Abdallah.
Nduna Songea Mbano jina lake ni Abdulrauf Songea Mbano.
Hassan Omar Makunganya.
Pamoja na wengine walionyongwa na kuzikwa katika kaburi la halaiki baada ya Vita Vya Maji Maji ni Mkomanile.
Huyu ni mwanamke pekee aliyekuwa jemadari katika Vita Vya Maji Maji.
Siku zote anatajwa kwa jina moja tu Mkomanile.
Jina lake ni Khadija Mkomanile.
Lakini kabla ya kunyongwa alifika Fr. Yohanned Hafliger kutoka Peramiho Mission akawaambia hawa wazalendo wapatao 67 kuwa wakikubali kubatizwa na kuwa Wakristo hukumu ya kifo itafutwa.
Khadija Mkomanile akapewa jina jipya la Yacintha jina la Khadija likafutwa na kwa wengine ikawa ni hivyo.
Wote wazalendo 67 wakanyongwa.
Naamini umejifunza kitu hapa.
Wewe sasa umevaa jezi.Hayo ni majina tu,hatujui waliyapataje labda kwa hofu ya kuogopa Arab Slave Trade hata leo ukienda Usukumani Selemani na Hamisi wako wengi tu lakini wanaabudu Mizimu ya Babu zao.
Fafanua tafadhali.Wewe sasa umevaa jezi.