Kwanini huwa tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati ardhi tumeikuta ipo bure? Why?

Kwanini huwa tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati ardhi tumeikuta ipo bure? Why?

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Mambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!

Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!

Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati tayali ipo BURE?

Huduma zingine za kijamii tunazolipia naelewa ni sawa zinazalishwa viwandani hivyo ni mhimu kulipia!
Sasa hili la kodi ya pango ya ardhi kwanini tulipie wakati tumekuja duniani ili tuishi kwenye ardhi halisi BURE?

Yaani kwa lugha nyepesi Ardhi ipo kundi moja na hewa! Kama tunalipia kodi ya ardhi kwanini tusilipie na kodi ya hewa?

Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!

Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE. WACHA TUISHI NAYO BURE!

Updates
Kuanzia tarehe 01 may 2023 kodi za majengo wataanza kuzikata laivu kupitia LUKU, yaani Nyumba ya kawaida bila elfu 12000 umeme hautoki na kwa nyumba za maghorofa bila laki na ishirini hupati umeme!

HAUWEZI KUSHI KWENYE ARDHI YA MUNGU BUREBURE! Wakati Mungu katuleta duniani ili tuishi kwenye ardhi tuliyoikuta BURE
 
Mambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!

Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!

Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati tayali ipo BURE?
Huduma zingine za kijamii tunazolipia naelewa ni sawa zinazalishwa viwandani hivyo ni mhimu kulipia!
Sasa hili la kodi ya pango ya ardhi kwanini tulipie wakati tumekuja duniani ili tuishi kwenye ardhi halisi BURE?
yaani kwa lugha nyepesi Ardhi ipo kundi moja na hewa! Kama tunalipia kodi ya ardhi kwanini tusilipie na kodi ya hewa?

Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!r
Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE ! WACHA TUISHI NAYO BURE!
Usisahau:
Maji tunalipia pia
Hwwa tunayovuta tunalipia
 
Serikali angalieni namna kuifuta hii kodi ya ARDHI Vinginevyo wanasheria watanzania mnaoipenda Tanzania naomba mkafungue kesi ya kupinga hili!
Vitu vya asilia tuviache vibakie katika uasili wake!
Kuomba kodi ya ardhi ni kama kutuingilia kinyume na maumbile wananchi!
Tunapolaani ushoga tulaani na hili la kutozwa kodi ya ardhi!
 
Serikali angalieni namna kuifuta hii kodi ya ARDHI Vinginevyo wanasheria watanzania mnaoipenda Tanzania naomba mkafungue kesi ya kupinga hili!
Vitu vya asilia tuviache vibakie katika uasili wake!
Kuomba kodi ya ardhi ni kama kutuingilia kinyume na maumbile wananchi!
Tunapolaani ushoga tulaani na hili la kutozwa kodi ya ardhi!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!

Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!

Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati tayali ipo BURE?
Huduma zingine za kijamii tunazolipia naelewa ni sawa zinazalishwa viwandani hivyo ni mhimu kulipia!
Sasa hili la kodi ya pango ya ardhi kwanini tulipie wakati tumekuja duniani ili tuishi kwenye ardhi halisi BURE?
yaani kwa lugha nyepesi Ardhi ipo kundi moja na hewa! Kama tunalipia kodi ya ardhi kwanini tusilipie na kodi ya hewa?

Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!r
Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE ! WACHA TUISHI NAYO BURE!
Mfumo wa dunia wa Kiutawala, wanachuma mpk kwenye kazi ya Uumbaji wa Mungu.
Sheria za kidunia, Ardhi ni mali ya Serikali pamoja na vyote vilivyopo chini na juu yake isipokuwa bhangi
 
Back
Top Bottom