Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahajajaaaaKwa mujibu wa Sheria, Hakuna Ardhi iliyokaa bure tu, Ardhi ni mali na msimamizi mkuu ni Rais, wewe unakuwa umepewa tu hati ya kuimiliki kwa miaka kadhaa lakini lazima uendelee kulipa kodi kwa msimamizi mkui (Rais)
Nenda ukamalizane nae PM, nikuaminia hufeli hapa unatujazia inzi tu👩❤️💋👨👩❤️💋👨👩❤️💋👨👩❤️💋👨👩❤️💋👨
Hii ndio sheria ya nchi yetu, ukiingia kwenye mgogoro na Rais unakuwa umefanya maisha yako yawe magumu sana😁Aahajajaaaa
Rais ni mtu mkubwa sana aisee
Nisamehe mkuuNenda ukamalizane nae PM, nikuaminia hufeli hapa unatujazia inzi tu
Hata hata kodi ya jengo tunalipia ya nini wakati gharama za ujenzi na vifaa tumelipia na kukatwa kodi? Maji, umeme tumelipia!Mm naunga mkono hoja kwanini tulipie ardhi Kisha tulipie na jengo 😆hii ijakaa sawa
Hiyo ardhi unayolipia umeipata wapi wakati ardhi yetu wote binadamu ya asili unajimilikishajeMaji watasema kuna miundombinu ya kununua! Sasa ardhi ni ileile kama ilivyo hewa! Sasa kwanini tunalipia?
Amani mingi mingi kwako mkuu,Nisamehe mkuu
Ufahamu tu na kujitaftia laana za kurithi!Wanatuonea wivu hawataki tufike mbinguni tukicheka
🙏🙏🙏🙏🙏🙏Amani mingi mingi kwako mkuu,
Kuna kitu kinaitwa Universal Law hizi sheria zote unazoziona hadi Sheria ya kulipa Zaka na Sadaka zimekopiwa kutoka kwenye Sheria za Mama Ulimwengu (Mother Nature)Hiyo ardhi unayolipia umeipata wapi wakati ardhi yetu wote binadamu ya asili unajimilikishaje
Ninaposema maji namaanisha mtu umechimba kisima chako nyumbani kwako, kesho yake wanakuja vijana na suti za mkia wa kondoo wanasema unatakiwa kulipia hayo maji kwa mamlaka ya maji wakati hawajawekeza hata sentiMaji watasema kuna miundombinu ya kununua! Sasa ardhi ni ileile kama ilivyo hewa! Sasa kwanini tunalipia?
Kodi ya ardhi sawa kwa sababu tunapata miundombinu ambayo kimsingi ni haki yetu.Mambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!
Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!
Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati tayali ipo BURE?
Huduma zingine za kijamii tunazolipia naelewa ni sawa zinazalishwa viwandani hivyo ni mhimu kulipia!
Sasa hili la kodi ya pango ya ardhi kwanini tulipie wakati tumekuja duniani ili tuishi kwenye ardhi halisi BURE?
yaani kwa lugha nyepesi Ardhi ipo kundi moja na hewa! Kama tunalipia kodi ya ardhi kwanini tusilipie na kodi ya hewa?
Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!r
Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE ! WACHA TUISHI NAYO BURE!
Mimi walikuja kwangu nikawafungulia MBWA! Napenda haki ila ujinga SITAKI!Ninaposema maji namaanisha mtu umechimba kisima chako nyumbani kesho wanakuja vijana na suti za mkia wa kondoo wanasema unatakiwa kulipia hayo maji kwa mamlaka ya maji wakati hawajawekeza hata senti
Wajinga kabisaMimi walikuja kwangu nikawafungulia MBWA! Napenda haki ila ujinga SITAKI!
Hiki no zaidi ya kituko 😆Ninaposema maji namaanisha mtu umechimba kisima chako nyumbani kwako, kesho yake wanakuja vijana na suti za mkia wa kondoo wanasema unatakiwa kulipia hayo maji kwa mamlaka ya maji wakati hawajawekeza hata senti
Hiyo miundombinu mbona tunailipia? Ingekuwa mtu akijenga anasogezewa Huduma zote BURE sawa lakini huduma zote tunauziwa ni BIASHARA!Kodi ya ardhi sawa kwa sababu tunapata miundombinu ambayo kimsingi ni haki yetu.
Lakini kodi ya jengo ni wizi kwa mujibu wa sheria. Serikali inanidai vibali kabla sijajenga na hainipi unafuu wowote kipindi cha ujenzi. Vifaa vya ujenzi nalipia kodi na bado inanitaka kulipia kodi ya jengo.
Huu ni wizi unaolindwa na sheria.
In shortKuna kitu kinaitwa Universal Law hizi sheria zote unazoziona hadi Sheria ya kulipa Zaka na Sadaka zimekopiwa kutoka kwenye Sheria za Mama Ulimwengu (Mother Nature)