Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Sasa nimeweka jengo ambalo serikali hailimiliki wala haina ubia kisha inanidai kodi.Yesu alishamaliza huu utata siku nyingi, aliwaambia ya Kaizari mpeni Kaizari.
Wengi hawajui Yesu alikuwa analipa kodi, kwahiyo Hakuna kiumbe yoyote wa kushindana na mfumo huu, huu siyo mfumo kristo, huu ni mfumo Babylon.
Soon wataleta air regulators watulazimishe tuzivae ili tulipie kodi ya oksijeni