Kwanini huwa tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati ardhi tumeikuta ipo bure? Why?

Kwanini huwa tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati ardhi tumeikuta ipo bure? Why?

Hewa hatulipishwi kwasababu hakuna hatari ya kupungua na kusababisha wengine wakose.
Ardhi ni tofauti kidogo, ukichukua sehemu ya ardhi umeshawazuia wengine wasiitumie na hivyo kutengeneza uhaba wa kiasi fulani.
.... exactly! Na sio tu kutengeneza uhaba kwa wengine bali pia unaitumia kwa faida binafsi opportunity ambayo wengine hawana.
 
Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!r
Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE ! WACHA TUISHI NAYO BURE!
Labda wanataka tuwe tunaishi hewanihewani kama ndege
 
Bado hujanishawishi,kwa mfano mimi niko na nyumba maeneo karibu na Goba na siingizi hata shilingi 100 je hapo watanipa excuse ya kutolipa kodi?
... iko hivi bro, wewe kuishi hapo unapoishi no matter ni Goba au wapi umesha-occupy nafasi ambayo wengine wangetamani kuipata ila wewe umeshai-hold. Lipa kodi.
 
... iko hivi bro, wewe kuishi hapo unapoishi no matter ni Goba au wapi umesha-occupy nafasi ambayo wengine wangetamani kuipata ila wewe umeshai-hold. Lipa kodi.
Swali la mwisho nakuuliza usiponielewa hapo basi tena.
Je nikishalipia kodi itamsaidia vipi huyo ambaye amekosa ardhi?Je itamfanya na yeye apate ardhi kwa kutumia hiyo kodi?
 
Kodi unayolipa ni "kamchango kadooogo" cha kusaidia operation expenses za kudhibiti matumizi ya ardhi.
Kwa nini wadhibiti matumizi ya ardhi wakati iliumbwa ili tuitumie kwa kujinafasi?Maana dunia ndio hii hii moja hatuna dunia nyingine ya kwenda
 
Swali la mwisho nakuuliza usiponielewa hapo basi tena.
Je nikishalipia kodi itamsaidia vipi huyo ambaye amekosa ardhi?Je itamfanya na yeye apate ardhi kwa kutumia hiyo kodi?
... swali lako kimsingi ni hoja pana inayojitegemea. Nakushauri ukajifunze ni "kwanini tunalipa kodi" kuondoa knowledge gap.
 
... swali lako kimsingi ni hoja pana inayojitegemea. Nakushauri ukajifunze ni "kwanini tunalipa kodi"?
Nikikupiga maswali kuhusu hii mada utaniletea theories mlizosoma CBE au IFM but in real sense not implemented.
 
Nikikupiga maswali kuhusu hii mada utaniletea theories mlizosoma CBE au IFM but in real sense not implemented.
Sasa ndugu kama huelewi ni kwanini tunalipa kodi utaelewa hii mada kweli? Umekomalia tuishi kwa nafasi tuishi kwa nafasi. Hiyo kuishi kwa nafasi hapo unapoishi ndio faida yenyewe unayopaswa kuchangia nchi yako through kodi kwa faida ya wengi.
 
Sasa ndugu kama huelewi ni kwanini tunalipa kodi utaelewa hii mada kweli? Umekomalia tuishi kwa nafasi tuishi kwa nafasi. Hiyo kuishi kwa nafasi hapo unapoishi ndio faida yenyewe unayopaswa kuchangia nchi yako through kodi kwa faida ya wengi.
Ulaya ndio matumizi ya kodi huonekana ndugu.
Kama hata panadol ya bure hospitalini hakuna utajihesabia kuna matumizi sahihi ya kodi.
Ulaya Huduma za Afya ni bure tena ni huduma bora na si bora huduma.
Tungekuwa na proper budgeting madini tu tuliyonayo na bandari vingetosha kufanya kila kitu lakini cha ajabu haieleweki hizo pesa wanazitumia vipi hadi zinaisha wanakuja kutembeza bakuli kwa walalahoi mitaani.
Sipendi kuzama kwenye siasa ila kutokana na comment yako imenifanya nifunguke
 
Watu sijui kama wanaelewa haki ya lazima na wajibu wa lazima!

Kuna vitu ukizaliwa tu tayali unahaki ya kuvitumia bure ikiwemo ardhi na hewa!
Mengine ya kuumba ni wajibu ambayo tunalipishwa kodi kwayo!
Ardhi ni bure, kwann niilipie kodi?
 
Mada nzuri sana na nimependa wachagiaji wamechangia kwa busara bila matusi wala lugha za kukera,

Nimebaki njia panda kulingana na maoni ya wadau,
1. Ardhi isilipiwe sababu tumeikuta ni kitu cha Asili kama ambavyo hatulipii hewa

2. Ardhi inalipiwa sababu umekua mmiliki na ukiwa mmiliki ni wazi inakuletea faida na chochote kikupacho faida basi kilipiwe kodi,

Lakini kwanini nilipie ardhi kila mwaka wakati kinachonipa faida ni jengo na tayari jengo nalipia kila mwezi?
 
Watu sijui kama wanaelewa haki ya lazima na wajibu wa lazima!

Kuna vitu ukizaliwa tu tayali unahaki ya kuvitumia bure ikiwemo ardhi na hewa!
Mengine ya kuumba ni wajibu ambayo tunalipishwa kodi kwayo!
Ardhi ni bure, kwann niilipie kodi?
Mimi nafikiri watu wengi wameshindwa kukuelewa logic yako nini wanakurupuka kujibu,kuna wengine wamekariri notsi za darasani.
Nijuavyo mimi serikali inapaswa kudai kodi mahali walipopaendeleza ili kufidia gharama zao na kuendelea kupatunza mahali hapo.
Kwa mfano Soko,Kivuko,bandari au huduma yoyote wanayoisimamia directly mfano kusambaza maji,umeme.
Sasa hoja ya mtoa mada ni hivi"Ardhi ni yake alinunua,nyumba alijenga mwenyewe bila support ya mtu yeyote ni kwa nini alipishwe kodi?
 
Back
Top Bottom