dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... hewa haina mmiliki na kuitumia wewe popote ulipo haimnyimi mwingine fursa ya kuitumia.Watu sijui kama wanaelewa haki ya lazima na wajibu wa lazima!
Kuna vitu ukizaliwa tu tayali unahaki ya kuvitumia bure ikiwemo ardhi na hewa!
Mengine ya kuumba ni wajibu ambayo tunalipishwa kodi kwayo!
Ardhi ni bure, kwann niilipie kodi?
Kinyume chake, ardhi ukishamiliki kipande ina-exclude wengine wote fursa ya kutumia the same kipande. Hiyo ndio tofauti ya ardhi na hewa.