Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Tokea zinaanzishwa, serikali ni vikundi vya waporaji ambao wanakutoza kodi na kusingizia ni kwa manufaa yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yaaniTokea zinaanzishwa, serikali ni vikundi vya waporaji ambao wanakutoza kodi na kusingizia ni kwa manufaa yako.
... na hapo ndipo point ilipo; ardhi ni scarce resource ndio maana sio kila mtu anayo. Wale wachache waliyo nayo wailipie kwa maendeleo ya wote including wasiokua nayo.Sio wamiliki wote wa ardhi walinunua,wewe unanunua ardhi kwa sababu umechelewa kuja kuitafuta kwa hiyo unampa fidia tu mtu aliyeiwahi na kuitunza kwa ajili yako
Mapori bado yako mengi ndugu nenda Namtumbo huko hata bure unapata,sema tunalipishwa kwa sababu wengi tunakuja kurundika mjini kwenye kasehemu kadogo... na hapo ndipo point ilipo; ardhi ni scarce resource ndio maana sio kila mtu anayo. Wale wachache waliyo nayo wailipie kwa maendeleo ya wote including wasiokua nayo.
Tazama post #33Hewa hatulipii,maji pia hatulipii bali tunacholipia pale ni huduma ya kusafishiwa na kusogezewa karibu.
Nenda kachote maji ya mtoni au kisimani kama kuna mtu atakudai pesa
Wacha kupenda vya bure, unafikiri barabara unazoziona na lami zinakuja bure?Mambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!
Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!
Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati tayali ipo BURE?
Huduma zingine za kijamii tunazolipia naelewa ni sawa zinazalishwa viwandani hivyo ni mhimu kulipia!
Sasa hili la kodi ya pango ya ardhi kwanini tulipie wakati tumekuja duniani ili tuishi kwenye ardhi halisi BURE?
yaani kwa lugha nyepesi Ardhi ipo kundi moja na hewa! Kama tunalipia kodi ya ardhi kwanini tusilipie na kodi ya hewa?
Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!r
Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE ! WACHA TUISHI NAYO BURE!
May be hujanielewa,mimi namuunga mkono mtoa mada,hoja yake iko sahihi na ina mantikiTazama post #33
Location matters! Pale mnapogombea thamani iko juu wachache wanaomiliki hawana budi kulipia kodi kwa faida ya wengi.Mapori bado yako mengi ndugu nenda Namtumbo huko hata bure unapata,sema tunalipishwa kwa sababu wengi tunakuja kurundika mjini kwenye kasehemu kadogo
Thamani imekuja juu baada ya watu wengi kurundikana,Sinza na kinondoni zamani ilikuwa mapori pia.Location matters! Pale mnapogombea thamani iko juu wachache wanaomiliki hawana budi kulipia kodi kwa faida ya wengi.
🤣🤣🤣🤣🤣Sawa mkuu ngoja nipunguze maana dah
... sidhani kama hoja ya mleta mada iko sahihi sana. Iko hivi, kipande cha ardhi pale katikati ya jiji la Dar, Posta Mpya mathalani ni hazina kila mtu angetamani kukimiliki; why? Kwa sababu kina faida! Kinaingiza pesa. Chochote kinachoingiza pesa kodi ni lazima.May be hujanielewa,mimi namuunga mkono mtoa mada,hoja yake iko sahihi na ina mantiki
Kwani hiyo kodi ya jengo wametangaza inalipishwa Posta na kariakoo?... sidhani kama hoja ya mleta mada iko sahihi sana. Iko hivi, kipande cha ardhi pale katikati ya jiji la Dar, Posta Mpya mathalani ni hazina kila mtu angetamani kukimiliki; why? Kwa sababu kina faida! Kinaingiza pesa. Chochote kinachoingiza pesa kodi ni lazima.
Now you're talking! Thamani ikipanda maana yake ardhi hiyo inakuingizia pesa! So, hoja ya kulipia kodi inakuwa valid.Thamani imekuja juu baada ya watu wengi kurundikana,Sinza na kinondoni zamani ilikuwa mapori pia.
So hata Namtumbo watu wengi wakipakimbilia na kujenga patakuwa juu na thamani itapanda
Hewa hatulipishwi kwasababu hakuna hatari ya kupungua na kusababisha wengine wakose.Mambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!
Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!
Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati tayali ipo BURE?
Huduma zingine za kijamii tunazolipia naelewa ni sawa zinazalishwa viwandani hivyo ni mhimu kulipia!
Sasa hili la kodi ya pango ya ardhi kwanini tulipie wakati tumekuja duniani ili tuishi kwenye ardhi halisi BURE?
yaani kwa lugha nyepesi Ardhi ipo kundi moja na hewa! Kama tunalipia kodi ya ardhi kwanini tusilipie na kodi ya hewa?
Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!r
Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE ! WACHA TUISHI NAYO BURE!
Kwa hiyo kodi ikikusanywa ndio itasaidia ardhi kuongezeka na kupewa hao waliokosa ardhi?Hewa hatulipishwi kwasababu hakuna hatari ya kupungua na kusababisha wengine wakose.
Ardhi ni tofauti kidogo, ukichukua sehemu ya ardhi umeshawazuia wengine wasiitumie na hivyo kutengeneza uhaba wa kiasi fulani.
... hata kwa mifano huelewi? Kila kipande cha ardhi kina thamani yake kutegemea kiko wapi na kodi inatofautiana based on those factors.Kwani hiyo kodi ya jengo wametangaza inalipishwa Posta na kariakoo?
Bado hujanishawishi,kwa mfano mimi niko na nyumba maeneo karibu na Goba na siingizi hata shilingi 100 je hapo watanipa excuse ya kutolipa kodi?... hata kwa mifano huelewi? Kila kipande cha ardhi kina thamani yake kutegemea kiko wapi na kodi inatofautiana based on those factors.