Mwenye ardhi analipa kodi ya ardhi. Kampuni inalipa corparate tax, mtumiaji wa mwisho wa bidhaa au huduma analipa VAT n.kKwani sahivi nani analipia zote
Kumbe ardhi ni bure kisa kaumba Mungu mbona mimi sina Basi ngoja nikajikatie kipande changu pale posta na mimi niwe naye
ARDHI ni mali ya Serikali ukitaka ukae bure basi usiitumie ardhi hiyo kwa kujenga ukijenga tu serikali lazima ikutoze kodi kwa hiyo AMUAMambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!
Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!
Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati tayali ipo BURE?
Huduma zingine za kijamii tunazolipia naelewa ni sawa zinazalishwa viwandani hivyo ni mhimu kulipia!
Sasa hili la kodi ya pango ya ardhi kwanini tulipie wakati tumekuja duniani ili tuishi kwenye ardhi halisi BURE?
Yaani kwa lugha nyepesi Ardhi ipo kundi moja na hewa! Kama tunalipia kodi ya ardhi kwanini tusilipie na kodi ya hewa?
Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!
Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE. WACHA TUISHI NAYO BURE!
Basi hata hewa ni mali ya serikali?ARDHI ni mali ya Serikali ukitaka ukae bure basi usiitumie ardhi hiyo kwa kujenga ukijenga tu serikali lazima ikutoze kodi kwa hiyo AMUA
Mlio bora kabisaKwanini unafurahi wakat AtM ikiwa inatema pesa. Wakati ni zako
Kwasababu ardhi ni mali ya Watanzania wote, unalipa kodi kuhalalisha kuachiwa uitumie, maana watanzania wenzako wanayo haki kumiliki hicho kiardhi unachomilikiMambo mengine mtu ukiwaza unaona kabisa maisha ni mepesi kimtindo lakini kuna baadhi ya wanadam wenye dhamana ya uongozi ndiyo waliyoyafanya maisha yawe magumu!
Tumeumbwa ardhi ilikuwapo, tumepata Uhuru, ardhi ilikuwapo milele hadi milele yote!
Sasa kwanini tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati tayali ipo BURE?
Huduma zingine za kijamii tunazolipia naelewa ni sawa zinazalishwa viwandani hivyo ni mhimu kulipia!
Sasa hili la kodi ya pango ya ardhi kwanini tulipie wakati tumekuja duniani ili tuishi kwenye ardhi halisi BURE?
Yaani kwa lugha nyepesi Ardhi ipo kundi moja na hewa! Kama tunalipia kodi ya ardhi kwanini tusilipie na kodi ya hewa?
Naomba kueleweshwa! Vinginevyo naomba serikali ifute hii TOZO ya ARDHI ya ardhi mara moja!
Ardhi Haipaswi kabisa kutozwa kodi TUMEPEWA BURE. WACHA TUISHI NAYO BURE!
Umeona TRA huko wanawanyoosha kodi ya jengo kuanzia 01 may 2023 makato kupitia LUKU watu wanalia mbayaMtoa mada Ukifika mbinguni ulizia Malaika wa Misukosuko utanipata nina Divai kwaajili Yako. 👏👏
TRA tayali rasmi wameanza kufyeka kupitia LUKU wanasanya wasivyopandaVocha ni yako afu unapangiwa matumizi. Serikali si uchawi tu ndo unawabeba
Bado unasubiri ufafanuzi ...watu wanalia huko kwenye LUKU sahivi hupati umeme hadi ukatwe kodi ya mwakaNgoja tusubiri ufafanuzi kutoka kwa wasomi
Wenzako walisha wai hapo posta,zamani pia palikua pori, tafuta na wwe pori lako!!Kumbe ardhi ni bure kisa kaumba Mungu mbona mimi sina Basi ngoja nikajikatie kipande changu pale posta na mimi niwe naye
MwambieWenzako walisha wai hapo posta,zamani pia palikua pori, tafuta na wwe pori lako!!
Ardhi, ni mali ya Watanzania wote, wewe unapojitwalia ardhi maana yake wezako hawawezi kupata hiyo ardhi maana ushakuwa yako, hivyo kuleta usawa inabidi uilipie kodi ila uwe na haki ya kihalali ya kumiliki hiyo ardhi maana yake ni kuwa kodi unayo lipa ndio inakuwa uhalali wa kuwa mmiliki wa eneo lako unalomilikiSerikali angalieni namna kuifuta hii kodi ya ARDHI Vinginevyo wanasheria watanzania mnaoipenda Tanzania naomba mkafungue kesi ya kupinga hili!
Vitu vya asilia tuviache vibakie katika uasili wake!
Kuomba kodi ya ardhi ni kama kutuingilia kinyume na maumbile wananchi!
Tunapolaani ushoga tulaani na hili la kutozwa kodi ya ardhi!