Huyo dogo inasemekana kwenye mafunzo ya ujeda alishangaza kutokana na ufupi wake ikabidi wamchukue ili wampeleke kujifunza ukomandoo, upo uzi humu unaelezea sifa zake ikiwa ni pamoja na bangi kwa sana
Urefu sio kigezo Cha kuingia jeshini hayo mambo Yako polisi huko ndio maana unaona Wana matukio ya ajabu ajabu wanayafanya Kila kukicha.Sure kwa ufupi wake hafiki futi tano bado nawaza sana hata wenzetu huko wanabid watushangae kidgo
Wanapeleka watuhumiwa ambao tayari walishasomewa mashtaka na wapo mahabusu ya magereza na siyo mahabusu wenye fresh case ambao wapo vituo vya polisi, hiyo kesi ilikua bado watuhumiwa hawajasomewa mashtaka kwahiyo wanaopeleka mtuhumiwa mahakamani ni polisi baada ya kusomewa mashtaka ndo wanaenda kukabidhiwa magereza kwahiyo KMKM wataanza ku escort kwanzia tarehe inayofata ambayo wamepangiwa baada ya kusomewa mashtaka.Umechanganya siongelei KMKM nmeongelea KM wanahusika kuserve High criminal suspects
Ni yeyeNimejaribu kuangalia kwenye ile clip akili inakataa khamini kwamba huyo ni mtu m1.
Naona kama daaaah wanafanana kwa mbaaaaliii
Watu wafupi tunapend sifa toka lini?Nahis kama si huyo lakn sasa watu wafup wanapendansifa sana, kwa kitendo cha kujirekodi na kuonyesha sura yaweza kuwa ndie yeye
Alistairi pingu japo yawez kuwa pingu ndio hao jamaa wawili
Usiseme hivyo mama! Utaharibu.. mm nina 4.7 hadi leoKuna watu ni wafupi jamani
Nimeelewa sasaWanapeleka watuhumiwa ambao tayari walishasomewa mashtaka na wapo mahabusu ya magereza na siyo mahabusu wenye fresh case ambao wapo vituo vya polisi, hiyo kesi ilikua bado watuhumiwa hawajasomewa mashtaka kwahiyo wanaopeleka mtuhumiwa mahakamani ni polisi baada ya kusomewa mashtaka ndo wanaenda kukabidhiwa magereza kwahiyo KMKM wataanza ku escort kwanzia tarehe inayofata ambayo wamepangiwa baada ya kusomewa mashtaka.
😝😝Usiseme hivyo mama! Utaharibu.. mm nina 4.7 hadi leo
HahahahahaMkufunzi wa kutatua marinda.....
Mwanajeshi alitumwa na polisi ?Huyo sio mwanajeshi tna ukiona kashafikishwa mahakani jua hana kazi tena hap
Nchi ina Special Force wavuta bangi eh!!! Siku wanaingia kazini,anamwambia adui yake eti brother,nigie unga kidogo mwananguAlafu hii sifa ya bangi kwa sana ndiyo inaonekana sifa ya kuwa komando.