kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Zelewesk (nyundo)Huyo dogo inasemekana kwenye mafunzo ya ujeda alishangaza kutokana na ufupi wake ikabidi wamchukue ili wampeleke kujifunza ukomandoo, upo uzi humu unaelezea sifa zake ikiwa ni pamoja na bangi kwa sana
Kuna mtu alisema kuanzia intake ya 40 hakuna askari😂😂 tofauti na walioenda Special F.😥Mwanajeshi alitumwa na polisi ?
Link ya huo Uzi tuuone mkuuHuyo dogo inasemekana kwenye mafunzo ya ujeda alishangaza kutokana na ufupi wake ikabidi wamchukue ili wampeleke kujifunza ukomandoo, upo uzi humu unaelezea sifa zake ikiwa ni pamoja na bangi kwa sana
Sa si ndo jeshi lijitafakari kuendelea kuajiri vichwa majiMwanajeshi alitumwa na polisi ?
Hata kama wakihukumiwa lakini jela hawakai.Mara ghafla papaaaa wanaachiwa huru ..... hamna mlalamikaji na jamhuri imeamua kuachana na mashtaka hayo
Hiyo video umeiona wapi ?Kusema ukweli ile video nimeiangalia na hao watuhumiwa wa jana nimewaona....yule aliekinyonywa uboo jana mbona hakuonekana? Yule aliekamuinamisha binti mbona naye hakuonekana jana? Hili ni igizo tu
You are completely Wrong and out of pointInawezekanaje mwanajeshi awekwe ndani kituo cha polisi,akafungwe na raia? Kumbukeni,polisi ni raia wa kawaida,na yupo chini ya uangalizi wa utawala wa kiraia si wa kijeshi.
Navojua mimi,hiyo kesi ingehusisha wanajeshi,ilikuwa wafungwe na Military Police,na wanajeshi hao ndo wangekuwa mstari wa mbere.
Kama ni tofauti,basi kuna shida somewhere. Baada ya kukamatwa,uongozi wa jeshi ungetaarifiwa,na wahusika wangefatwa na MP. Labda wanajeshi bandia,au lile jeshi la mtu mmoja.
Jeshi halina vigezo vya urefu.Nawaza jamaa amekuaje mwanajeshi na yuko kess than futi 5
Mkuu mwanajeshi anakabiliwa na sheria zote mbili, za kiraia na kijeshi.Inawezekanaje mwanajeshi awekwe ndani kituo cha polisi,akafungwe na raia? Kumbukeni,polisi ni raia wa kawaida,na yupo chini ya uangalizi wa utawala wa kiraia si wa kijeshi.
Navojua mimi,hiyo kesi ingehusisha wanajeshi,ilikuwa wafungwe na Military Police,na wanajeshi hao ndo wangekuwa mstari wa mbere.
Kama ni tofauti,basi kuna shida somewhere. Baada ya kukamatwa,uongozi wa jeshi ungetaarifiwa,na wahusika wangefatwa na MP. Labda wanajeshi bandia,au lile jeshi la mtu mmoja.
Master kuna mwanajeshi jirani yangu yaani siyo rolimodo kabisa!Wakati nyie uvutaji bangi, sugu mikononi, mwili uliokakama (siyo kujengeka), namaanisha uliokakamaa kwa maisha magumu, yasiyo na viwango na kufanya kazi nzito za kujikimu ndiyo kigezo cha mtu kuchaguliwa kwenda kwenye mafunzo ya ukomando, wenzetu wanaangalia utimamu wa mwili, na uwezo mkubwa wa kiakili, kujiheshimu na kuheshimu wengine, utaifa, uvumilivu, reasoning etc
Vigezo kwa sasa Vimeongezeka...bangi, ulevi, ubakaji na ufiraji. Vitisho vishazoelekaJeshi halina vigezo vya urefu.
Polisi kwenye uandikishaji ndiyo hujali vigezo vya urefu.
TumepigwaMbona kama siye yule WA kwenye ...??
Hatujapigwa kweli...?
Kwa mumeoHiyo video umeiona wapi ?
Hakuna KM hapo mkuu, hao wote ni Polisi wapo Task Force Dodoma. Ni watu haswa, usijichanganye.Bwana Nyundo hapo yupo na KM wawili
KM ni askari kikosi maalaum wa Magereza ambao wanakazi ya kudeal na wahalifu wakubwa
KM iliasisiwa kikosi cha Ukonga Miaka mingi iliopita chini ya Mwasisi wake Late SACP Conrad Tesha
Kikosi kiliundwa baada ya ongezeko la wafungwa watukutu walokua wakipiga askari wa lindo magerezani ( wardens & corporals)
KIKOSI MAALUM ( Raia wanaita Makomando wa Magereza )
Ni moja ya vikosi imara ambavyo Askari hupitia mafunzo mbalimbali ya utimamu wa mwili na mapigano
Askari mara nyingi atakua na sifa kama hizi
5.5 ft+
Well physical body
Sharp Decision making
JWTZ na Urefu
Kua na angalau 5ft ni advantage lakini sio kigezo cha lazima
Askari wafupi zaidi ni special na wanapendelewa zaidi kama Inflantry
UTUKUTU NA COMMANDO COURSE
Kwenye medani kuna dhana kwamba a good soldier cant be a commando cant be a warrior
Kwa maana so called GOOD SOLDIER hawa ni wale ambao wako obedient sana nidhamu ya kijeshi ni A+ hawawezi kua askari watendaji wazuri hususani kwenye Uwanja wa Vita
Askari ambaye anaharibu sana kazi anafaa kwenda SF kwa sababu SF inahitaji zaidi utendaji kuliko uongozi
No wonder Dogo walimbakiza kama Instructor RTS MSATA
Bado haupo sahihi mkuu, hao ni polisi.Umechanganya siongelei KMKM nmeongelea KM wanahusika kuserve High criminal suspects
Hawajali hicho kigezo siku za hivi karibuniJeshi halina vigezo vya urefu.
Polisi kwenye uandikishaji ndiyo hujali vigezo vya urefu.