Kwanini huyu anayesemekana kuwa ni mwanajeshi anayetuhumiwa kubaka alikuwa hajafungwa pingu? Na hao waliokuwa wanaongozana naye ni akina nani?

Kwanini huyu anayesemekana kuwa ni mwanajeshi anayetuhumiwa kubaka alikuwa hajafungwa pingu? Na hao waliokuwa wanaongozana naye ni akina nani?

Huyo dogo inasemekana kwenye mafunzo ya ujeda alishangaza kutokana na ufupi wake ikabidi wamchukue ili wampeleke kujifunza ukomandoo, upo uzi humu unaelezea sifa zake ikiwa ni pamoja na bangi kwa sana
Zelewesk (nyundo)
 
Kusema ukweli ile video nimeiangalia na hao watuhumiwa wa jana nimewaona....yule aliekinyonywa uboo jana mbona hakuonekana? Yule aliekamuinamisha binti mbona naye hakuonekana jana? Hili ni igizo tu
Hiyo video umeiona wapi ?
 
Inawezekanaje mwanajeshi awekwe ndani kituo cha polisi,akafungwe na raia? Kumbukeni,polisi ni raia wa kawaida,na yupo chini ya uangalizi wa utawala wa kiraia si wa kijeshi.
Navojua mimi,hiyo kesi ingehusisha wanajeshi,ilikuwa wafungwe na Military Police,na wanajeshi hao ndo wangekuwa mstari wa mbere.
Kama ni tofauti,basi kuna shida somewhere. Baada ya kukamatwa,uongozi wa jeshi ungetaarifiwa,na wahusika wangefatwa na MP. Labda wanajeshi bandia,au lile jeshi la mtu mmoja.
You are completely Wrong and out of point
 
Inawezekanaje mwanajeshi awekwe ndani kituo cha polisi,akafungwe na raia? Kumbukeni,polisi ni raia wa kawaida,na yupo chini ya uangalizi wa utawala wa kiraia si wa kijeshi.
Navojua mimi,hiyo kesi ingehusisha wanajeshi,ilikuwa wafungwe na Military Police,na wanajeshi hao ndo wangekuwa mstari wa mbere.
Kama ni tofauti,basi kuna shida somewhere. Baada ya kukamatwa,uongozi wa jeshi ungetaarifiwa,na wahusika wangefatwa na MP. Labda wanajeshi bandia,au lile jeshi la mtu mmoja.
Mkuu mwanajeshi anakabiliwa na sheria zote mbili, za kiraia na kijeshi.

Kokote akipatikana na hatia anahukumiwa na kutumikia adhabu.

Akifanya makosa ya kijeshi yasiyo ya mauaji kambini, kama ulivyosema atahukumiwa kambini.

Kesi ya mauaji yasiyo ya 'active service' akiyafanya kambini pamoja na kesi za jinai au za madai za mitaani, anaburutwa mahakama kwa kina 'hakimu mkazi' kama kawaida na adhabu anatumikia.
Kifupi ni hivyo.
 
Wakati nyie uvutaji bangi, sugu mikononi, mwili uliokakama (siyo kujengeka), namaanisha uliokakamaa kwa maisha magumu, yasiyo na viwango na kufanya kazi nzito za kujikimu ndiyo kigezo cha mtu kuchaguliwa kwenda kwenye mafunzo ya ukomando, wenzetu wanaangalia utimamu wa mwili, na uwezo mkubwa wa kiakili, kujiheshimu na kuheshimu wengine, utaifa, uvumilivu, reasoning etc
Master kuna mwanajeshi jirani yangu yaani siyo rolimodo kabisa!
 
Bwana Nyundo hapo yupo na KM wawili
KM ni askari kikosi maalaum wa Magereza ambao wanakazi ya kudeal na wahalifu wakubwa
KM iliasisiwa kikosi cha Ukonga Miaka mingi iliopita chini ya Mwasisi wake Late SACP Conrad Tesha
Kikosi kiliundwa baada ya ongezeko la wafungwa watukutu walokua wakipiga askari wa lindo magerezani ( wardens & corporals)

KIKOSI MAALUM ( Raia wanaita Makomando wa Magereza )
Ni moja ya vikosi imara ambavyo Askari hupitia mafunzo mbalimbali ya utimamu wa mwili na mapigano
Askari mara nyingi atakua na sifa kama hizi
5.5 ft+
Well physical body
Sharp Decision making

JWTZ na Urefu
Kua na angalau 5ft ni advantage lakini sio kigezo cha lazima
Askari wafupi zaidi ni special na wanapendelewa zaidi kama Inflantry

UTUKUTU NA COMMANDO COURSE
Kwenye medani kuna dhana kwamba a good soldier cant be a commando cant be a warrior

Kwa maana so called GOOD SOLDIER hawa ni wale ambao wako obedient sana nidhamu ya kijeshi ni A+ hawawezi kua askari watendaji wazuri hususani kwenye Uwanja wa Vita
Askari ambaye anaharibu sana kazi anafaa kwenda SF kwa sababu SF inahitaji zaidi utendaji kuliko uongozi

No wonder Dogo walimbakiza kama Instructor RTS MSATA
Hakuna KM hapo mkuu, hao wote ni Polisi wapo Task Force Dodoma. Ni watu haswa, usijichanganye.
 
Alikuwa na kipala ghafula nywele zimekuwa kubwa!

Alikuwa mrefu na mwembamba ghafula Kawa ndava na Kawa mfupi!

Hizi kamela za simu zetu zinachanganya sana.
 
Back
Top Bottom