Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiheshimu wewe usinidogolishe kamwe na Uhuru wa ku comment jukwaa lolote pinga hoja yangu kwa hoja, hafu kwanini utumie I'd tofauti kwa huu Uzi it means huamini unachokiandika, I'm free minded person siogopi ninachoamini so acheni matusi reja reja.
Umeilingalisha vipi wakati kwa mujibu wa komenti kule juu huwa huitumii?Watu walipotea humu baada ya Sheria za mitandao na watu kupotezwa kwa kuwa na mawazo mubadala humu, pia moderation ya content imekuwa Kali kulingana na Sheria za mitandao ndio unaona hivo.
Pia humu Kuna I'd za vyama vyote kutetea ujinga kwa masilahi mapana ya vyama vyao, Ila hyo bado haiondoi ubora wa humu mtandao kwenye kujifunza Mambo ya msingi compared na hyo mitandao mingine
Ndugu, wananchi umeelewa wanachokililia lakini? yawezekana ata hujasikia kilio cha wananchi. Ni mikumbo pengine lakini wapo wanaolia juu ya elimu bure(currently the only move done by the late kwenye elimu) Elimu bure was bogus attempt na sijui kwanini tumeruhusu elimu irudi nyuma kiasi kile. Mzee mkapa aliwahi kusemaBaada ya ishu ya CAG nikasema niingie mitandaoni nione reaction ya wananchi juu ya serikali ya JPM.
Twitter na JF kama kawaida ni matusi tu na kejeli kwa mwendazake, ila awa ni wachache na tumeshawazoea hawanaga madhala.
Nikasema niingie kwa majority ya wananchi huko Facebook na Instagram penye watumiaji 90% wa social media wa Tanzania.
Nikakuta vilio na kukata tamaa kwa wananchi baada ya kuona kipenzi chao JPM anazushiwa uongo na mema yake yanapondwa.
Wananchi imani yao kwa Magufuli ni kubwa sana, waite wajinga awajaelimika ila kuna namna JPM aligusa maisha yao na akatengeneza connection nao. Hakuna kitu mtafanya sasa hivi kufuta hii love ya raia kwa JPM.
Nawashauri CCM na wapinzani mnaoendeleza vita na JPM wasibeze hivi vilio maana awa wananchi watawaadhibu siku moja. Kumpuuza Magufuli ni kuwapuuza majority ya watanzania 93%.
Msije sema hamkuambiwa.
View attachment 1748149View attachment 1748150View attachment 1748151View attachment 1748152View attachment 1748153View attachment 1748154
Point yako ni nini hasa,wewe unajudge uwezo wa mtu kwa “spellcheck”
Umeilingalisha vipi wakati kwa mujibu wa komenti kule juu huwa huitumii?
Hujui kuwa ukitoa thread au maoni ya upande fulani unashambuliwa kama nyuki?
Hasa jukwaa la siasa? Bora hata majukwaa mengine unaweza kujifunza kwasababu kule watu hawawi katika mlengo fulani..
Huku jukwaa la siasa unaweza kujua hata hii jf ipo na mlengo upi.
Nawaangaliaga wale wadaku mpk nasema wazazi wao wako wapi. Ukiangalia wanavyotetea uvundo sasa ndo balaaMitandao ya beki tatu utategemea kupata kitu cha maana hyo ni ngumu mno aisee
Niliisoma ile thread,alichowasilisha wachache sana walimuelewa.nilishangaa sana na majibu ya watu mle.Jukwaa la Siasa Pro CHADEMA huwa wanaamini ni haki yao peke yao ku comment,ukija na mawazo tofauti utashambuliwa na kukejeliwa mpaka basi,nimecheka kwenye Thread ya Mwanakijiji kuna Pro-Chadema mmoja anamtukana kuwa hana akili na wala hajui system inavyofanya kazi akae kimya,nikamuuliza unamjua Mwanakijiji au unapuyanga tu,kashindwa kujibu kabaki kuniporomoshea matusi,halafu eti ndiyo wanajiona Great Thinker kuliko Users wa FB[emoji3][emoji3][emoji3]
point yangu ni hii hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1748216View attachment 1748215View attachment 1748218View attachment 1748219View attachment 1748217
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa.. Kule wamejaa bendera fuata upepo, hawajui dunia inaelekea wapiMitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
MATAGA mmepatwa na kiwewe.Sawa endeleeni na matusi yenu nyinyi si mnajua kuongea sana. Ila mjue wananchi sio wajinga wanamjua mbaya kwao na mzuri kwao. Magufuli kawafanyia mengi mazuri haya matusi ya kumuita fisadi yatawahukumu siku moja.
Niliisoma ile thread,alichowasilisha wachache sana walimuelewa.nilishangaa sana na majibu ya watu mle.
Muda mwingine mtu unaamua kukaa kimya tu unakuwa msomaji.
Watu wako ki team zaidi, Ile mitandao ya picha na show off Basi hawana mda na Mambo seriousKweli kabisa.. Kule wamejaa bendera fuata upepo, hawajui dunia inaelekea wapi
Hujui kitu mkuu. Kama ndivyo, kwa nini jiwe alilazimika kutumia mabegi ya kura feki zilizopigwa tayari na wizi mwingi ili kushindana?Kumpuuza Magufuli ni kuwapuuza majority ya watanzania 93%.
MATAGA mmepatwa na kiwewe.
Pambio mfululizo niaka 5 limewalemaza kabisa, mmekuwa vibudu. Jiwe aliwashika vibaya sana.
Mambo ya brainwashing na cult-following.
Niseme tu CORONA BABA LAO. Mtu kazikwa na mavi yake. Hehehehehe
[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa hawa ndiyo wanajiona GT na kuwadharau users wa FB. Huo uzi ndiyo ulionyesha kiwango cha uelewa mdogo wa members wengi hasa Pro-Chadema,comments nyingine nilikiwa nasoma naishia kucheka hadi naangalia Profile ya aliyeandika.
Hyo mitandao huwa sipiti wengi akili ndogo Sana wallahNawaangaliaga wale wadaku mpk nasema wazazi wao wako wapi. Ukiangalia wanavyotetea uvundo sasa ndo balaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]point yangu ni hii hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1748222View attachment 1748223View attachment 1748224View attachment 1748225View attachment 1748226
Wewe ndo una povu had ukaanza personal attack, kuwa mvumilivu ndugu. Mwanaume mzima una I'd nyingi sijui ka Nini hafu siuende huko FB na IG unakoona Wana msifia mwendazake.mda wote tu jf ya sikuhizi si nzuri huku unaendelea ku comment na Wala hauachi.Povu kama lote,ukiguswa kidogo unashindwa kuhimili joto la mjadala, ujinga wa Multiple ID’s mnao nyinyi mliovamia JF na kuja kuifanya ikawa ya hovyo hovyo,JF ya enzi hadi tunaichangia isimame haikuwaga na ujinga kama huu!
What if huwa wanafanya utani/comedy?