Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
-
- #81
Nani muislam wewe mpumbavu naona unawashwa washwa kuniquote hovyo hovyo kama mjinga hiviyaan nyiny waislam mna matatizo sana , yanayotokea msumbij kimya hamas waliposhambulia mlishangilia wanajibiwa sasa mnatia huruma mara vikwazo
kwan vikwazo wanawekewa wanaoshinda vita au wasababishaj wa vita ? ebu watu weusi tuwe na ufaham kidogo , tunachekelea ujinga wkt majanga ya ugaidi yapo ndan ya tz tytWewe unafikiri siku Russia akianza kubondwa na Ukraine, viongozi wa Ukraine watawekewa vikwazo?
jibu kwa hoja , usituletee udikteta wa kipumbav , kama huna hoja kaa kimya , humu sio kwenu kwamba tukisikilize ww wkt huandika hoja zakohujui chochote kaa kimya
Bila uingereza na ufaransa kusingekua na taifa la Israel Leo,walilianzisha kwa makusudi maalum,akaja kuingia USA,hao wakiwatupa mkono,mwezi ni mrefu Sana Israel ku-exist,Hadi mitandao ya porn wanamiliki,ni watu wa biashara,lakini uyahudi na uzayuni ni vitu viwili tofauti, netanyahu ni mzayuni,wayahudi wenyewe huko marekani wanawapinga akina netanyahuJews wako very strategic,power behind the scenes. Founder wa Facebook, Google ni Jews,Wana nguvu kiasi tani. Media zote kubwa Wana interest, banking and finance pia. Hushangai hakuna kiongozi wa magharibi aliyelaani mashambulizi ya Israel kule Gaza? The have them by the balls🤗.
weww ni mnafiki Ukraine ilikaa kimya mpk 2022 urusi alipovamia ukraine , wala Ukraine hakuwa na mipango ya kupigana na Urusi kabla ya 2022 hoja za kukomboa crimea zimekuja baada ya kuvamia mwaka 2022 alipoona Urusi anaitala Ukraine nzima , ila Israel imekuwa inachokozwa kwa kushambuliwa tangu mwaka 1927 hata 1948 hata 1950s etc sijawai sikia Ukraine kaishambulia Urusi kabla ya 2022 , bara la afrika halipig hatua kisa UNAFIKIRussia ilipora Crimea kama ambavyo Israel imepora westbank au Jerusalem. Cha ajabu Wapalestina wakipambana kuirudisha wanaitwa magaidi ila Ukraine ikipambana kuirudisha Crimea wanaitwa wazalendo huku Russia ikiwekewa vikwazo.
Huu undumilakuwili ni kwa faida ya nani
kwan yemen , syria , iraq , sudan , somalia , libyia , mali , Afghanstan , Lebanon kote huko kuna Israel , Israel ndo anawafanya wawe wamoja hao watu wa mashariki ya katiNchi za magharibi ndiyo zinacontrol Israel,ni project yao,hebu fanya Israel isingekuwepo pale, mashariki ya kati ingekuaje!?
wayaudi wengine walikwepo hapo hawakuondokagaKung'ang'ania ardhi ya mababu wa wayahudi waliporudi kwenye nchi yao ya asili
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
google , unatuchosha ssHao ndio mababu wa Wayahudi ?
ilikuaje mpk wakaporwa hayo maeneo ? wewe ni mtu mpuuz na unafiki ndo unakuendesha , haujadili mambo kwa mzan sw , yaan unajuwa kbs waliishambulia israel wakapigwa kisha wakaporwa maeneo kama fidia ya vita , hapa unashabikia hamas kuua watoto na wanawake eti wanapigania maeneo yaoWapi nimetaja taifa la palestina? Nimesema Israel imevamia westbank na Jerusalem wakati ni eneo la Palestina ila hawajawekewa vikwazo. Hiyo crimea na Ukraine zote zilikua sehemu ya urusi huko nyuma so ni kama tu Dodoma iivamie Zanzibar!!
Cha ajabu Russia kudai ardhi ya mababu zake huko Crimea imekua nongwa ila Palestina kudai ardhi yao wanaitwa magaidi.
NB: Hakukuwahi kuwa na taifa la Israel, same to hakukuwa na taifa la palestina ila ilikuwepo "nchi" inaitwa British Palestine ambalo lilikuwa koloni la Palestina lililo chini ya uingereza. Cha ajabu hiyo Palestine kwa sasa inaitwa Israel baada ya ardhi ya wapalestina kuporwa
Nadhani nilishakwambia siku moja kwamba juu ya mabega yako Kuna buyu lisilo na faidakwan yemen , syria , iraq , sudan , somalia , libyia , mali , Afghanstan , Lebanon kote huko kuna Israel , Israel ndo anawafanya wawe wamoja hao watu wa mashariki ya kati
kwann waarab wasiwe na hii nguvu ?Jews wako very strategic,power behind the scenes. Founder wa Facebook, Google ni Jews,Wana nguvu kiasi tani. Media zote kubwa Wana interest, banking and finance pia. Hushangai hakuna kiongozi wa magharibi aliyelaani mashambulizi ya Israel kule Gaza? The have them by the balls[emoji847].
sion uhusiano ax mgogoro wa sasaSolomon Friedman ni mmoja wa founders wa Ethical partners ambayo inamiliki pornhub ni Jew.wanamiliki more than 50% ya porn industry duniani.
mshaanza uongo ss kama vile hakuna taifa lililogawanya kuwa mataifa mawili , mwaka 1948 waarabu walikuwa machawa wa wazungu , walikuwa mambwiga tuBila uingereza na ufaransa kusingekua na taifa la Israel Leo,walilianzisha kwa makusudi maalum,akaja kuingia USA,hao wakiwatupa mkono,mwezi ni mrefu Sana Israel ku-exist,Hadi mitandao ya porn wanamiliki,ni watu wa biashara,lakini uyahudi na uzayuni ni vitu viwili tofauti, netanyahu ni mzayuni,wayahudi wenyewe huko marekani wanawapinga akina netanyahu
umekosa hoja sasa? Zero kbsNadhani nilishakwambia siku moja kwamba juu ya mabega yako Kuna buyu lisilo na faida
Sidhani kama umesoma na kuelewa nilichomaanisha.siku hz ukishambuliws ni kosa kujibu ? ni sw kudai late Nyerere kuwekewa vikwazo kwa kuivamia uganda , hv watu weusi mnaenda mbele au mnarudi nyuma ?
Hivi unaongea utumbo gani? Unajua maana ya Jewish Settlers? Yaani baada ya marital yote hayo kuisha na mikataba ya amani na palestina kuporwa ardhi yote kimabavu kuisha bado kila mwaka walowezi/jewish settlers wanajitwalia maeneo kwenye ardhi ya palestina na kufukuza wenyeji.Israel imekuwa inachokozwa kwa kushambuliwa
Utakatifu gani taifa linasupport ushoga na linapinga ukristoHuwezi kuliwekea vikwazo taifa takatifu.
Kujibu kivipi? Walowezi wamekalia kilazima vijiji vya palestina kma Amin alivyokalia kagera kwa lazima. Sasa Hamas wakaenda shambulia hao walowezi, ni sawa na nyerere alivyoenda shambulia walowezi wa Uganda huko kagera.siku hz ukishambuliws ni kosa kujibu ? ni sw kudai late Nyerere kuwekewa vikwazo kwa kuivamia uganda , hv watu weusi mnaenda mbele au mnarudi nyuma ?
Muwe mnaona aibu nyie wavaa rozari huwa mnakomenti uharo sanaIsrael haijapigana na Palestine bali imewachapa hamas hapo gaza pekee na sio Palestine nzima