Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Ndugu zangu tu-spend hiyo Miaka 40 sijui 50 tukapumzike, kama Kuna kipigo uko mbele tukakikute, kama umefikia hatua ya kubadilisha chochote kuanzia ngazi ya mtaa,Kijiji,tarafa,wilaya,mkoa,taifa,bara au hata Dunia fanywa hivyo, badirisha positively unless otherwise tukojoe tukalale ndugu zangu tupunguze drama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kweli tunaakili kwanini sasa hatuvumbui vitu kama wazungu?
Sababu huku tuko na laana mbili.
1. Kuna waisrael ambao ndio walimsulubu Yesu so wakajipa laana kama ukisoma kumbukumbu LA torati
2. Pia Kuna WAafrika ambao walishirikiana Ana waarabu na Wazungu kuwauza Hao jews utumwani nao wanajumlishwa huko na Sasa tumezaliana sana huku Barani afrika but Yesu a nawajua watu wake though sisi hatujuani ila wapo wanaamka kama ilivuoandikwa. Ndio maana Hilo Bara liko hovyo hovyo mpk tu mrudie Mungu WA kweli.
Wazungu aka japhet wao alitabiriwa watakuwa hivyo juu mwisho WA Dunia ukikaribia so that's why wako juu but muda unakaribia so wakiiona mtu kama Kanye west anawaamsha wenzake wanachachawa vibaya. Na juzi Kuna mwana basketball mmoja nae wanamminya huko kwa kusema kuwa sisi wao weusi hawajatoka Africa Bali wametoka ISRAEL
 
 
Kwambe wewe hutaki kuwa Mzungu sheikh!!
 
Kanye kasema wao black American ndio waebrania aka jews WA ukweli. Sasa Wazungu aka Jewish WA uongo wamekasirika kwamba why atoe siri wakati watu weusi wamelala usingizi pono. Kwanini anawaamsha.
Kwa hiyo...hii ndo imesababisha makampuni yote yale kumtema kanye...

Ama kweli kuna kitu sio bure

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Sio kweli Mkuu

Watu weusi wametawaliwa na kupata shida wakati wa ukoloni yaani in 1880's

Waisrael wana safari ndefu sanaa ya kunyanyaswa na kuteswa sana tangu wakati wa utawala wa Mafarao, yaani miaka mingi kabla ya utawala wa kirumi
 
Nguvu inayotumika kuwalinda na kuwatetea Wayahudi ndo hiyo hiyo inatumika kwa kundi la LGBTQ, fuatilia utaona. Napata wasiwasi huenda haya makundi yote ni chukizo kwa Muumba mbingu na ardhi
 
Sio kweli Mkuu

Watu weusi wametawaliwa na kupata shida wakati wa ukoloni yaani in 1880's

Waisrael wana safari ndefu sanaa ya kunyanyaswa na kuteswa sana tangu wakati wa utawala wa Mafarao, yaani miaka mingi kabla ya utawala wa kirumi
Sasa kwani Farao aliwatesa Wazungu?? Soma vizuri historia.... Achana na hii ya mzungu inayoanza kusema mtu mweusi kaibuka after utumwa Huu WA juzi
 
Ufunuo WA yoga a 3:9....Mungu anajua kabisa wale jamaa Ni wao go Bali ni sinagogi la shetani
 
Hata mimi naona point yako inamashiko hebu Endelea kutupa data zaidi T14 Armata njoo huku ujibu hoja.
 
Kongo tu hapo wabelgiji waliua watu mil10.... Achana na Waka transatlantic slave trade watu weusi zaidi ya mil 100 hapo sijajumlisha east African slave trade.... Hao jamaa milioni 6 wanalia Lia weeeeee. Wangepigwa jiramba kama letu je.??? Kwanza wajerumani wanasema jamaa walidanganya Hitler wala hakuua watu wote Hao. Hitler alikuwa a busy anapigana vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…