Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Tena jamii za Kikristo ndio zimeanza kuleta mambo ya ajabu ni mwendo wa Harambee na mikosanyo ya pesa mopaka kwenye Jumuiya...., Binafsi bora kuchangia wasiojiweza na kuwapa pesa Ijumaa wajipatie mlo kuliko sijui kumchangia nani anunue gari eti ili awafikie watu kutoa huduma
Hapo nazungumza kama neutral ambaye anaangalia mambo kwa manufaa ya Jamii...
Anyway to each their own
Hapo nazungumza kama neutral ambaye anaangalia mambo kwa manufaa ya Jamii...
Anyway to each their own