wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,594
- 3,158
Kwahiyo Chadema haishindi tena [emoji23][emoji23]Hahaha sasa unadhani nyie chama cha mambuzi mtamfanya nini samia? Urais 2025 atashinda mtake msitake kwakua mmekubali kuwa Mbuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Chadema haishindi tena [emoji23][emoji23]Hahaha sasa unadhani nyie chama cha mambuzi mtamfanya nini samia? Urais 2025 atashinda mtake msitake kwakua mmekubali kuwa Mbuzi.
Ni raia wenye level gani ya elimu?..
Usilete mambo ya hoyahoya hapa.
Mungu alimbaliki alifanya mambo mengi kwa ajili ya watu wakeYule kama ni dawa alijua kuzioga na kazi zake zinaonekana (sio za kisadikika), hawana namna ya kumtenganisha na raia walio wengi hata kama amekufa.
We na elimu Yako ya kukariri umefanya nini katika nchi hii kiazi weweNi raia wenye level gani ya elimu?..
Usilete mambo ya hoyahoya hapa.
Pambafu, Yesu sio mfu tumbili weye! Yesu alifufuka kutoka wafu na akapaa mbinguni.Yesu mbona hamchoki naye,si ni mfu pia?,usitupangie gay wewe
Na huo ndio ukweli mchungu!! Na kinachoshangaza zaidi ni kwamba huyo ambaye hawataki kutambua juhudi zake kubwa katika huo mradi ni mwenzao wa kutoka Chama chetu pendwa!! Je kulikoni??Ukweli lazima usemwe,kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNPP),hasa kwenye hotuba zenu?
Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere ,akashindwa,awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE,hawakuwa na habari na mradi huo,waliupa kisogo.
Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi hizi ni waziri wa sasa wa nishati, January Makamba kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira,ikapelekewa kuondolewa baraza la mawaziri.
Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho ,hasa waziri Makamba.
Nijielekeze kwenye usanii wa waziri kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo,katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi na Jakaya,wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medal za kinafiki sana,hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medal za ushiriki wao wa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.
Huyu kijana ndio awaza kuwa rais wa hii nchi.tuna hasara kubwa kama taifa.
Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanisha mradi huu.
Kumekuwa na ka syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili .moja wapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa bwawa wakati si washiriki.
Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena , Magufuli aliwafumbua macho.
Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.
Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae,acheni majungu dhidi ya marehemu.
Wanahangaika tu majambazi wakubwa hao, yeye, baba yake yaani Makamba mkubwa, Nape nk. wewe Makamba junior tusikuone tena Bukoba kuja kugawa mitungi ya gesiUkweli lazima usemwe,kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNPP),hasa kwenye hotuba zenu?
Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere ,akashindwa,awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE,hawakuwa na habari na mradi huo,waliupa kisogo.
Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi hizi ni waziri wa sasa wa nishati, January Makamba kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira,ikapelekewa kuondolewa baraza la mawaziri.
Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho ,hasa waziri Makamba.
Nijielekeze kwenye usanii wa waziri kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo,katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi na Jakaya,wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medal za kinafiki sana,hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medal za ushiriki wao wa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.
Huyu kijana ndio awaza kuwa rais wa hii nchi.tuna hasara kubwa kama taifa.
Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanisha mradi huu.
Kumekuwa na ka syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili .moja wapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa bwawa wakati si washiriki.
Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena , Magufuli aliwafumbua macho.
Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.
Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae,acheni majungu dhidi ya marehemu.
Kile chuma kina walaza Milango wazi.dah Magufuli kila wakikitaja kile chuma watu wanalipuka vibaya,Yan raia Wana vibe na magufuli
Akili ndongo ya kuhisi ukisoma shule una akili zaidi ya wasiosoma, unasahau shule unasoma kitu kidogo sana kwenye maisha,Leta education backgruound ya Rais wako hapa, na mimi nitakuonyesha level za elimu za hao waliompigia makofi JPM.
Tunaongozwa na "hoyahoya" kitambo tu.
Hapa tunawaongelea wafuasi wa mambuzi. Ukiwa na akili utaichagua chademaKwahiyo Chadema haishindi tena [emoji23][emoji23]
Kwahiiyo unahisi kama ndiyo atafufuka arudi tena ikulu?mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.
Kufanikiwa kwa mradi huu ni aibu kubwa sana kwa mawakala wa mabeberu ,Lisu, Mbowe, Nape , Makamba, Lema, HecheKwahiiyo unahisi kama ndiyo atafufuka arudi tena ikulu?
Kisha kifa huyu jiwe. Kamwe hata ungeandika asubuhi mpk jioni juu ya huyu dikteta hatorudi. Zaidi sana unamfanya aungue vizuri huko jehanamu.
Imenisaidia kuwa na reasoning ya maana ambayo imenifanya nije na hitimisho kwamba the late JPM hakuwa vizuri kama anavyoimbwa na baadhi ya watu wenye reasoning ya chini.We na elimu Yako ya kukalili umefanya Nini katika nchi hii kiazi wewe
Ndiyo akina nani hao? Wanahusikaje kwenye mada hii?Mbona Yesu na Muddy hamuwachoki, si wafu wale?
Kwanini sasa tupangiane?
Wamefikaje kwenye hili!?Kufanikiwa kwa mradi huu ni aibu kubwa sana kwa mawakala wa mabeberu ,Lisu, Mbowe, Nape , Makamba, Lema, Heche
Kama vipi na wewe kufa basi ili utajwe tajwe. Maana wivu umekuzidi mnoo kwa kutajwa hayatiTumechoka na hizo ishu za huyo mfu wenu,kama vipi mwambieni gwajiboy amuibue upya kwa vile anayo makarama ya kufufua wafu.