Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii id inanikumbusha mchizi wangu mmoja hivi magomeni mwembechai alikua kakake na aliyekua mume wa Jd commando.dah Magufuli kila wakikitaja kile chuma watu wanalipuka vibaya,Yan raia Wana vibe na magufuli
Siyo gwajiboy tena sasa ni Mwampamba ndiyo mwenye mikoba mikaliTumechoka na hizo ishu za huyo mfu wenu,kama vipi mwambieni gwajiboy amuibue upya kwa vile anayo makarama ya kufufua wafu.
nape kawa mwakilishi wa mabeberu tangu lini? tobaa we kila usiyempenda ni mwakilishi wa mabeberu? hamnazoKufanikiwa kwa mradi huu ni aibu kubwa sana kwa mawakala wa mabeberu ,Lisu, Mbowe, Nape , Makamba, Lema, Heche
Niliyemquote aliuliza level ya elimu ya watu waliompigia makofi Janet Magufuli, mimi kuuliza level elimu ya Rais wako nimekosea?akili dongo ya kuhisi ukisoma shule una akili zaidi ya wasiosoma, unasahau shule unasoma kitu kidogo sana kwenye maisha,
Leo wananchi wamewaonesha JPM ni nani mioyoni mwao, mwanasiasa unayetaka anguko lako kisiasa simama jukwaana umponde JPM mbele ya wananchi, huku mitandaoni wamejaza vijana na mimultiple accounts kila uchao kumdhihaki, 2025 sio mbali.
Mbona Yesu na Muddy hamuwachoki, si wafu wale?
Kwanini sasa tupangiane?
SSH haweka "legacy" yoyote hadi sasa zaidi ya kuendeleza miradi aliyoifanyia maamuzi ya utekelezaji na kuyasimamia km elimu bila malipo, kuboresha huduma za afya na elimu, ujenzi wa miundo mbinu ya usafishaji nchi kavu, majini na angani, nishati, maji na hata kuhamisha makao makuu ya nchi.Sishangai na sikutegemea hata amtaje! Kikubwa Mama Samia anaweka legacy yake pia, hawa wengine wapitaji tu.
Nenda kazikwe naye mkenuliane meno kaburini, limekufa, halitarudi ....Mungu amelitwangaUkweli lazima usemwe,kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNPP),hasa kwenye hotuba zenu?
Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere ,akashindwa,awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE,hawakuwa na habari na mradi huo,waliupa kisogo.
Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi hizi ni waziri wa sasa wa nishati, January Makamba kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira,ikapelekewa kuondolewa baraza la mawaziri.
Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho ,hasa waziri Makamba.
Nijielekeze kwenye usanii wa waziri kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo,katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi na Jakaya,wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medal za kinafiki sana,hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medal za ushiriki wao wa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.
Huyu kijana ndio awaza kuwa rais wa hii nchi.tuna hasara kubwa kama taifa.
Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanisha mradi huu.
Kumekuwa na ka syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili .moja wapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa bwawa wakati si washiriki.
Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena , Magufuli aliwafumbua macho.
Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.
Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae,acheni majungu dhidi ya marehemu.
Tuondoleeni upuuzi wenu wa ibada ya mizimu hukoKama vipi na wewe kufa basi ili utajwe tajwe. Maana wivu umekuzidi mnoo kwa kutajwa hayati
Kwa hiyo tuunganishe doti ama unataka kutuambia nini 🤷“Watu wazuri hawafi” mzee makamba
Hivi hebu tujiulize,Ukweli lazima usemwe,kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNPP),hasa kwenye hotuba zenu?
Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere ,akashindwa,awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE,hawakuwa na habari na mradi huo,waliupa kisogo.
Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi hizi ni waziri wa sasa wa nishati, January Makamba kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira,ikapelekewa kuondolewa baraza la mawaziri.
Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho ,hasa waziri Makamba.
Nijielekeze kwenye usanii wa waziri kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo,katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi na Jakaya,wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medal za kinafiki sana,hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medal za ushiriki wao wa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.
Huyu kijana ndio awaza kuwa rais wa hii nchi.tuna hasara kubwa kama taifa.
Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanisha mradi huu.
Kumekuwa na ka syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili .moja wapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa bwawa wakati si washiriki.
Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena , Magufuli aliwafumbua macho.
Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.
Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae,acheni majungu dhidi ya marehemu.
Mwambie huyoNi raia wenye level gani ya elimu?..
Usilete mambo ya hoyahoya hapa.
Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. Propaganda zinakupotezaMungu alimbaliki alifanya mambo mengi kwa ajili ya watu wake
Labda kwako haitafutika, acha kuwaongelea watuHakika JPM kapigiwa makofi ya kutosha kaacha alama isiyofutika.
na kutambua kiuongo juhudi za wasohusika imesaidia nini?sana sana kaonekana chuki hazijamuishaHivi hebu tujiulize,
Kama Makamba angetambua hizo Juhudi za Magufuli..ingesaidia nini....
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app