Nakushauri anzisha Taasisi Yako, ukopeshe Kwa terms Rafiki.
(Kumbukumbu la torati 15:6)
Kwani BWANA, Mungu wako atakubarikia, kama alivyokuahidi, nawe utakopesha mataifa mengi, lakini hutakopa, tena utayatawala mataifa mengi, usitawaliwe na wao.
Ubarikiwe!!