Kwanini Kanisa Katoliki linahamasisha umaskini na halitaki kabisa watu waponywe na maradhi? Au wanafaidika nao

Kwanini Kanisa Katoliki linahamasisha umaskini na halitaki kabisa watu waponywe na maradhi? Au wanafaidika nao

Wana hofu ya kukimbiwa na waumini wao wanaokwenda kwa mwamposa kupata uponyaji. Kingine hawana mafundisho ya kutosha kuwajenga waumini wao kiroho ile tunaita malisho ya majani mabichi.
 
Wana hofu ya kukimbiwa na waumini wao wanaokwenda kwa mwamposa kupata uponyaji. Kingine hawana mafundisho ya kutosha kuwajenga waumini wao kiroho ile tunaita malisho ya majani mabichi.
 
Siku ukija kuujua ukweli .. utaachana hizi mishe za dini
 
Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.

Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.

Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika


Na wewe akili huna, kuombewa kunatoa umaskini au Ufukara? Nyie watu, hivyo vichwa vimejaa matope tupu..!!
 
Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.

Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.

Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
Kwa sababu hao hao wachungaji utajiri wao ni sadaka za hao wanaodai wanawaombea wafanikiwe kifedha wao wenyewe mbona hawajiombei wakafanikiwa ila wakiwa na shida waumini utasikia, sadaka ya kumjengea mchungaji, sadaka ya kununua gari, sadaka sijui ya nini. So, huo ni utapeli mafanikio ni kuchapa kazi na hao mapadri na maaskofu wa kanisa katoliki nao wanachangiwa pesa hawajawahi kuwambia waumini pesa inapatikana kwa kuombea.
Chapa kazi pesa inakuja.
 
Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.

Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.

Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
Kanisa halipigi vita wachungaji (genuine) wenye karama ya uponyaji na wanaofanya hivyo kama sehemu ya huduma za makanisa yao. Kanisa Katoliki linapiga vita wachungaji wanaoombea kisanii/wachumia tumbo/wanaowahadaa waumini wao na watu wengine kwamba wanafufua wafu, wanawaombea watu kuwa matajiri etc. Kuna baadhi ya Wakatoliki pia wanaokwenda kwenye hayo makanisa na kudhani matatizo yao yataisha. Wameenda, wameliwa fedha na hawakuponywa, kisha wakarudi na polepole wamegundua kwamba wametapeliwa kutokana na shida walizokuwa nazo. Hili ndilo tatizo. Hata Mimi naamini kama Mungu anaweza kuwasikiliza hao wachungaji, kwa nini nikimwomba mimi asinisikilize? Hivyo, Kanisa Katoliki linawa'alert' waumini wao na hata waumini wengine waangalie wasije wakatapeliwa kama wenzao walivyotapeliwa. Kama huo uponyaji ni wa kweli, kwa nini Tanzania bado watu wengi wanahangaika na matatizo ya kila aina na hawajasaidiwa kama ni rahisi hivyo?
 
Kanisa halipigi vita wachungaji (genuine) wenye karama ya uponyaji na wanaofanya hivyo kama sehemu ya huduma za makanisa yao. Kanisa Katoliki linapiga vita wachungaji wanaoombea kisanii/wachumia tumbo/wanaowahadaa waumini wao na watu wengine kwamba wanafufua wafu, wanawaombea watu kuwa matajiri etc. Kuna baadhi ya Wakatoliki pia wanaokwenda kwenye hayo makanisa na kudhani matatizo yao yataisha. Wameenda, wameliwa fedha na hawakuponywa, kisha wakarudi na polepole wamegundua kwamba wametapeliwa kutokana na shida walizokuwa nazo. Hili ndilo tatizo. Hata Mimi naamini kama Mungu anaweza kuwasikiliza hao wachungaji, kwa nini nikimwomba mimi asinisikilize? Hivyo, Kanisa Katoliki linawa'alert' waumini wao na hata waumini wengine waangalie wasije wakatapeliwa kama wenzao walivyotapeliwa. Kama huo uponyaji ni wa kweli, kwa nini Tanzania bado watu wengi wanahangaika na matatizo ya kila aina na hawajasaidiwa kama ni rahisi hivyo?
Nani kawapa mandate katoliki kihariri makasa wakati masanamu yao sisi hatuyasemi.
 
Shida nyie mnataka wakatoliki waendelee na trend zenu za kihuni
Kitu ambacho hujui katika ukatoliki kila kitu kinatiliwa maanani kwa uzito wake na utaratibu wake. Katika kanisa katoliki Kuna warsha, na semina na makongamano mbalimbali yanayohusu malezi, uchumi, huduma za kufunguliwa kiroho, makusanyiko ya watoto, vijana, akina mama, wababa, wazee, wanandoa, waseja, wajasiriamali na kadhalika

Kwahiyo kanisa katoliki linapokuambia njoo upate mafanikio sio kwa maombi tu Bali maombi na njia za kufuata kufikia hayo mafanikio. Na katika hizo warsha ambazo husimamiwa na makasisi au wasomi huduma za maombezi ni muhimu ambazo huambatana na huduma kamili za maisha ya watu na sio maombi tupu ya mdomo ndiyo maana tunaona haya makanisa ya mabati na mahema ni kama wahuni tu, wanawaombea watu sawa je mnawaonyesha njia ipi wachukue ili maombi yakaimarishe hizo njia?
Mimi binafsi tangu udogo nimelelewa katika utoto mtakatifu, viwawa, vyama kadhaa vya kitume na Sasa Niko pamoja na UWAKA na huko kote nimefanikiwa kutanua fikra bila kuruka hatua.

Mafanikio hayana miujiza ni mchakato ndo maana waSwahili husema kazi na sala au mnataka Sasa na wakatoliki nao waanze kufanya promo kwenye maredio na tv "ooh njoo ufunguliwe, njoo upokee" upokee kutoka kwa nani aliyevitelekeza?

Mnaibiwa sana ndugu zetu kwa kupenda mkato mnadanganyana huko kuwa wakatoliki hawana upako, hawaombei kwahiyo mnataka faragha za huduma za kiroho nazo ziambatane makamera na voice tapes si ndiyo? Huo ni uhuni na uigiza tu kama wa akina mkojani?
Sisi tuna akili kuliko nyie ndo maana hatuwezi kufanana njia
Una akili kisha wakati wa Misa unabusu sanamu ilichongwa Mwenge vinyago na mmakonde mnywa Smart gin
 
So the suggestion is for the Catholic Churches to open ' healing clinics' like Mwamposa with a tariff of charges for each patient posted on the walls?
 
hapo vipi 👇👇👇👇
Kanisa Katoliki limekuwa na mchango mkubwa katika sekta ya afya nchini Tanzania kupitia hospitali zao ambazo zinatoa huduma za afya kwa jamii. Baadhi ya hospitali zinazomilikiwa na Kanisa Katoliki Tanzania ni pamoja na:

Hospitali ya Rufaa ya Bugando - Mwanza

Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Gaspari - Dodoma

Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Elizabeth - Shinyanga

Hospitali ya Mtakatifu Therese wa Mtoto Yesu - Songea

Hospitali ya Mtakatifu Francis - Ifakara

Peramiho mission Hospital
Ruvuma

Ndanda mission Hospital
Mtwara

Hizi ni baadhi tu ya hospitali za Kanisa Katoliki ambazo zinatoa huduma za afya nchini Tanzania, na zimekuwa na mchango mkubwa katika kuboresha afya ya jamii.
Bado kuna Zahanati,vituo vya afya na taasisi nyingi zinazoshughulika na huduma za afya.
 
Back
Top Bottom