Kwanini Kanisa Katoliki linahamasisha umaskini na halitaki kabisa watu waponywe na maradhi? Au wanafaidika nao

Kwanini Kanisa Katoliki linahamasisha umaskini na halitaki kabisa watu waponywe na maradhi? Au wanafaidika nao

hapo vipi 👇👇👇👇
Kanisa Katoliki limekuwa na mchango mkubwa katika sekta ya afya nchini Tanzania kupitia hospitali zao ambazo zinatoa huduma za afya kwa jamii. Baadhi ya hospitali zinazomilikiwa na Kanisa Katoliki Tanzania ni pamoja na:

Hospitali ya Rufaa ya Bugando - Mwanza

Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Gaspari - Dodoma

Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Elizabeth - Shinyanga

Hospitali ya Mtakatifu Therese wa Mtoto Yesu - Songea

Hospitali ya Mtakatifu Francis - Ifakara

Peramiho mission Hospital
Ruvuma

Ndanda mission Hospital
Mtwara

Hizi ni baadhi tu ya hospitali za Kanisa Katoliki ambazo zinatoa huduma za afya nchini Tanzania, na zimekuwa na mchango mkubwa katika kuboresha afya ya jamii.
Bado kuna Zahanati,vituo vya afya na taasisi nyingi zinazoshughulika na huduma za afya.
Hii siyo kazi ya kanisa. Kazi ya kanisa ni kihubiri injili na kuwafanya watu waokoke. Yesu alisema enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili aaminiye na kibatizwa ataokoka na asiyeamini atahukumiwa.

Yesu hakuwaagiza waende ulimwenguni kujenga mahospitali au mashule. Hii ni kazi ya serikali na ndo mana tunalipa kodi.

Acheni kazi zisizowahusu
 
Hii siyo kazi ya kanisa. Kazi ya kanisa ni kihubiri injili na kuwafanya watu waokoke. Yesu alisema enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili aaminiye na kibatizwa ataokoka na asiyeamini atahukumiwa.

Yesu hakuwaagiza waende ulimwenguni kujenga mahospitali au mashule. Hii ni kazi ya serikali na ndo mana tunalipa kodi.

Acheni kazi zisizowahusu
Mathayo 9:12


Yesu aliwasikia, akasema, “Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.


👇👇👇👇👇
(Mathayo 9:12). Yesu alitambua kwamba wagonjwa wanahitaji madaktari. Hakushutumu kutumia madaktari na 'tiba za kidunia'.
 
Hii siyo kazi ya kanisa. Kazi ya kanisa ni kihubiri injili na kuwafanya watu waokoke. Yesu alisema enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili aaminiye na kibatizwa ataokoka na asiyeamini atahukumiwa.

Yesu hakuwaagiza waende ulimwenguni kujenga mahospitali au mashule. Hii ni kazi ya serikali na ndo mana tunalipa kodi.

Acheni kazi zisizowahusu
😀😀😀Ebu tutajie kanisa/dhehebu lolote duniani ambalo halijajenga shule wala hospitali .
 
labda wanataka watu waamini mafanikio yanapatika kwa kufanya akzi na sio maombi. Mimi sina ujuzi sana ila naomba kura zenu wakuu

 
Kristu❌ 0%

Kristo✔100%
Kristu alikuja kueneza habari njema ya wokovu, na akatupa mfano halisi kupitia maisha yake na msalaba. Wokovu wetu upo msalabani.

Shetani alimjaribu Yesu kupitia utajiri. Kuna uhusiano mkubwa kati ya utajiri na shetani upande mmoja; na ufukara, msalaba na Kristu upande mwingine.

NB: Wakatoliki hatujawahi kuhangaika na dini ama dhehebu la mtu. Tupo busy kumfuasa Kristu
 
Ni falsafa walizotoa kwa philosophers wakigiliki ambao kuna kipindi walikuwa na influence kubwa kwa mapapa kuliko Biblia.

Yesu alifanyika masikini ili sisi tulio masikini tupate kuwa matajiri. Huu mstari hawawezi kuusisitiza.
Em tusaidie hapa, Mungu kakupa nguvu na akili ya kutafuta na umeitumia vizuri tu imekupa kazi na unaingiza pesa vizuri tu. Halafu Mchungaji anakuambia jimalize kwa kutoa kila ulichonacho benki kamkabidhi yeye.

Sasa niambie huko ni kuutafuta utajiri au kuutafuta umaskini? Maana Mungu kakupa kila nyenzo ila bado unamrudia kumuomba akuwezeshe, Em basi jiweke kwenye nafasi ya Mungu maana ametuumba kwa mfano wake, ungefanya nini?

Just for once in your life try to use your intelligence. Mara moja tu mkuu.
 
Ukichunguza kwa makini viongozi wa kikatoliki ni wanyonyaji wakubwa, angalia wanavyotumia jumuiya ndogo katika kukamua watu bila huruma.
Kanisa katoliki Wana shule, redio, tv, hospitali nk...

Sjui unaelewa nachomaanisha?
 
Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.

Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.

Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika

Uponyaji gani wa kuchukua nauli za wagonjwa watembee kwa mguu toka Tanganyika parkers mpaka Mbagala?
Kanisa Katoliki haliwezi kujiingiza kwenye haya mambo ambayo hayana future na wala hayaakisi makusudio ya kazi ya Mungu. Makanisa haya mengi sio ya kudumu. Yanapotea wenye kuanzisha makanisa wakipotea.
Mifano iko mingi
 
Em tusaidie hapa, Mungu kakupa nguvu na akili ya kutafuta na umeitumia vizuri tu imekupa kazi na unaingiza pesa vizuri tu. Halafu Mchungaji anakuambia jimalize kwa kutoa kila ulichonacho benki kamkabidhi yeye.

Sasa niambie huko ni kuutafuta utajiri au kuutafuta umaskini? Maana Mungu kakupa kila nyenzo ila bado unamrudia kumuomba akuwezeshe, Em basi jiweke kwenye nafasi ya Mungu maana ametuumba kwa mfano wake, ungefanya nini?

Just for once in your life try to use your intelligence. Mara moja tu mkuu.
Usimsikilize mchungaji. Tatizo lenu mnapenda kusikiliza watu. Kama unaamini Mungu amekuokoa, chochote utakachoambiwa huyo Mungu uliy3naye ndani atakiendorse au kukuambia acha unapigwa.
 
Ukisikiliza mahubili ya maaskofu wa kanisa katoliki au mapadre, wanapiga vita sana wachungaji wanaowaombea watu kufanikiw kifedha au maisha kiujumla. Kwa sasa maaskofu wote wa katoliki wamemlia kolabo mwamposa. Mahubili yote ni yeye.

Wanaponda sana kwamba kwa nini anawaombea watu wafanikiwe. Na watu wanazidi kumiminika sana kwake which means wanaponywa na wanafaidika.

Ushauri wangu kwa maaskofu au mapadre, hubirini injili ya kweli na watu watawafuata msitumie nguvu mtaaibika
Wewe pia ni mpumba.v.u kupitiliza. Fanya kazi acha kuamini maombi katika mafanikio.

Yaani nyie walokole uchwara mnaikwamisha sana hii nchi kuendelea badala mjitume kufanya kazi kwa bidii mfanikiwe nyie mnashinda na kukesha makanisani mkisubiri miujiza ya pesa.
 
Sikumbuki ni lini nilimsikia padre amesimama madhabahuni akimtaja mwamposa au kumuongelea mtu yeyote kwa minajili ya majungu hiyo umeichokekea ili uonekane uzi wako una maana sana

Hii dunia maskini wapo matajiri wapo wagonjwa wapo walemavu wapo siyo kwa sababu Mungu amewalaani lah ni yeye mwenyewe alitutofautisha hivyo ili kwa umoja wetu tufikishishane kwake kila mmoja akiwa ametimiza au hajatimiza lengo lake la kuwepo duniani mwisho akampe stahiki yake.
 
Back
Top Bottom